< Return to Video

WEKWA KATIKA NAFASI ya MAENDELEO!!! | Maombi ya Mafanikio | Ndugu Chris

  • 0:00 - 0:07
    Kwa mamlaka ya jina kuu la YESU KRISTO
  • 0:07 - 0:12
    Wekwa katika mkao wa ushindi na mafanikio
  • 0:12 - 0:15
    Wekwa katika mkao wa mafanikio ya KIUNGU
  • 0:15 - 0:19
    Wekwa katika mkao wa neema sizizo kua za kawaida
  • 0:19 - 0:25
    wekwa mahali pa kuendelea!
  • 0:28 - 0:41
    Naongea na kila moyo ulio kua chini ya maombi haya .
  • 0:41 - 0:54
    Naongea na kila Moyo uliounganika na ibada hii kwa mwaliko wa kiungu.
  • 0:54 - 0:59
    Ni wakati wa kuamka.
  • 0:59 - 1:03
    Naona watu wakisimama kwa miguu yao kwa maombi.
  • 1:03 - 1:05
    Hilo ni jema , hilo ni la ajabu sana.
  • 1:05 - 1:12
    Lakini kumbuka , kusimama kwa kweli ni moyoni.
  • 1:12 - 1:22
    Ikija kwa mambo ya MUNGU , la muhimu sio mwilini.
  • 1:22 - 1:27
    Cha muhimu ni kuweka tayari Mioyo yetu.
  • 1:27 - 1:32
    Ninaposema , "niwakati wa kusimama " simaanishi tu kusimama kwa miguu
  • 1:32 - 1:39
    Ninachomaanisha ni , wacha mioyo iinuke na itafute vitu vilivyo juu.
  • 1:39 - 1:42
    Amka juu !
  • 1:42 - 1:45
    Amka sasa
  • 1:45 - 1:48
    Amka ukashinde kutosamehe
  • 1:48 - 1:51
    Amka juu ya maumivu ya zamani
  • 1:51 - 1:54
    Amka ukashinde uchungu .
  • 1:54 - 1:57
    Amka ukaushinde tamaa ya vitu za dunia
  • 1:57 - 2:00
    Amka juu ukaushinde tamaa ya mwili.
  • 2:00 - 2:03
    Inuka juu ya mambo ya kawaida
  • 2:03 - 2:12
    Na ukampe , YESU KRISTO umakini wote
  • 2:12 - 2:15
    Sababu yeye ndio MKOMBOZI WAKO.
  • 2:15 - 2:17
    Yeye ndie mrejeshi wako.
  • 2:17 - 2:19
    Yeye ndie mtengenezaji wako
  • 2:19 - 2:21
    Yeye ndie muumbaji wako
  • 2:21 - 2:23
    Yeye ndie mtoa huduma wako
  • 2:23 - 2:28
    Yeye ndie mwenye nafsi zetu na mponyaji wa vidonda vyetu.
  • 2:28 - 2:32
    Ata gusa hali yako leo.
  • 2:32 - 2:40
    nataka ukiri hali yako mbele ya MUNGU.
  • 2:40 - 2:49
    Kama mwenye dhambi , anaye hitaji Rehema ya KIUNGU.
  • 2:49 - 2:54
    Mwana wa Daudi , tuone hurma .
  • 2:54 - 2:59
    Mwana wa Daudi , tuonee huruma
  • 2:59 - 3:02
    Fanya ombi hilo sasa.
  • 3:33 - 3:37
    Ukiwa unakiri makosa yako.
  • 3:37 - 3:45
    Safishwa na damu ya dhamani sana ya YESU KRISTO.
  • 3:57 - 4:02
    Unapo tubu dhambi zako.
  • 4:02 - 4:10
    safishwa na damu ya thamana sana ya YESU KRISTO.
  • 4:25 - 4:30
    Chochote kinacho sumbua moyo wako., kinachosumbua moyo wako.
  • 4:30 - 4:36
    Inuka juu yake na upokee Roho huru sasa!
  • 4:36 - 4:40
    Pokea Roho huru kwa sababu ya KRISTO.
  • 5:00 - 5:10
    Wacha kukawe na urejesho katika uhusiano wako na MUNGU.
  • 5:25 - 5:32
    Kuna mioyo mingine bado imeweka ule uchungu wa zamani , umeshikilia kuto samehe.
  • 5:32 - 5:39
    Naongea na muyo huo , achiliwa sasa.
  • 5:39 - 5:44
    Achiliwa kwa jina la YESU KRISTO.
  • 6:08 - 6:17
    Kuna nguvu katika jina kuu la YESU KRISTO.
  • 6:17 - 6:23
    Kuna nguvu kwa hilo jina lenye dhamani kubwa la YESU KRISTO.
  • 6:23 - 6:30
    linalo fanya shetani na wakala wake watetemeke na wakimbie.
  • 6:51 - 6:56
    sasa hivi , watu wa MUNGU, mahali popote ulipojiunga na ibada hii.
  • 6:56 - 7:04
    Nataka uweke mkono wako kwa kichwa chako na ukiri, sema na mimi sasa.
  • 7:04 - 7:12
    mimi ni wa YESU KRISTO
  • 7:12 - 7:14
    KIRI HAYA SASA.
  • 7:40 - 7:47
    Wewe shetani , nakuamuru uondoe mkono wako!
  • 7:47 - 7:50
    Ondoa mkono wako kwa familia hiyo.
  • 7:50 - 7:53
    Ondoa mkono wako kwa nyumba ile
  • 7:53 - 7:55
    Ondoa mkono wako kwa ndoa ile.
  • 7:55 - 8:02
    Nakuamuru sasa toka sasa hivi!
  • 8:02 - 8:04
    Toka na utumwa wako.
  • 8:04 - 8:05
    Toka na mizigo yako.
  • 8:05 - 8:08
    Ondoka kwa jina la YESU.
  • 8:33 - 8:45
    Ndio ! na amuru kira roho mchafu afanyae kazi kwa kichwa chako , macho , masikio mdomo-
  • 8:45 - 8:50
    wewe roho mchafu , toka sasa !
  • 8:50 - 8:55
    Toka ! kwa jina kuu la YESU KRISTO
  • 9:20 - 9:26
    Watu wa MUNGU ROHO MTAKATIFU ako anafanya kazi sasa, sikiza!
  • 9:26 - 9:37
    Kila shambulizi la kimapenzi (Ngono) kwenye ndoto- huyo mwanamume wa ajabu au usiye mjua , mwanamke anayelala nawe-
  • 9:37 - 9:42
    na sema achanishwa nae.
  • 9:42 - 9:45
    achanishwa nae kwa jina LA YESU .
  • 10:15 - 10:22
    Hua muunganiko na mume mchafu wa kiroho, uhu munganiko na mke wa kimapepo-
  • 10:22 - 10:30
    na sema kwa huo muunganiko wa kimapepo! vunjwa sasa!
  • 10:30 - 10:37
    Vunja huo muunganiko wa kimapepo. vunja !
  • 11:06 - 11:13
    Hizo ndoto mbaya , huo uvamizi wa kiroho unaosumbua usingizi wako. usiku wako-
  • 11:13 - 11:20
    Nasema kwa hizo ndoto mbaya, kunjika sasa.
  • 11:48 - 11:56
    sasa hivi , hiyo tabia mbaya inayo fungua mlango wa kifungo maishani mwako-
  • 11:56 - 12:04
    na sema sasa, wekwa huru!, wekwa huru, kwa jina la YESU KRISTO
  • 12:04 - 12:07
    Wekwa huru kutokana na tabia mbaya!
  • 12:07 - 12:09
    wekwa huru kutokana na uraibu!
  • 12:09 - 12:14
    wekwa huru kwa jina la YESU KRISTO.
  • 12:40 - 12:43
    Hilo gereza la uraibu-
  • 12:43 - 12:55
    Uraibu wa pombe, sigara , picha za ngono, simu , mtandao, mitandao ya kijamii-
  • 12:55 - 13:03
    na sema kwa huo uraibu , vunjika sasa.
  • 13:03 - 13:06
    Vunjika! kwa jina la YESU KRISTO
  • 13:06 - 13:10
    Wekwa huru kutokana na uraibu huo.
  • 13:10 - 13:14
    Wekwa huru kwa jina la YESU KRISTO.
  • 13:43 - 13:52
    Kuna watu wengi hii leo ambao wako chini ya uvamizi wa roho ya kuchanganyikiwa.
  • 13:52 - 13:55
    Hawajielewi wao ni kina nani .
  • 13:55 - 14:01
    Wamechanganyikiwa kuhusu wao ni kina nani haswa, kuhusu MUNGU ANASEMA WAO NI KINA NANI.
  • 14:01 - 14:12
    Sasa ! na sema kwa huyo roho wa kuchanganyikiwa- tupwa inje.
  • 14:12 - 14:17
    Tupwa inje, kwa jina la YESU KRISTO
  • 14:49 - 14:53
    Watu wa MUNGU, katika hii hali ya IMANI , Tunaona ROHO MTAKATIFU AKITENDA KAZI.
  • 14:53 - 14:55
    Tunamwona ROHO MTAKATIFU akitembea.
  • 14:55 - 15:01
    Weka mkono wako mahali popote unapo hisi maumivu mwilini.
  • 15:01 - 15:07
    Weka mkono wako hapo. kama mahali pa mawasiliano kwa imani
  • 15:07 - 15:22
    Mahali popote ugonjwa ulipo kita mizizi na kuweka makao mwilini mwako, na tangaza uponyaji!
  • 15:22 - 15:27
    Pokea uponyaji , kwa jina la YESU.
  • 15:52 - 15:57
    Sikiliza , usikubali shida hiyo kama yako.
  • 15:57 - 16:00
    Usikubali au kuhitimisha ugonjwa huo kama ni haki yako.
  • 16:00 - 16:09
    Maandiko yanasema katika kitabu cha WAKORINTHO 6:19 kwamba mwili wako ni hekalu la ROHO MTAKATIFU,
  • 16:09 - 16:14
    Sio hekalu la roho wa magonjwa, mateso ama uchungu.
  • 16:14 - 16:26
    Sasa hivi , kuingo chochote kilicho haribiwa na roho wa magonjwa.
  • 16:26 - 16:37
    na tangaza kuhuwishwa (Urejesho), Huwishwa!
  • 17:18 - 17:28
    Kila kiungo kilicho haribiwa mwilini mwako- anza kutenda kazi sasa!
  • 17:28 - 17:32
    Mahali popote palipo haribiwa moyoni mwako-
  • 17:32 - 17:35
    Je ni akilini mwako ? je ni tumboni mwako?.
  • 17:35 - 17:38
    Je ni mapafu , maini, figo zako ?
  • 17:38 - 17:45
    Mahali popote palipo haribiwa , anza kufanya kazi sasa !
  • 17:45 - 17:50
    Fanya kazi kwa nguvu iliyoko kwa jina la YESU KRISTO.
  • 18:23 - 18:26
    Ni wapi ugonjwa huo ulipo jificha?.
  • 18:26 - 18:31
    Ni wapi ugonjwa huo unapo vizia mwilini mwako ?.
  • 18:31 - 18:37
    sasa! chochote ulicho kula kutoka kwa meza ya adui .
  • 18:37 - 18:43
    Kwenye ndoto ambacho kimetia au kuleta sumu mwilini.
  • 18:43 - 18:52
    nasema sasa- safishwa inje(Tolewa inje )
  • 18:52 - 18:58
    Itapike sasa, tapika ugonjwa huo, sumu
  • 18:58 - 19:04
    Hayo mateso usiyo yaelewa- toka sasa!
  • 19:47 - 19:51
    Najua kuna wengine wetu wako na picha za wapendwa wetu.
  • 19:51 - 19:56
    Hawako ki mwili na wewe kwa maombi haya lakini kwa imani wako na wewe.
  • 19:56 - 20:02
    Shikilia juu picha zao sasa., tusimame kwa imani kwa niaba yao.
  • 20:02 - 20:15
    Nasema kwake huyo mwana familia, kwa huyo mpendwa aliye katika kifungo cha uraibu, ukaidi, kifungoni
  • 20:15 - 20:23
    Mahali popote walipo sasa- wekwa huru!
  • 20:23 - 20:28
    Wekwa huru kwa jina la YESU!
  • 20:55 - 21:00
    Natuma neno la imani kwa huyo mpendwa aliye kitandani mgonjwa.
  • 21:00 - 21:08
    Aliyezingirwa na magonjwa, huzuni , shida.
  • 21:08 - 21:16
    kwa jina la YESU , wekwa huru!
  • 21:16 - 21:20
    wekwa huru kwa jina la YESU.
  • 21:49 - 21:55
    Nataka sasa kufanya maombi na walioko kwa ndoa, walioko kwa ibada hii
  • 21:55 - 22:00
    kama uko hapa na mume wako ama mke wako sasa-
  • 22:00 - 22:01
    tafadhali mshiliane mikono.
  • 22:01 - 22:04
    Wacha tukaombee ndoa.
  • 22:04 - 22:14
    Chochote kinacho kuibia pumziko katika ndoa yako , nyumbani mwako,
  • 22:14 - 22:22
    nasema sasa- ondolewa ! ondolewa kwa jina la YESU!
  • 22:44 - 22:52
    Natamka urejesho kwa nyumba yako , Huwishwa!
  • 22:52 - 22:56
    Wacha mateso hayo yakaondolewe.(Huwishwa)
  • 22:56 - 23:00
    Wacha kuelewana kukarejeshwe.
  • 23:00 - 23:07
    Wacha umoja ukarudishwe.
  • 23:33 - 23:37
    Kuna nyumba nyingi ambazo zina kosa amani leo.
  • 23:37 - 23:45
    Sababu badala tupate somo na makosa yetu tunayarudia.
  • 23:45 - 23:51
    Sababu ya haya sio mbali na kiburi.
  • 23:51 - 23:58
    Na amuru kila roho wa kiburianaye sababisha usitambue makosa yako.
  • 23:58 - 24:03
    Huyo roho wa kiburi- toka sasa!
  • 24:03 - 24:08
    Toka kwa ndoa yako !, toka inje ya nyumba yako ! toka inje ya familia yako!
  • 24:08 - 24:12
    toka kwa JINA LA YESU KRISTO.
  • 24:50 - 24:56
    Mabwana na mabibi mlioko chini ya ibada hii- sikiliza hii
  • 24:56 - 24:59
    Weka yakale na uendelee mbele.
  • 24:59 - 25:04
    Weka mambo madogo madogo nyuma na uendelee mbele
  • 25:04 - 25:06
    Endelea mbele na ndoa yako
  • 25:06 - 25:08
    Endelea mbele katika utu uzima
  • 25:08 - 25:09
    endelea mbele kwa upendo.
  • 25:09 - 25:11
    Endelea mbele katika kuelewana
  • 25:11 - 25:15
    Pokea neema ya kuendelea mbele.
  • 25:49 - 25:54
    katika hali hiyo, kuna wengi wetu wamejiunga sasa
  • 25:54 - 26:02
    ambao biashara zao , kazi zao , zimekwama au ziko katika hali ya Vilio.
  • 26:02 - 26:09
    mzunguko wa ukosefu , yatosha yatosha!
  • 26:09 - 26:17
    sasa! pokea neema ya kuendelea mbele kwa biashara yako.
  • 26:17 - 26:19
    Endelea mbele kifedha.
  • 26:19 - 26:21
    Endelea mbele katika kazi yako.
  • 26:21 - 26:25
    Endelea mbele.
  • 26:25 - 26:28
    Usikwame katika vilio.
  • 26:28 - 26:30
    Usijikute katika kubeba mambo ya kale na kuyaleta katika wakati huu
  • 26:30 - 26:33
    endelea mbele kwa jina la YESU.
  • 27:26 - 27:33
    Kwa mammlaka yalioko kwa jina la YESU KRISTO.
  • 27:33 - 27:37
    Wekwa kunako mafanikio
  • 27:37 - 27:41
    Wekwa katika mafanikio ya kiungu.
  • 27:41 - 27:45
    wekwa katika kibali kisicho cha kawaida.
  • 27:45 - 27:51
    wekwa katika kuendelea.
  • 28:15 - 28:19
    Wenye wanatafuta kuajiriwa kazi,
  • 28:19 - 28:24
    nawaambia sasa- wekwa kwa kazi yako!
  • 28:24 - 28:29
    Wenye mnao cheleweshwa kupandishwa cheo kazini.
  • 28:29 - 28:33
    nawaambia sasa- wekwa katika kupandishwa ngazi.
  • 28:33 - 28:39
    Wekwa katika maongezeko! wekwa katika kuendelea !
  • 29:06 - 29:14
    Watu wa MUNGU! nataka kufanya Ombi sasa kwa wanafunzi.
  • 29:14 - 29:20
    Najua kuna wanafunzi wengi wanaosomea mitihani, na walioko katikati mwa mitihani.
  • 29:20 - 29:22
    nataka kuwaombea sasa.
  • 29:22 - 29:32
    Kama unavyo omba kama kila kitu kinategemea MUNGU, na kusoma kama kila kitu kinakutegemea wewe
  • 29:32 - 29:38
    pokea Neema ya kufaulu!
  • 29:38 - 29:46
    natangaza kufaulu kimasomo kwa jina la YESU.
  • 30:14 - 30:27
    Huyo roho wa kuhairisha mambo - toka sasa, kwa jina la YESU.
  • 30:45 - 30:57
    Chochote kinachokatiza mtazamo wako au kuzingatia kwako- toka ondolewa ! ondoka sasa!
  • 30:57 - 31:05
    Hiyo roho ya kupoteza mwelekeo au mtazamo - nasema , toka kwa JINA LA YESU.
  • 31:30 - 31:35
    Watu wa MUNGU , sasa , nataka ushikilie bendera ya inchi yako.
  • 31:35 - 31:40
    Tusimame kwa Maombi kwa ajili ya mataifa ya duniani.
  • 31:40 - 31:52
    Chochote kinacholeta mvutano kwa inchi yako , kiwe ni siyasa, dini ama mvutano wa kitamaduni.
  • 31:52 - 32:01
    Mvutano wowote , mwulize MUNGU sasa kwa utulivu utawale inchi yako
  • 32:01 - 32:07
    Kwa amani yake itawale, kwa haki yake itawale inchi yako.
  • 32:07 - 32:15
    Mwulize sasa kwa huo utulivu kutoka juu utawale inchi yako.
  • 32:52 - 33:01
    Mwulize MUNGU sasa akusaidie upate tabia za KIUNGU.
  • 33:01 - 33:05
    Zenye zitakusaidia kulinda ama kuhifadhi uhusiano na YEYE
  • 33:05 - 33:07
    Mwombe sasa.
  • 33:07 - 33:15
    Mwombe MUNGU akusaidie upate tabia za KIUNGU zenye zita kutia nguvu maisha yako ya ROHONI.
  • 33:15 - 33:19
    Zenye zitakusaidia kuhifathi ama kutunza uhusiano wako na YEYE
  • 33:19 - 33:22
    Mwombe sasa!
  • 33:57 - 34:11
    Kwa hii safari ya imani, mwulize MUNGU akusaidie uinuke juu ya uwoga, wasiwasi,
  • 34:11 - 34:19
    Mwulize sasa, Mwulize YEYE. Akusaidie upande juu ya yote.
  • 34:48 - 34:58
    Huo mtego wa kujilinganisha- nasema , panda juu yake.
  • 34:58 - 35:05
    Mtego wa kujilinganisha uliotiwa moto na ubinadamu wa nyama na damu panda juu yake.
  • 35:05 - 35:13
    Huo mtego wa kujiona duni- panda juu yake kwa JINA LA YESU.
  • 35:45 - 35:52
    Kwa jina la YESU KRISTO TUMEOMBA.
  • 35:59 - 36:12
    Watu wa MUNGU, KATIKA ZAMBURI 107:13-14 MAANDIKO YANASEMA HIVI :
  • 36:12 - 36:21
    Alafu wakamlilia MUNGU wakati washida,
  • 36:21 - 36:25
    NAE AKAWAOKOA KUTOKA KWA MATESO
  • 36:25 - 36:32
    Akawatoa kutoka giza, na minyororo ya Kifo.
  • 36:32 - 36:38
    na akavunja minyororo vipande vipande.
  • 36:38 - 36:44
    Leo, nasema kwako kwa imani-
  • 36:44 - 36:57
    MUNGU AMEKUTOA WEWE GIZANI NA AKAKULETA KWA MWANGAZA WAKE MKUUNA AKAVUNJA HIYO MINYORORO!
  • 36:57 - 37:03
    AMEKUTOA KWA KIFUNGO HICHO NA AKAKUWEKA HURU
  • 37:03 - 37:07
    AMEKUTOA KWA MAGONJWA AKAKUWEKA KWENYE UZIMA WA AFYA.
  • 37:07 - 37:11
    Amekutoa kwa uwoga akakuweka kunako uhuru.
  • 37:11 - 37:15
    Amekutoa kunako uchungu akakuweka kunako amani.
  • 37:15 - 37:22
    Amekukomboa na kuvunja hiyo minyororo.
  • 37:22 - 37:24
    Furahia kuwekwa huru kwako.
  • 37:24 - 37:28
    Leo , umewekwa katika nafasi ya kuendelea na mafanikio
  • 37:28 - 37:31
    Umewekwa nafasi ya maendeleo na mafanikio
  • 37:31 - 37:34
    Umewekwa nafasi ya mpenyo wa kiungu.
  • 37:34 - 37:37
    Umewekwa nafasi ya upendeleo wa kiungu usio wa kawaida.
  • 37:37 - 37:40
    Umewekwa kwa , katika nafasi za kipekee.
  • 37:40 - 37:45
    Furahia kuachiliwa kwako.
  • 37:45 - 37:56
    Lakini weka hili makini- leo umewekwa karika masafa ya kiungu au mbiguni.
  • 37:56 - 38:07
    Usikubali hali yeyote ya Dunia hii kuweka moyo wako chini, kaa umejiunganisha.
  • 38:07 - 38:10
    Usirudie kutosamehe kwako
  • 38:10 - 38:12
  • 38:12 - 38:16
  • 38:16 - 38:19
  • 38:19 - 38:29
  • 38:29 - 38:38
  • 38:38 - 38:44
  • 38:44 - 38:55
  • 38:55 - 39:00
  • 39:00 - 39:06
  • 39:06 - 39:11
  • 39:11 - 39:20
  • 39:20 - 39:25
  • 39:25 - 39:34
  • 39:34 - 39:43
Title:
WEKWA KATIKA NAFASI ya MAENDELEO!!! | Maombi ya Mafanikio | Ndugu Chris
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
God's Heart TV
Duration:
40:13

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions