-
-
Hebu tuone kama tunaweza kukokotoa ukubwa
-
wa huu mche mstatili, nadhani
-
unaufananisha na umbo la tofali
-
au tangisamaki.
-
Na kinachovutia hapa ni hivi vipimo
-
vilivyo kwenye sehemu, tuna upana.
-
Tunaweza kusema huu ni upana.
-
Upana wa hapa ni hatua 3/5.
-
Urefu wa hapa ni hatua 1 na 1/6,
-
na urefu wa hapa ni hatua 3/7.
-
Hivyo simamisha hii video,
-
na ujaribu kutafuta ukubwa wa umbo hili mwenyewe,
-
kabla ya kufanya pamoja.
-
Hivyo kuna njia mbalimbali za kufanya swali hili.
-
Njia moja wapo ya kufanya swali hili ni
-
kuweka hatua za ukubwa hapa,
-
na njia ya kutafuta hatua za ukubwa zitakazofaa
-
hapa ni kutafuta eneo la hiki kitako
-
hapa.
-
Hivyo muda mwingine unaweza kusema ukubwa ni
-
sawa na eneo la kitako mara urefu.
-
Huu hapa ni urefu,
-
ngoja niuelezee.
-
Hili ni eneo la kitako.
-
Eneo la kitako mara urefu.
-
Vizuri, eneo la kitako ni nini?
-
Eneo la kitako ni sawa
-
na urefu mara upana, hivyo huenda
-
umeona ikiandikwa kama hivi.
-
Huenda umeona ikiandikwa kama eneo la kitako,
-
litakuwa urefu mara upana.
-
Zidisha upana.
-
Urefu mara upana ni sawa na eneo la kitako chako,
-
hapa.
-
Na bila shaka, utazidisha mara urefu.
-
Au njia nyingine ni,
-
kuzidisha urefu uliopewa
-
mara upana mara urefu.
-
Utazidisha vipimo vitatu vya umbo hili,
-
ilikupata hatua za ukubwa
-
wa hili umbo.
-
Hivyo hebu tukokotoe.
-
Ukubwa utakuwa...urefu wetu ni ngapi?
-
Urefu wetu ni hatua 1 na 1/6.
-
Ninapozidisha sehemu,
-
Sipendelei kuzidisha namba mchanganyiko.
-
Huwa napendelea kuandika kwenye sehemu isiyo sahili.
-
Hivyo nabadili 1 na 1/6 kuwa sehemu isiyo sahili.
-
1 ni sawa na 6/6.
-
Jumlisha 1 ni 7/6.
-
Hivyo hii itakuwa 7/6.... huu ni
-
urefu --- mara 3/5--- huu ni urefu nilionao--
-
mara urefu, ambao ni 3/7.
-
-
Na tunapozidisha sehemu,
-
tunazidisha viasi, hivyo itakuwa 7 mara
-
3 mara 3.
-
Na asili, tunazidisha asili.
-
Hivyo itakuwa 6 mara 5 mara 7.
-
-
Sasa, tunazidisha hizi namba,
-
ilitupate jibu lililorahisiswa
-
hebu tuone.
-
Tuna 7 kwenye kiasi na 7 kwenye asili,
-
hivyo tugawe kiasi na asili kwa 7.
-
-
Hivyo hii itakuwa 1, na hizi zote zitakuwa 1.
-
Pia tumeona kwenye kiasi na asili kuna 3.
-
Zote zinagawanyika kwa 3.
-
Tunaona 3 hapa juu.
-
Tunaona 3 hapa.
-
Hivyo tunagawanya kiasi
-
na asili kwa 3.
-
Hivyo tunagawanya kwa 3.
-
Gawanya kwa 3.
-
3 gawanya kwa 3 ni 1.
-
6 gawanya kwa 3 itakuwa sawa na 2.
-
Hivyo kwenye kiasi, tumebakiwa na ngapi?
-
Hii itakuwa sawa na kilichobakia,
-
kwenye hii 3.
-
Itakuwa sawa na 3 chini ya 2 mara 5.
-
2 mara 5 ni 10.
-
2 mara 5.
-
Hivyo ukubwa wa hapa ni hatua za ukubwa 3/10.
-
au tunaweza kujaza hatua za ukubwa 3/10 ndani ya hili tofali,
-
au hili tangisamaki, vyovyote utakavyoliita.