< Return to Video

Ramsey Musallam: Sheria 3 za kuamsha kujifunza

  • 0:01 - 0:03
    Ninafundisha somo la kemia
  • 0:03 - 0:04
    (Mlipuko)
  • 0:04 - 0:08
    Sawa,Sawa.
  • 0:08 - 0:10
    Ni zaidi ya milipuko,
  • 0:10 - 0:11
    Kemia ipo kila mahali.
  • 0:11 - 0:14
    Umeshawahi kuwa katika mgahawa
  • 0:14 - 0:16
    ukiwa unajaribu kufanya hivi?
  • 0:16 - 0:19
    Baadhi ya watu wanaitikia ndio.
  • 0:19 - 0:21
    Hivi karibuni, niliwaonyesha wanafunzi wangu,
  • 0:21 - 0:25
    niliwaambia waelezee kwa nini imetokea.
  • 0:25 - 0:28
    Maswali na mazungumzo yaliyofuata
  • 0:28 - 0:30
    yalikuwa ya kusisimua.
  • 0:30 - 0:31
    angalia video hii ambayo Maddie
  • 0:31 - 0:35
    kutoka darasa langu la tatu aliyonitumia jioni.
  • 0:45 - 0:48
    (Vicheko)
  • 0:48 - 0:51
    Ni dhahiri,kama mwalimu wa kemia wa Maddie
  • 0:51 - 0:54
    Nilifurahi kwamba alienda nyumbani na kuendelea
  • 0:54 - 0:56
    na zoezi hili la ajabu
  • 0:56 - 0:58
    ambalo tulilifanya darasani.
  • 0:58 - 1:01
    Lakini kilichonisisimua zaidi ilikuwa ni kuwa udadisi wa Maddie
  • 1:01 - 1:03
    ulimpeleka kwenye hatua nyingine.
  • 1:03 - 1:05
    ukiangalia ndani ya kikopo hiki,
  • 1:05 - 1:06
    unaweza ukaona mshumaa.
  • 1:06 - 1:09
    Maddie anatumia joto kuifanya hali hii
  • 1:09 - 1:12
    kuwa tukio jingine jipya.
  • 1:12 - 1:15
    Maswali na udadisi kama wa Maddie
  • 1:15 - 1:18
    ndio sumaku zinazotuvuta kwa walimu wetu,
  • 1:18 - 1:21
    na zinazidi teknolojia zote
  • 1:21 - 1:24
    ubunifu mpya wa elimu.
  • 1:24 - 1:28
    Lakini kama teknolojia kabla ya udadisi wa wanafunzi,
  • 1:28 - 1:31
    tunaweza tukawa tunajinyima wenyewe
  • 1:31 - 1:35
    zana muhimu kama walimu: maswali ya wanafunzi wetu.
  • 1:35 - 1:40
    Kwa mfano,kupitia mhadhaa unaochosha
  • 1:40 - 1:42
    kwa kutumia mtandao
  • 1:42 - 1:43
    unaweza ukaokoa muda wa ufundishaji,
  • 1:43 - 1:46
    lakini kama ni lengo la wanafunzi wetu.
  • 1:46 - 1:49
    ni jambo lile lile la kudhalilisha
  • 1:49 - 1:52
    ambalo limefungwa vizuri.
  • 1:52 - 1:54
    Lakini kama tuna ujasiri
  • 1:54 - 1:57
    wa kuwachanganya wanafunzi wetu,
  • 1:57 - 1:59
    na kuamsha maswali ya kweli,
  • 1:59 - 2:02
    ingawa maswali hayo sisi kama walimu yana taarifa
  • 2:02 - 2:05
    ambazo tunaweza kuzitumia kwa ajili ya kutengeneza
  • 2:05 - 2:09
    mfumo wa taarifa zilizochanganyika
  • 2:09 - 2:14
    ukiondoa maneno ya karne ya 21 kuhusu hali hii,
  • 2:14 - 2:18
    Ukweli ni kuwa nimefundisha sasa kwa miaka 13,
  • 2:18 - 2:21
    na ilibidi kuwe na tukio la kutisha
  • 2:21 - 2:24
    kunitoa katika miaka 10 ya ufundishaji wa mazoea
  • 2:24 - 2:27
    na kunifanya nijue kuwa maswali ya wanafunzi
  • 2:27 - 2:30
    ndio mbegu za kujifunza hasa,
  • 2:30 - 2:33
    na sio mtaala ambao umeshaandaliwa
  • 2:33 - 2:36
    ambao unawapa tu taarifa chache
  • 2:36 - 2:39
    Mwezi Mei 2010,nikiwa na miaka 35,
  • 2:39 - 2:42
    nikiwa na mtoto wa miaka 2 nyumbani na mtoto wa pili njiani
  • 2:42 - 2:45
    niligundulika kuwa na kuongezeka kwa mishipa ya damu
  • 2:45 - 2:48
    katika eneo la mshipa mkubwa wa damu wa aorta katika moyo
  • 2:48 - 2:51
    ilisababisha nifanyiwe upasuaji wa moyo.Hii ni barua pepe
  • 2:51 - 2:52
    kutoka kwa Daktari,pale.
  • 2:52 - 2:56
    nilipoipata barua hii, nilikuwa
  • 2:56 - 2:58
    nimechanganyikiwa kabisa?
  • 2:58 - 3:02
    lakini nilipata mida ya faraja
  • 3:02 - 3:06
    nikiwa na hakika aliyokuwa nayo daktari wangu.
  • 3:06 - 3:09
    Alipata ujasiri huu?
  • 3:09 - 3:13
    Kwa hiyo nilipomuuliza,akaniambia vitu vitatu.
  • 3:13 - 3:16
    akasema kwanza,udadisi wake ulimsukuma
  • 3:16 - 3:19
    kuuliza maswali magumu kuhusu upasuaji,
  • 3:19 - 3:22
    kuhusu uzuri na ubaya wake.
  • 3:22 - 3:25
    Pili,aliikubali,na hakuogopa,
  • 3:25 - 3:27
    mchakato wa kujaribu jaribu,
  • 3:27 - 3:30
    mchakato usiokwepeka wa kujarijaribu.
  • 3:30 - 3:33
    na tatu,kupitia kutafakari sana,
  • 3:33 - 3:35
    alikusanya taarifa alizohitaji
  • 3:35 - 3:37
    kusanifu na kupitia upya mchakato,
  • 3:37 - 3:41
    na kwa mkono wa taratibu,akaokoa maisha yangu.
  • 3:41 - 3:44
    Nilichukua mengi kutoka maneno haya ya hekima,
  • 3:44 - 3:46
    na kabla ya kwenda darasani majira ya kipupwe
  • 3:46 - 3:50
    niliandika sheria tatu zangu mwenyewe
  • 3:50 - 3:52
    ambazo nazitumia wakati napangillia masomo mpaka leo.
  • 3:52 - 3:56
    Sheria ya kwanza: udadisi kwanza
  • 3:56 - 3:59
    Maswali yanaweza kuwa dirisha la mazungumzo mazuri sana,
  • 3:59 - 4:02
    lakini kinyume chake si sahihi
  • 4:02 - 4:06
    Sheria ya pili: Kubaliana na hali ya fujo
  • 4:06 - 4:08
    Sote ni walimu.Tunajua kujifunza ni vurugu tupu.
  • 4:08 - 4:11
    na kwa sababu tu njia za kisayansi zimetengewa
  • 4:11 - 4:15
    ukurasa wa tano wa kipengele 1.2 ya sura ya kwanza
  • 4:15 - 4:18
    ambazo huwa tunaziruka,sawa,
  • 4:18 - 4:21
    kujari jaribu bado kunaweza kuwa ni sehemu isiyo rasmi
  • 4:21 - 4:23
    kwa vile tuvifanyavyo kila siku
  • 4:23 - 4:27
    Katika kanisa la Moyo Mtakatifu ,chumba 206.
  • 4:27 - 4:31
    Sheria namba tatu: Fanya zoezi la kutafakari.
  • 4:31 - 4:33
    Tukifanyacho ni muhimu.inastahili kuangaliwa nasi,
  • 4:33 - 4:36
    lakini instahili mapitio yetu.
  • 4:36 - 4:39
    Je tunaweza kuwa madaktari wa madarasa yetu?
  • 4:39 - 4:42
    Kama vile tuyafanyayosiku moja yataokoa maisha ya watu.
  • 4:42 - 4:44
    Wanafunzi wetu,wanstahili kabisa.
  • 4:44 - 4:46
    na kila hali ni tofauti.
  • 4:46 - 4:47
    (Mlipuko)
  • 4:47 - 4:49
    Sawa. Samahani
  • 4:49 - 4:51
    Mwalimu wa Kemia ndani yangu alitaka kuta hicho
  • 4:51 - 4:54
    nje yangu kabla hatujaendelea.
  • 4:54 - 4:56
    Kwa hiyo hawa ni mabinti zangu.
  • 4:56 - 4:59
    Kulia kwangu tuna Emmalou -- Familia ya kusini
  • 4:59 - 5:02
    Na kushoto,Riley.
  • 5:02 - 5:05
    Riley atakuwa binti mkubwa wiki chache zijazo.
  • 5:05 - 5:06
    Atakuwa na miaka minne,
  • 5:06 - 5:09
    na yeyote amjuaye mtoto wa miaka minne
  • 5:09 - 5:12
    anajua kuwa wanapenda kuuliza "kwa nini"?
  • 5:12 - 5:13
    Ndiyo. Kwa nini.
  • 5:13 - 5:16
    Naweza kumfundisha mtoto huyo chochote
  • 5:16 - 5:19
    kwa sababu ni mdadisi wa kila kitu.
  • 5:19 - 5:21
    Sote tulikuwa hivyo katika umri huo.
  • 5:21 - 5:24
    Lakini changamoto kubwa ni kwa walimu wa mbeleni wa Riley
  • 5:24 - 5:27
    ambao bado hajakutana nao.
  • 5:27 - 5:30
    Watawezaje kuukuza udadisi huu?
  • 5:30 - 5:35
    Naweza nikasema kuwa Riley ni kama fumbo la watoto wote,
  • 5:35 - 5:39
    Na nadhani kuacha shule kunakuja katika njia mbalimbali
  • 5:39 - 5:42
    Kwa mwanafunzi wa mwaka wa mwisho, anayeacha shule kabla ya mwaka kwisha.
  • 5:42 - 5:47
    au dawati tupu katika shule za sekondari za mijini.
  • 5:47 - 5:50
    lakini,ikiwa sisi kama walimu tunaacha
  • 5:50 - 5:52
    kazi nyepesi ya kusambaza taarifa
  • 5:52 - 5:55
    na kukubaliana na dhana mpya
  • 5:55 - 5:58
    ya wapandaji wa udadisi na uulizaji maswali,
  • 5:58 - 6:00
    tunaweza kusababisha maana zaidi
  • 6:00 - 6:03
    kuwepo kwao shuleni,na kuwasha cheche za tafakari.
  • 6:03 - 6:04
    Asante sana.
  • 6:04 - 6:10
    (Makofi).
Title:
Ramsey Musallam: Sheria 3 za kuamsha kujifunza
Speaker:
Ramsey Musallam
Description:

Ilihitajika hali ya kutishia maisha kumtoa mwalimu wa kemia Ramsey Musallam kutoka miaka kumi ya ufundishaji wa mazoea kuelewa kazi halisi ya mkufunzi: kupandikiza udadisi. katika mazungumzo haya ya kufurahisha na ya binafsi,Musallam anatoa sheria tatu za kuamsha tafakari na kujifunza, na kuwafanya wanafunzi kuwa na shauku jinsi dunia inavyofanya kazi.

more » « less
Video Language:
English
Team:
closed TED
Project:
TEDTalks
Duration:
06:29
Joachim Mangilima approved Swahili subtitles for 3 rules to spark learning
Nelson Simfukwe accepted Swahili subtitles for 3 rules to spark learning
Nelson Simfukwe edited Swahili subtitles for 3 rules to spark learning
Nelson Simfukwe edited Swahili subtitles for 3 rules to spark learning
Joachim Mangilima edited Swahili subtitles for 3 rules to spark learning
Joachim Mangilima edited Swahili subtitles for 3 rules to spark learning
Joachim Mangilima edited Swahili subtitles for 3 rules to spark learning
Joachim Mangilima edited Swahili subtitles for 3 rules to spark learning

Swahili subtitles

Revisions