-
Hii kura ya Britain kuuacha Umoja wa Uropa
-
italeta madhara makuu tusioweza kutabiri.
-
Kwengine twaweza, ila kwingi hatuwezi.
-
Lakini kwa sasa ni vigumu kuona nchi hizi
nyingi tofauti
-
zikiwa na historia tofauti sana, zikiwemo
historia za uadui kwa wenzio,
-
ni vigumu sana kuziona zikiweza
kuungana pamoja.
-
Asili ya Umoja wa Uropa ni, bila shaka,
Vita vya pili vya Ulimwengu-
-
hili janga lisilo la kawaida-
kizazi cha watu wa
-
Uropa, waliosema,
"Hatutafanya hivi tena!"
-
Kulikuwa na kuelewana eti,
ungalitaka kuweka amani,
-
inabidi uwe na aina ya
mfumo wa kiuchumi
-
ambao husababishi chuki
ama kusababisha ubinafsi.
-
Watu wengi hawataelewa ama kujua
eti dini ilikuwa hasa
-
chembe muhimu sana katika
uanzishwaji
-
wa jamii ya Uvhumi Uropa.
-
Bado kuna kipengele cha kidini kwa wingi
wa mjadala katika Umoja wa Uropa.
-
Katika mwanzo wa 2000, aliyekuwa Rais
wa Tume ya Uropa,
-
Romano Prodi, alinakiri kitabu.
-
Kiliandikwa kwa Ki-Italia, lakini tafsiri
ya mada ina maana, "Wazo la Uropa".
-
Na akasema, "Nini chaweza shika hizi
nchi nyingi tofauti?
-
Haitoshi kwa wasomi kupendekeza
muungano wa kisiasa.
-
Lazima pawe na jambo la kitamaduni."
-
Na akasema, "Lile jambo moja wa-Uropa
wote hufanana,
-
jambo moja la kutufunganisha pamoja
-
ni uaminifu kwa Kanisa."
-
Lakini alikuwa muItalia.
Alimaanishaje?
-
Alimaanisha, Kanisa la Kirumi Katoliki.
-
Hio ndio hadithi ya watu wanaojaribu
kufanya Uropa iwe chumba-umeme
-
na bado kushindwa, tena na tena.
-
Muwaze Napoleon: yote yalionekana
timilifu, ila, mwongo tu, na ikashindwa.
-
Muwaze Hitler: ikashindwa.
-
Kama mwanaUropa, nilikua nikiuliza:
"Uropa huingianaje na unabii wa Biblia?"
-
Danieli sura 2: mfalme anaota ndoto -
Nebuchardnezzar anaota -
-
na kwa hiyo ndoto, anaona mchongo kubawa,
mchongo wa kucutia.
-
Vyuma tofauti vinatumika kuashiria
falme tofauti.
-
anatagulia kama kichwa, kichwa cha dhahabu
Babylon, Medo-Persia, himaya ya Kiyunani
-
na mwisho, nguvu ya himaya
ya Kirumi,
-
lakini kuna jambo lingine.
Kuna vidole vya miguu, na miguu,
-
iliyoundwa na mchanganyiko wa udongo na
chuma.
-
Na Danieli, kwa namna, asema,
"Havitashikamana.
-
Vingine vina nguvu, vingine ni dhaifu."
Na hio inaonekana ndiyo hadithi ya Uropa.
-
Haswa unapotizama matukio hivi karibuni-
matukio Uyunani, Spain, Italia, Cyprus -
-
ambapo msingi wa nchi za EU, nchi za
kaskazini za EU, zinaonekana zikionea,
-
jinsi ya kuingilia mwaswala ya watu,
vilevile inabidi tuseme,
-
aina zote za chuki za kikablia na kitaifa
zilizoonekana kama ziliaga katika
-
mabaki ya Vita vya pili vya Ulimwengu, na
havijaonekana kwa miak 70,
-
vinarejea kifulani kwa fujo na kimiujiza.
-
Hivo, ukiwaza matatizo yote yaliyomo
kwa Umoja wa Uropa, kwa moja ya
-
zile tatu uchumi kuu, inayochangia zaidi
kwa ulinzi wa kawaida na
-
sera geni, kuondoka - hii italeta
utupu pale katikati.
-
Unabii sio tu
-
jambo la kuvutia tusomalo, wajua, kwa
vitabu historia, ama madarasa ya Biblia.
-
Twawezapata mielekeo yetu, mwelekeo muu,
picha kuu
-
kutoka unabii.
-
Maandiko yanatwambia hapatakuwa
Uropa moja nyingine,
-
Itakuwa dhaifu and yenye nguvu.
Na tunaona hilo.
-
Lakini hadithi haikomei pale.
Danieli sura 2 haikomi na ule
-
mchongo na miguu
ulochanganyika chuma na udongo.
-
Kuna mwamba: ni ndogo mwanzo,
lakini lili jiwe linauvunja mchongo wote.
-
Hilo jiwe ndogo linalokuwa jiwe kubwa,
ni Yesu Kristo.
-
Ufalme mpya. Ufalme wa Mungu.