-
Makadirio-kukaribisha kwenye mkumi
-
Katika maisha yako ya hesabu,
-
utakutana na hali ambayo itakubidi ukaribishe namba.
-
Na unaweza kujiuliza kwanini?
-
Inatokea katika hali gani?
-
Hii inakuwa katika hali ambayo
-
unajaribu kupata makadirio ya vitu
-
labda una kipimo
-
na unataka kisilingane sawasawa ili kurahisisha
-
vitu.
-
Au hujui kama kipimo ni sahihi kwa kiasi gani.
-
Hivyo hapa tutajadili kukaribisha ni nini.
-
Na tutakaribisha namba hizi 36, 34, 35, 26,
-
na 12.
-
Tunakwenda kuzikaribisha kwenye 10
-
Na nitakwambia maana yake.
-
Hii maana yake chukua kila namba,
-
na utafute zinazogawanyika kwa 10.
-
je zinazogawanyika kwa 10 ni zipi?
-
10 mara 0 ni 0, 10 mara 1
-
ni 10, 20, 30, 40, 50, 60, nakuendelea.
-
Nitaomba usimamishe video,
-
na ukumbuke nilichokwambia, makadirio ya
-
10 kwa kila namba.
-
Fikiria
-
kuitazama hii zaidi
-
tuchore mstari wa namba hapa.
-
Nitaweka mistari miwili ya namba hapa.
-
Hivyo tuna mistari ya namba hapa.
-
Na tuone wapi hizi alama
-
zitakaa kwenye mstari huu wa namba.
-
Kwanza namba 36 wapi
-
itakaa wapi kwenye huu mstari wa namba?
-
hivyo ni kati ya 30 na 40.
-
na hii alama ndogo ya bluu ni 35
-
Hivyo 36 ni kubwa zaidi kuliko 53
-
hivyo 36 itakuwa hapa.
-
Na tukiikuza ni kati ya 30 na 40.
-
Kwhiyo tukisema hii ni 30 na hii ni 40.
-
je 36 itakuwa wapi?
-
Halafu hii ni 35.
-
36 ni mbele kidogo
-
hivyo 36 itakuwa hapa.
-
Hivyo tukitaka kuikaribisha kwenye makumi
-
Njia mbili za kufanya ni zipi?
-
Nitachukua 36 na kuikaribisha
-
kwenye zinazogawanyika kwa 10 ambayo ni 40.
-
hivyo ningekaribisha mpaka kwenye 40
-
na ya chini inayogawanyika kwa 10 ni 30.
-
Na inabidi nijue ni namba ipi
-
ipo karibu zaidi.
-
Hivyo ukiangalia hapa
-
unaona.
-
Lakini pia ungeweza sema 36 ni namba nne kufikia 40
-
na ni 6 kurudi kwenye 30, ni karibu na 40
-
hivyo tutakaribisha.
-
tutakaribisha mpaka kwenye 40.
-
Hii ndio kukaribisha kwa kuongeza.
-
Sasa tujaribu namba hizi.
-
vipi kuhusu 34?
-
Na naomba usimamishe video.
-
Tafuta namba ambayo
-
utakadiria kwa kuongeza na kwa kupunguza,
-
na ipi iko karibu.
-
34 iko hapa kwenye namba hii,
-
tukiivuta karibu, 34 iko hapa.
-
Na tuna njia mbili.
-
Zinazogawanyika kwa 10 juu ya 34
-
zinazogawanyika kwa 10 zaidi ya 34 ni 40.
-
Zinazogawanyika kwa 10 chini ya 34 ni 30.
-
Je ipi iko karibu?
-
Ni nne tu kutoka kwenye 30 na 6 kutoka kwenye 40,
-
ni karibu na 30
-
Hivyo tutakaribisha kwa kupunguza mpaka 30.
-
-
Na kumbuka tumekwenda kwenye 30.
-
Na unaweza fikiri tulivyokaribisha
-
kwenye makumi, imeongezeka toka kwenye 3 mpaka 4, kutoka kwenye 30 mpaka kwenye 40.
-
Labda tukikaribisha kwa kupunguza , sehemu ya makumi
-
itapungua kutoka kwenye 30 kwenda 20 ,hapana 30
-
inagawanyika kwa 10 chini ya 34.
-
Kwahiyo ukikaribisha kwa kupunguza unaenda
-
kwenye zinazogawanyika kwa kumi ila kwenye mamoja itakuwa 0.
-
Sasa tujaribu na hii.
-
Tujaribu kukaribisha namba 35 kwenye makumi.
-
Kabla hatujaifanya,
-
tutazame njia mbili tunazoweza kutumia.
-
Tumeshaziona.
-
35 iko hapa.
-
Kwenye huu mstari wa namba ni, 35
-
na tuna njia mbili.
-
35 tunaweza kukaribisha kwa kuongeza mpaka 40 na kukaribisha kwa kupunguza mpaka 30.
-
Nitashauri usimamishe video
-
hii kidogo inachanganya
-
kwasababu kwenda juu ni tano kurudi chini ni tano.
-
5 toka kwenye 40 na 5 kwenda kwenye 30
-
Hivyo wanahesabu
-
waliamua kueleza cha kufanya unapokutana na hii hesabu
-
ambapo una 5 kwenye mamoja.
-
kama una 5 au zaidi kwenye mamoja utakaribisha kwa kuongeza.
-
Hii ndio kanuni yake.
-
Ikiwa 5 au zaidi kwenye mamoja , unakaribisha kwa kuongeza.
-
Hivyo 35 unakaribisha mpaka 40.
-
Tambua, 6 kwenye mamoja ilikuwa tano au zaidi
-
Hivyo kama unakaribisha kwenye makumi, unakaribisha kwa kuongeza mpaka 40.
-
Nne kwenye mamoja sio 5 au zaidi, hivyo unakaribisha kwa kupunguza.
-
Na hii inaleta maana
-
kwenye hizi namba mbili.
-
Tujaribu tuone nini kinatokea kwenye 26.
-
26, njia ni zipi?
-
kwenye 26 zinazogawanyika kwa 10 kwenda juu ni zipi?
-
na zinazogawanyika kwa 10 kwenda chini ni zipi?
-
Sawa, inayogawanyika kwa 10 kwenda juu ni 30,
-
na kwenda chini ni 20.
-
Hivyo tunakaribisha kwa kuongeza mpaka 30.
-
tunakaribisha kwa kupunguza mpaka 20.
-
kama tunakaribisha kwenye makumi
-
tunaangalia sehemu ya makumi.
-
Hivyo ndivyo tutakavyokaribisha.
-
tutakaribisha kwenye makumi--
-
lakini tunaangalia kwenye sehemu ya mamoja.
-
Sehemu ya mamoja itaamua.
-
Na tunaona hapa hii ni 5 au zaidi.
-
Au unaweza sema hii ni kubwa kuliko au ni sawasawa na 5
-
Hivyo tunakaribisha kwa kuongeza.
-
26 kwenye makumi tunakaribisha kwa kuongeza mpaka 30.
-
Je vipi kuhusu 12?
-
Nadhani unaelewa sasa
-
Sasa tufikirie zinazogawanyika kwa 10 zaidi ya 12.
-
Hivyo tunaweza kukaribisha kwa kuongeza mpaka 20.
-
12 iko hapa.
-
tunaweza karibisha kwa kuongeza mpaka 20 au kupunguza mpaka 10.
-
kama tunakaribisha kwenye makumi,
-
tutaangalia kwenye mamoja.
-
Tutaangalia kwenye mamoja hapa.
-
Hii ni ndogo kuliko 5.
-
Kwasababu ni ndogo kuliko 5tunakaribisha kwa kupunguza,
-
ambayo inaleta maana kwasababu ni karibu 10
-
kuliko ilivyo 20.
-
Hivyotunakaribisha kwa kupunguza mpaka 12,
-
utapata 10.