-
Nachotaka kuongea kwenye video hii.
-
ni maumbo yenye pande nne,
-
na jina la kihisabati la maumbo hayo
-
ni pembenne.
-
pembenne.
-
Kila unapoona neno pande nne,
-
ni vema ukajua
-
zinahusu namba nne.
-
Kwa hiyo pembenne ina pande nne.
-
hiyo ni pembenne,
-
hii ni pembenne,
-
hii ni pembenne
-
Yote yana pande nne.
-
Hii ni pembenne.
-
hata hii ni,
-
ngoja niiongezee upana kidogo,
-
hii nayo ni pembenne.
-
Je ipi sio pembenne?
-
Pembetatu sio pembenne.
-
Ina pande tatu,
-
1, 2, 3.
-
Hivyo tuiondoe.
-
Pembetano ina pande tano,
-
hii sio pembenne.
-
Ina pande 1, 2, 3, 4, 5.
-
Duara tunasema halina pande,
-
ni mduara tu.
-
Hii sio pembenne.
-
Kama una pande sita, pande saba, pande miamoja,
-
zote hizo sio pembe nne.
-
Hebu tuangalie
-
aina mbalimbali za pembenne,
-
au makundi tofauti ya pembenne.
-
Ya kwanza ni msambamaba.
-
Kwahiyo msambamba ni pembenne,
-
na tunavyozidi kujifunza,
-
tunagundua njia nyingine za kuyafanya haya,
-
Ni pembenne ambapo pande zinazoelekeana ni sambamba.
-
Na sambamba ni njia nyingine ya kusema
-
zina muelekeo mmoja.
-
Nina maana gani hapo?
-
Kitu kama hiki,
-
ninachora,
-
ni msambamba.
-
kwanini?
-
Kwasababu upande huu unaangaliana na huu.
-
na zina uelekeo mmoja.
-
Zinakwenda,
-
kama nikichora mshale
-
nikichora mshale hapa,
-
hii mishale ina uelekeo mmoja,
-
kwahiyo hizo pande mbili
-
zinaelekeana.
-
Na hizi pande mbili,
-
pande mbili hapa zinaelekeana.
-
Hivyo huu ni msambamba.
-
Mfano mwingine wa msambamba ni upi?
-
Hata mraba ni msambamba,
-
mraba,
-
ni msambamba.
-
Na tutaonesha nini kinafanya mraba kuwa msambamba.
-
ni msambamba maalumu
-
kwasababu upande huu
-
unaelekeana na upande huu,
-
na upande huu hivyo hivyo na upande huu hivyo hivyo,
-
nitachora kwa rangi ya njano,
-
na upande huu ni sambamba na huo,
-
Je umbo lipi si msambamba?
-
Kitu kama hiki,
-
huu mchoro
-
hatusemi ni msambamba.
-
Unaweza sema "subiri,
-
"ninaona pande zinazoelekeana ni sambamba".
-
Unaweza sema, tazama huu ni sambamba na huu
-
lakini huu si sambamba na huu.
-
Njia ingine ya kutambua kuwa huu si msambamba ni
-
kama mistari inaendelea,
-
ikakutana mahali fulani,
-
wakati hii mistari,
-
hapa,
-
haiwezi kukutana.
-
Hivyo huu hapa
-
sio msambamba.
-
Ina mistari sambamba inayoelekeana,
-
ila sio mingine.
-
Mfano mwingine wa umbo ambalo si msambamba
-
utakuwa huu hapa,
-
kwasababu pande zinazoshabihiana si sambamba.
-
Hivyo msambamba, pande zinazoshabihiana ni sambamba.
-
Sasa tuzungumzie,
-
aina nyingine za pembe zenye pande nne,
-
au pembenne.
-
Nyingine ni msambamba sawa.
-
Hivyo msambamba sawa ni aina ya msambamba.
-
Pande mbili zinashabihiana,
-
Yenyewe kama yenyewe si msambamba
-
Pande zinazoshabihiana zinatakiwa ziwe sambamba,
-
na pande zote ziwe sawa.
-
Kwa mfano,
-
Nachora,
-
huu ni msambamba, ila si msambamba sawa.
-
Ni msambamba kwasababu upande ule,
-
hizi pande zinazoshabihiana ni sambamba.
-
Na zikiendelea hazikutani.
-
Na pande hizi ni sambamba.
-
Hivyo ni msambamba ila si msambamba sawa
-
kwasababu pande za bluu ni ndefu kuliko za njano.
-
hivyo huu si msambamba sawa.
-
Msambamba sawa unaonekana hivi.
-
Utaonekana hivi.
-
Hivyo pande zinazoshabihiana ni sambamba
-
na pande zote zina urefu sawa.
-
Na unaweza sema "mraba ni msambamba,"
-
na unataka kujua.
-
Je mraba ni msambamba?
-
Je pande zote zina urefu sawa,
-
na zinashabihiana?
-
Tumeshasema pande
-
za mraba ni sambamba.
-
Mraba ni msambamba.
-
Na pande zote za mraba zinalingana.
-
Hivyo mraba ni msambamba sawa.
-
Hivyo namna nyingine ya kuujua msambamba sawa
-
una mraba,
-
na unaweza sema ni
-
aina ya mraba uliominywa,
-
wakati ukitembea
-
haraka haraka kama kwenye katuni,
-
ndivyo huwa ninaifananisha hivyo kila nikiufikiria msambamba sawa
-
Sasa tuangalie mstatili.
-
na umeshalisikia neno mstatili nyuma,
-
tuutazame zaidi
-
nini kinatengeneza mstatili,
-
Hivyo mstatili utakuwa ni msambamba,
-
pekeyake hausemi mstatili.
-
Kwamfano, huu hapa ni mstatili.
-
kwanini?
-
Ni msambamba
-
upande huu na upande huu ni sambamba.
-
Haiwezi kukutana.
-
Na upande huu na huu unashabihiana.
-
Na haziwezi kukutana.
-
ukiendelea na kuendelea
-
haziwezi kukutana.
-
Je nini inafanya mstatili?
-
Hivyo huu ni msambamba,
-
lakini kwanini tunatumia neno mstatili?
-
Chakufanya ni kuangalia
-
namna mistari inavyokutana kwenye kona.
-
Hivyo kwenye mstatili,
-
pale mistari inapokutana,
-
inaitwa pembemraba.
-
Hii hapa ni pembemraba.
-
hii ndio ndio inafanya mstatili.
-
Ni msambamba ambapo pembe zote ni mraba.
-
Unaweka kimraba kidogo pale.
-
kama unataka kuifanya hivyo.
-
Kwamfano hapa
-
huu sio mstatili.
-
Kwanini?
-
Kwasababu ukiweka mraba hapa
-
hautoshi
-
kama ulivyotosha hapa.
-
Una mraba usiotosha kukaa hapa
-
Huu ni msambamba, ila sio mstatili.
-
Mstatili ni msambamba wenye mraba.
-
Je vipi kuhusu mraba?
-
Je mraba ni mstatili?
-
Tuchore.
-
hebu tutazame.
-
Mraba pembe zinazoshabihiana ni sambamba.
-
Tulishasema ni msambamba.
-
Na mraba una,
-
pembemraba.
-
Hapa ndio tunasema tengeneza pembemraba,
-
hivi ndio unavyopatikana.
-
Pembe ni mraba.
-
Ni pembe mraba
-
Hivyo mraba ni mstatili.
-
Hivyo mraba ni msambamba wa kuvutia,
-
kwasababu mraba unaingia kwenye makundi yote.
-
Mraba, ni mraba,
-
ni msambambasawa
-
ni aina ya msambamba sawa
-
ambapo pande zake ni pembemraba
-
au unaweza sema pembemraba.
-
Hii hapa sio mraba,
-
hii hapa ni mraba.
-
Zote ni msambambasawa
-
Mraba pia ni mstatili.
-
Ni msambamba ambapo pande zake ni pembemraba,
-
mraba
-
Hivyo mraba ni msambamba,
-
na yote tulivyozungumza ni msambamba