< Return to Video

Introduction to types of quadrilaterals | 3rd grade | Khan Academy

  • 0:00 - 0:02
    Nachotaka kuongea kwenye video hii.
  • 0:02 - 0:05
    ni maumbo yenye pande nne,
  • 0:05 - 0:09
    na jina la kihisabati la maumbo hayo
  • 0:09 - 0:11
    ni pembenne.
  • 0:11 - 0:12
    pembenne.
  • 0:12 - 0:15
    Kila unapoona neno pande nne,
  • 0:15 - 0:17
    ni vema ukajua
  • 0:17 - 0:20
    zinahusu namba nne.
  • 0:20 - 0:23
    Kwa hiyo pembenne ina pande nne.
  • 0:23 - 0:27
    hiyo ni pembenne,
  • 0:27 - 0:30
    hii ni pembenne,
  • 0:30 - 0:32
    hii ni pembenne
  • 0:32 - 0:33
    Yote yana pande nne.
  • 0:33 - 0:36
    Hii ni pembenne.
  • 0:36 - 0:40
    hata hii ni,
  • 0:40 - 0:42
    ngoja niiongezee upana kidogo,
  • 0:42 - 0:46
    hii nayo ni pembenne.
  • 0:46 - 0:48
    Je ipi sio pembenne?
  • 0:48 - 0:50
    Pembetatu sio pembenne.
  • 0:50 - 0:51
    Ina pande tatu,
  • 0:51 - 0:52
    1, 2, 3.
  • 0:52 - 0:54
    Hivyo tuiondoe.
  • 0:54 - 0:56
    Pembetano ina pande tano,
  • 0:56 - 0:57
    hii sio pembenne.
  • 0:57 - 1:00
    Ina pande 1, 2, 3, 4, 5.
  • 1:00 - 1:03
    Duara tunasema halina pande,
  • 1:03 - 1:07
    ni mduara tu.
  • 1:07 - 1:09
    Hii sio pembenne.
  • 1:09 - 1:11
    Kama una pande sita, pande saba, pande miamoja,
  • 1:11 - 1:15
    zote hizo sio pembe nne.
  • 1:15 - 1:15
    Hebu tuangalie
  • 1:15 - 1:17
    aina mbalimbali za pembenne,
  • 1:17 - 1:20
    au makundi tofauti ya pembenne.
  • 1:20 - 1:23
    Ya kwanza ni msambamaba.
  • 1:23 - 1:27
    Kwahiyo msambamba ni pembenne,
  • 1:27 - 1:28
    na tunavyozidi kujifunza,
  • 1:28 - 1:31
    tunagundua njia nyingine za kuyafanya haya,
  • 1:31 - 1:35
    Ni pembenne ambapo pande zinazoelekeana ni sambamba.
  • 1:35 - 1:37
    Na sambamba ni njia nyingine ya kusema
  • 1:37 - 1:39
    zina muelekeo mmoja.
  • 1:39 - 1:41
    Nina maana gani hapo?
  • 1:41 - 1:43
    Kitu kama hiki,
  • 1:43 - 1:45
    ninachora,
  • 1:45 - 1:47
    ni msambamba.
  • 1:47 - 1:49
    kwanini?
  • 1:49 - 1:52
    Kwasababu upande huu unaangaliana na huu.
  • 1:52 - 1:54
    na zina uelekeo mmoja.
  • 1:54 - 1:55
    Zinakwenda,
  • 1:55 - 1:58
    kama nikichora mshale
  • 1:58 - 2:00
    nikichora mshale hapa,
  • 2:00 - 2:04
    hii mishale ina uelekeo mmoja,
  • 2:04 - 2:06
    kwahiyo hizo pande mbili
  • 2:06 - 2:09
    zinaelekeana.
  • 2:09 - 2:12
    Na hizi pande mbili,
  • 2:12 - 2:15
    pande mbili hapa zinaelekeana.
  • 2:15 - 2:17
    Hivyo huu ni msambamba.
  • 2:17 - 2:20
    Mfano mwingine wa msambamba ni upi?
  • 2:20 - 2:22
    Hata mraba ni msambamba,
  • 2:22 - 2:24
    mraba,
  • 2:24 - 2:25
    ni msambamba.
  • 2:25 - 2:27
    Na tutaonesha nini kinafanya mraba kuwa msambamba.
  • 2:27 - 2:29
    ni msambamba maalumu
  • 2:29 - 2:32
    kwasababu upande huu
  • 2:32 - 2:34
    unaelekeana na upande huu,
  • 2:34 - 2:39
    na upande huu hivyo hivyo na upande huu hivyo hivyo,
  • 2:39 - 2:41
    nitachora kwa rangi ya njano,
  • 2:41 - 2:45
    na upande huu ni sambamba na huo,
  • 2:45 - 2:48
    Je umbo lipi si msambamba?
  • 2:48 - 2:50
    Kitu kama hiki,
  • 2:50 - 2:53
    huu mchoro
  • 2:53 - 2:55
    hatusemi ni msambamba.
  • 2:55 - 2:56
    Unaweza sema "subiri,
  • 2:56 - 2:58
    "ninaona pande zinazoelekeana ni sambamba".
  • 2:58 - 3:02
    Unaweza sema, tazama huu ni sambamba na huu
  • 3:02 - 3:06
    lakini huu si sambamba na huu.
  • 3:06 - 3:08
    Njia ingine ya kutambua kuwa huu si msambamba ni
  • 3:08 - 3:10
    kama mistari inaendelea,
  • 3:10 - 3:13
    ikakutana mahali fulani,
  • 3:13 - 3:14
    wakati hii mistari,
  • 3:14 - 3:16
    hapa,
  • 3:16 - 3:18
    haiwezi kukutana.
  • 3:18 - 3:20
    Hivyo huu hapa
  • 3:20 - 3:22
    sio msambamba.
  • 3:22 - 3:25
    Ina mistari sambamba inayoelekeana,
  • 3:25 - 3:27
    ila sio mingine.
  • 3:27 - 3:30
    Mfano mwingine wa umbo ambalo si msambamba
  • 3:30 - 3:32
    utakuwa huu hapa,
  • 3:32 - 3:35
    kwasababu pande zinazoshabihiana si sambamba.
  • 3:35 - 3:38
    Hivyo msambamba, pande zinazoshabihiana ni sambamba.
  • 3:38 - 3:40
    Sasa tuzungumzie,
  • 3:40 - 3:44
    aina nyingine za pembe zenye pande nne,
  • 3:44 - 3:46
    au pembenne.
  • 3:46 - 3:51
    Nyingine ni msambamba sawa.
  • 3:51 - 3:54
    Hivyo msambamba sawa ni aina ya msambamba.
  • 3:54 - 3:57
    Pande mbili zinashabihiana,
  • 3:57 - 4:01
    Yenyewe kama yenyewe si msambamba
  • 4:01 - 4:03
    Pande zinazoshabihiana zinatakiwa ziwe sambamba,
  • 4:03 - 4:07
    na pande zote ziwe sawa.
  • 4:07 - 4:10
    Kwa mfano,
  • 4:10 - 4:13
    Nachora,
  • 4:13 - 4:16
    huu ni msambamba, ila si msambamba sawa.
  • 4:16 - 4:19
    Ni msambamba kwasababu upande ule,
  • 4:19 - 4:21
    hizi pande zinazoshabihiana ni sambamba.
  • 4:21 - 4:25
    Na zikiendelea hazikutani.
  • 4:25 - 4:29
    Na pande hizi ni sambamba.
  • 4:29 - 4:30
    Hivyo ni msambamba ila si msambamba sawa
  • 4:30 - 4:35
    kwasababu pande za bluu ni ndefu kuliko za njano.
  • 4:35 - 4:37
    hivyo huu si msambamba sawa.
  • 4:37 - 4:40
    Msambamba sawa unaonekana hivi.
  • 4:40 - 4:43
    Utaonekana hivi.
  • 4:43 - 4:44
    Hivyo pande zinazoshabihiana ni sambamba
  • 4:44 - 4:47
    na pande zote zina urefu sawa.
  • 4:47 - 4:51
    Na unaweza sema "mraba ni msambamba,"
  • 4:51 - 4:52
    na unataka kujua.
  • 4:52 - 4:54
    Je mraba ni msambamba?
  • 4:54 - 4:56
    Je pande zote zina urefu sawa,
  • 4:56 - 4:59
    na zinashabihiana?
  • 4:59 - 5:01
    Tumeshasema pande
  • 5:01 - 5:02
    za mraba ni sambamba.
  • 5:02 - 5:04
    Mraba ni msambamba.
  • 5:04 - 5:08
    Na pande zote za mraba zinalingana.
  • 5:08 - 5:11
    Hivyo mraba ni msambamba sawa.
  • 5:11 - 5:15
    Hivyo namna nyingine ya kuujua msambamba sawa
  • 5:15 - 5:16
    una mraba,
  • 5:16 - 5:19
    na unaweza sema ni
  • 5:19 - 5:21
    aina ya mraba uliominywa,
  • 5:21 - 5:22
    wakati ukitembea
  • 5:22 - 5:25
    haraka haraka kama kwenye katuni,
  • 5:25 - 5:29
    ndivyo huwa ninaifananisha hivyo kila nikiufikiria msambamba sawa
  • 5:29 - 5:30
    Sasa tuangalie mstatili.
  • 5:30 - 5:33
    na umeshalisikia neno mstatili nyuma,
  • 5:33 - 5:34
    tuutazame zaidi
  • 5:34 - 5:36
    nini kinatengeneza mstatili,
  • 5:36 - 5:40
    Hivyo mstatili utakuwa ni msambamba,
  • 5:40 - 5:43
    pekeyake hausemi mstatili.
  • 5:43 - 5:47
    Kwamfano, huu hapa ni mstatili.
  • 5:47 - 5:47
    kwanini?
  • 5:47 - 5:50
    Ni msambamba
  • 5:50 - 5:53
    upande huu na upande huu ni sambamba.
  • 5:53 - 5:55
    Haiwezi kukutana.
  • 5:55 - 6:00
    Na upande huu na huu unashabihiana.
  • 6:00 - 6:02
    Na haziwezi kukutana.
  • 6:02 - 6:04
    ukiendelea na kuendelea
  • 6:04 - 6:07
    haziwezi kukutana.
  • 6:07 - 6:10
    Je nini inafanya mstatili?
  • 6:10 - 6:11
    Hivyo huu ni msambamba,
  • 6:11 - 6:14
    lakini kwanini tunatumia neno mstatili?
  • 6:14 - 6:16
    Chakufanya ni kuangalia
  • 6:16 - 6:19
    namna mistari inavyokutana kwenye kona.
  • 6:19 - 6:22
    Hivyo kwenye mstatili,
  • 6:22 - 6:25
    pale mistari inapokutana,
  • 6:25 - 6:27
    inaitwa pembemraba.
  • 6:27 - 6:29
    Hii hapa ni pembemraba.
  • 6:29 - 6:31
    hii ndio ndio inafanya mstatili.
  • 6:31 - 6:34
    Ni msambamba ambapo pembe zote ni mraba.
  • 6:34 - 6:36
    Unaweka kimraba kidogo pale.
  • 6:36 - 6:38
    kama unataka kuifanya hivyo.
  • 6:38 - 6:41
    Kwamfano hapa
  • 6:41 - 6:43
    huu sio mstatili.
  • 6:43 - 6:43
    Kwanini?
  • 6:43 - 6:46
    Kwasababu ukiweka mraba hapa
  • 6:46 - 6:49
    hautoshi
  • 6:49 - 6:51
    kama ulivyotosha hapa.
  • 6:51 - 6:55
    Una mraba usiotosha kukaa hapa
  • 6:55 - 6:58
    Huu ni msambamba, ila sio mstatili.
  • 6:58 - 7:02
    Mstatili ni msambamba wenye mraba.
  • 7:02 - 7:04
    Je vipi kuhusu mraba?
  • 7:04 - 7:06
    Je mraba ni mstatili?
  • 7:06 - 7:09
    Tuchore.
  • 7:09 - 7:09
    hebu tutazame.
  • 7:09 - 7:12
    Mraba pembe zinazoshabihiana ni sambamba.
  • 7:12 - 7:14
    Tulishasema ni msambamba.
  • 7:14 - 7:17
    Na mraba una,
  • 7:17 - 7:20
    pembemraba.
  • 7:20 - 7:21
    Hapa ndio tunasema tengeneza pembemraba,
  • 7:21 - 7:23
    hivi ndio unavyopatikana.
  • 7:23 - 7:24
    Pembe ni mraba.
  • 7:24 - 7:26
    Ni pembe mraba
  • 7:26 - 7:28
    Hivyo mraba ni mstatili.
  • 7:28 - 7:31
    Hivyo mraba ni msambamba wa kuvutia,
  • 7:31 - 7:35
    kwasababu mraba unaingia kwenye makundi yote.
  • 7:35 - 7:38
    Mraba, ni mraba,
  • 7:38 - 7:40
    ni msambambasawa
  • 7:40 - 7:41
    ni aina ya msambamba sawa
  • 7:41 - 7:45
    ambapo pande zake ni pembemraba
  • 7:45 - 7:47
    au unaweza sema pembemraba.
  • 7:47 - 7:49
    Hii hapa sio mraba,
  • 7:49 - 7:49
    hii hapa ni mraba.
  • 7:49 - 7:52
    Zote ni msambambasawa
  • 7:52 - 7:54
    Mraba pia ni mstatili.
  • 7:54 - 7:58
    Ni msambamba ambapo pande zake ni pembemraba,
  • 7:58 - 8:00
    mraba
  • 8:00 - 8:02
    Hivyo mraba ni msambamba,
  • 8:02 - 8:05
    na yote tulivyozungumza ni msambamba
Title:
Introduction to types of quadrilaterals | 3rd grade | Khan Academy
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
Khan Academy
Duration:
08:07

Swahili subtitles

Revisions