< Return to Video

Jinsi ya kuona habari bandia - factcheck.org

  • 0:01 - 0:02
    Uongo wa habari si jambo jipya.
  • 0:02 - 0:06
    Lakini hadithi za uongo zinaweza kufikia watu wengi zaidi kwa haraka kupitia mitandao ya kijamii
  • 0:06 - 0:10
    kuliko barua pepe za kawaida za virusi zilizoweza kufanikisha hapo awali kwa miaka mingi.
  • 0:10 - 0:13
    Wengi wa madai haya ya virusi sio "habari" kabisa,
  • 0:13 - 0:15
    bali ni hadithi za uongo, mzaha,
  • 0:15 - 0:17
    na jitihada za kuwadanganya wasomaji na kuwafanya wadhani ni kweli.
  • 0:18 - 0:21
    Hapa kuna mikakati kadhaa
    ya kujilinda na habari za uongo.
  • 0:21 - 0:23
    Je, unafahamiana na chanzo?
  • 0:23 - 0:24
    Je, ni halali?
  • 0:24 - 0:26
    Je, kilikuwa na uaminifu hapo awali?
  • 0:27 - 0:29
    Ikiwa sivyo, huenda usitake kuamini hiyo.
  • 0:30 - 0:32
    Ikiwa kichwa cha habari kinavutia hisia zako,
  • 0:32 - 0:36
    soma kidogo zaidi kabla ya kuamua
    kueneza habari hizo za kushangaza.
  • 0:36 - 0:38
    Hata katika hadithi halali za habari,
  • 0:38 - 0:40
    kichwa cha habari hakiambii kila kitu.
  • 0:41 - 0:42
    Lakini habari za uongo,
  • 0:42 - 0:44
    hasa jitihada za kuwa mzaha,
  • 0:44 - 0:46
    zinaweza kuwa na ishara kadhaa
    katika maandishi.
  • 0:47 - 0:50
    Hadithi moja ya uongo ilihusisha
    kumhusisha dubu-maji kwa kumnukuu.
  • 0:50 - 0:53
    Ikiwa ingekuwa halisi,
    ungekuwa na hoja kuwa walificha habari muhimu.
  • 0:54 - 0:57
    Ishara nyingine inayoonyesha hadithi ya uongo
    ni kawaida jina la mwandishi,
  • 0:57 - 0:58
    ikiwa lipo.
  • 0:59 - 1:01
    Na kwa baadhi ya visa,
    waandishi hata sio halisi.
  • 1:01 - 1:04
    Hadithi moja iliongozwa na "daktari"
  • 1:04 - 1:07
    ambaye alishinda "tuzo kumi na nne za Peabody na Pulitzer Prizes kadhaa,"
  • 1:08 - 1:11
    ambayo ingekuwa ya kuvutia sana
    ikiwa haikuwa kabisa ya uongo.
  • 1:13 - 1:18
    Maranyingi hadithi hizi za uongo zitatambulisha
    vyanzo vya rasmi au vyanzo vyenye sauti ya kuaminika,
  • 1:18 - 1:21
    lakini ukiichunguza,
    chanzo hakiungi mkono madai hayo.
  • 1:21 - 1:24
    Baadhi ya hadithi za uwongo sio kabisa za uongo,
  • 1:24 - 1:26
    bali ni upotoshaji wa matukio halisi.
  • 1:26 - 1:29
    Madai ya uongo yanaweza kuchukua habari halali
  • 1:29 - 1:30
    na kuzidharau,
  • 1:30 - 1:33
    au hata kudai kuwa jambo
  • 1:33 - 1:34
    lililotokea zamani linahusiana na tukio la sasa.
  • 1:35 - 1:39
    Tovuti moja ya udanganyifu ilichukua hadithi
    iliyokuwa na zaidi ya mwaka mmoja kutoka CNN
  • 1:39 - 1:42
    na kuibandika kichwa kipya
    na tarehe mpya ya chapisho,
  • 1:42 - 1:46
    ambayo inaongeza udanganyifu,
    pia kuna uvunjaji wa haki miliki.
  • 1:46 - 1:49
    Kumbuka, kuna kitu kinachoitwa mzaha.
  • 1:49 - 1:52
    Kwa kawaida, kinaelezewa wazi kama hivyo,
    na mara nyingine ni hata kuchekesha.
  • 1:53 - 1:54
    Lakini sio habari.
  • 1:55 - 1:57
    Na kuna
    maelezo yanayopingana zaidi ya mzaha,
  • 1:57 - 1:59
    yaliyoundwa kumdanganya msomaji.
  • 1:59 - 2:02
    Machapisho haya pia yana lengo
    la kuhamasisha bonyeza,
  • 2:02 - 2:04
    na kuzalisha mapato kwa mwandishi
    kupitia matangazo.
  • 2:05 - 2:06
    Lakini sio habari.
  • 2:07 - 2:08
    Tunajua kuwa jambo hili ni gumu.
  • 2:08 - 2:10
    Upendeleo wa uthibitisho unawafanya watu
  • 2:10 - 2:13
    kuamini zaidi taarifa zinazothibitisha imani zao
  • 2:13 - 2:15
    na kupuuza taarifa ambazo hazifanyi hivyo.
  • 2:15 - 2:17
    Lakini wakati ujao
    unaposhtuka kiotomatiki
  • 2:17 - 2:22
    na baadhi ya chapisho kwenye mitandao ya kijamii kwa mfano, kuhusu mwanasiasa unaempinga,
  • 2:22 - 2:23
    chukua muda kuchunguza.
  • 2:23 - 2:25
    Jaribu jaribio hili rahisi:
  • 2:25 - 2:28
    Ni hadithi nyingine zipi zimechapishwa
    kwenye tovuti ya "habari"
  • 2:28 - 2:30
    ambayo ndio chanzo cha habari
  • 2:30 - 2:32
    iliyotokomea kwenye kikasha chako cha mitandao ya kijamii?
  • 2:33 - 2:36
    Huenda tayari unatayarishwa kuamini
    hadithi kuhusu mwanasiasa usiyempenda,
  • 2:36 - 2:39
    lakini ikiwa tovuti ya "habari" iliyodaiwa
    pia ina habari
  • 2:39 - 2:43
    kama "walinzi kutoka Antaktika
    wakijibu dhidi ya Marekani
  • 2:43 - 2:45
    kwa kuiathiri New Zealand
    na tetemeko la ardhi,"
  • 2:45 - 2:47
    labda unapaswa kufikiria mara mbili
    kabla ya kushiriki.
  • 2:48 - 2:50
    Na ndiyo, hadithi ya tetemeko la ardhi hiyo
  • 2:50 - 2:52
    ni mfano halisi wa hadithi ya uongo iliyotokea.
  • 2:53 - 2:56
    Tunajua wewe ni mzito, na kuthibitisha haya kunachukua muda.
  • 2:57 - 2:59
    Lakini wachunguzi wa ukweli hulipwa
    kufanya kazi kama hii.
  • 3:00 - 3:02
    Kati ya FactCheck.org,
  • 3:02 - 3:03
    Snopes.com,
  • 3:03 - 3:05
    Washington Post Fact Checker,
  • 3:05 - 3:06
    na PolitiFact.com,
  • 3:06 - 3:09
    labda angalau moja imekwishathibitisha
    madai ya viral ya hivi karibuni
  • 3:09 - 3:12
    kwenye habari za mitandao ya kijamii yako.
  • 3:12 - 3:13
    Na kumbuka:
  • 3:13 - 3:15
    Wanasoma habari wenyewe
  • 3:15 - 3:17
    ndio mstari wa kwanza
    wa ulinzidhidi ya habari za uongo.
  • 3:18 - 3:20
    Ili uone zaidi, tembelea FactCheck.org.
  • 3:20 - 3:23
    Maandishi ya chini
    ya skrini yameandikwa na Maurício Kakuei Tanaka Mapitio
    ya Mirjam van Dijk
Title:
Jinsi ya kuona habari bandia - factcheck.org
Description:

http://www.flackcheck.org-Soma zaidi kwa: https://www.factcheck.org/2016/11/how-to-spot-fake-news/

more » « less
Video Language:
English
Team:
Amplifying Voices
Project:
Misinformation and Disinformation
Duration:
03:23

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions