< Return to Video

Maombi Mungu anajibu siku zote / Nabii TB Joshua

  • 0:00 - 0:06
    Umekua ukifunga lakini Hakuna matokeo?
  • 0:06 - 0:08
    Jaribu haya kuanzia leo
  • 0:08 - 0:14
    Wow! Mungu wangu utakua hapa na ushuhuda
  • 0:15 - 0:20
    NEEMA na Amani kwenu katika Jina la Yesu
  • 0:20 - 0:25
    Karibu katika kipindi kingine cha 'Urithi unaoishi'
  • 0:25 - 0:31
    Leo tunawaletea maonesho mawili kutoka kwa Nabii TB Joshua
  • 0:31 - 0:37
    Akiongelea Mada muhimu Sana na yenye maelekezo
  • 0:37 - 0:41
    Ambayo itakusaidia Maisha yako ya ukristo
  • 0:41 - 0:45
    Onyesho la Kwanza limechukuliwa katikati ya ibada
  • 0:45 - 0:49
    Na ya pili imeoneshwa katikati ya ushuhuda
  • 0:49 - 0:54
    Kutoka kwa binti wa Afrika ya kusini, aliepokea uponyaji
  • 0:54 - 0:59
    Kutoka kwenye nguvu za giza zilizo mpeleka kwenye uchawi
  • 0:59 - 1:05
    Na wakati Nabii TB Joshua anasikiliza ushuhuda wake
  • 1:05 - 1:10
    Alitumia uzoefu wa Maisha Yake kama fursa
  • 1:10 - 1:15
    Kufundisha watu kanuni hii muhimu
  • 1:15 - 1:21
    Sasa barikiwa wakati una jifunza Aina hii ya maombi
  • 1:21 - 1:29
    Aina ya mfungo unaovuta uelekeo wa Mungu
  • 1:29 - 1:32
    Hebu tuangalie
  • 1:32 - 1:37
    Kama hutaki shetani akutumikishe, Tafadhali fanyia kazi tabia yako
  • 1:37 - 1:41
    Hii ina maana kuanzia Leo, usianze kumuambia Mungu 'niponye'
  • 1:41 - 1:47
    Kemea udhaifu wako
  • 1:47 - 1:51
    Kuanzia Leo acha kusema 'Mungu nibariki'
  • 1:51 - 1:56
    Kemea udhaifu wako
  • 1:56 - 1:59
    Kuanzia Leo acha kusema 'Mungu nilinde'
  • 1:59 - 2:01
    Watu wananifatilia, Wanataka kuniua
  • 2:01 - 2:02
    Unapoteza muda wako
  • 2:02 - 2:07
    Nenda moja kwa moja - Kemea udhaifu wako
  • 2:07 - 2:11
    Hiyo ni njia anayo tumia shetani, kuingia
  • 2:11 - 2:13
    Kukutesa na umasikini
  • 2:13 - 2:15
    Kukutesa na kutojiamini
  • 2:15 - 2:17
    Kukutesa na magonjwa
  • 2:17 - 2:19
    Kukutesa na chochote unachokiongelea
  • 2:19 - 2:22
    Anatumia udhaifu wetu kutuingia
  • 2:22 - 2:29
    Ukifunga huo mlango, shetani hayupo tena
  • 2:29 - 2:39
    Kaka njoo, niyakusumbua Leo, sababu Hua unanisumbua
  • 2:39 - 2:46
    Simama hapa kaka, Tafadhali simama
  • 2:46 - 2:51
    Simama hapa
  • 2:51 - 2:59
    Huyu mtu atapita hapa Kuja kwanhi
  • 2:59 - 3:05
    Lakini sisi wawili tukiwa karibu Sana, Hakuna njia ya yeye kupita
  • 3:05 - 3:18
    Ina maana unaishi kwa ukamilfu-wingi wa maisha
  • 3:18 - 3:22
    Kilicho kizuri ni kufunga hiyo
  • 3:22 - 3:24
    Huo udhaifu
  • 3:24 - 3:31
    Hapa ni mlango wa udhaifu, kwa mtu huyu kupitia na kuja
  • 3:31 - 3:34
    Na mateso ya umasikini
  • 3:34 - 3:35
    Mateso ya magonjwa
  • 3:35 - 3:43
    Mateso ya kurudishwa nyuma - taja kila Aina ya mateso
  • 3:43 - 3:45
    Hapa ni Mahali pa kupita
  • 3:45 - 3:52
    Badala ya kusema 'Mungu niponye'
  • 3:52 - 3:55
    Inaleta maana yoyote kusema 'Mungu niponye?'
  • 3:55 - 4:04
    Kwanini usifunge njia na uwe na Maisha mazuri
  • 4:04 - 4:06
    Lakini tunaendelea kusema 'niponye'
  • 4:06 - 4:07
    Unapokua magonjwa unasema 'niponye'
  • 4:07 - 4:10
    Unapokua maskini unasema 'nibariki'
  • 4:10 - 4:13
    Unapokua tasa unasema 'nibariki na uzao'
  • 4:13 - 4:17
    Hapana, Mungu anajua Hali yako
  • 4:17 - 4:20
    Unapoanza kumuambia Mungu 'nataka kwenda kule'
  • 4:20 - 4:24
    Ina maanisha kusema Mungu ni kipofu
  • 4:24 - 4:27
    Mungu alie kuumba anakujua
  • 4:27 - 4:30
    Anajua pasipo Mahali Palo, anajua mawazo yako
  • 4:30 - 4:35
    Na wewe unamwambia 'mimi ni maskini, nibariki'
  • 4:35 - 4:37
    Inaleta maana?
  • 4:37 - 4:44
    Unasema nini Sasa? Kufanya na kutengeneza Maisha yako
  • 4:44 - 4:46
    Inabidi uimarishe Maisha yako
  • 4:46 - 4:52
    Maisha mengi yame chomolewa kutoka wa Muumbaji
  • 4:52 - 5:03
    Ili kuimarisha Maisha Tena, lazima tukemee udhaifu wetu
  • 5:03 - 5:09
    Hiki ndicho Mungu alimuambia Mtume Paul
  • 5:09 - 5:17
    Mara Tatu alimuambia 'niponye Nina mwiba kwenye mwili wangu'
  • 5:17 - 5:20
    Kila Muda Mungu alimuambia 'NEEMA yangu inakutosha'
  • 5:20 - 5:31
    Hii ina maana 'Ukamilifu wangu unakutosha'
  • 5:31 - 5:35
    Kila Muda mtume Paul alisema'niponye' Mungu alisema Neema yangu yakutosha
  • 5:35 - 5:44
    Ina maana tafuta Kwanza ufalme. Uponyaji, baraka, na kila kitu kitaongezwa
  • 5:44 - 5:53
    Mungu anatumia Paul kama mfano kwetu sote
  • 5:53 - 5:57
    Hatukusikia chochote baada ya Mungu kutamka Neno lile
  • 5:57 - 5:59
    'NEEMA yangu yakutosha
  • 5:59 - 6:00
    Hakuna rekodi kuhusu hiyo tena
  • 6:00 - 6:06
    Hatukuwahi kusikia ugonjwa huo ndio ulio muua Paul
  • 6:06 - 6:11
    Na Paulo aillishi umri alio ahidiwa na Mungu
  • 6:11 - 6:16
    Nini changamoto yako Sasa? Udhaifu
  • 6:16 - 6:23
    Mwambie jirani yako "changamoto yangu ni udhaifu" sio ugumu wa Maisha
  • 6:23 - 6:29
    Sio magonjwa. Sio masumbuko
  • 6:29 - 6:33
    Changamoto yangu ni udhaifu wangu
  • 6:33 - 6:36
    Hiyo ndio changamoto yako
  • 6:36 - 6:41
    Kama ungekua unaombea Hilo kwa muda
  • 6:41 - 6:44
    Hali yako isingebaki hivyo
  • 6:44 - 6:57
    Kwa ufupi, maombi yako kuanzia Leo yawe ni dhidi ya udhaifu wako
  • 6:57 - 7:01
    Mimi ni maskini - Mungu anajua
  • 7:01 - 7:04
    Naumwa--Mungu anajua
  • 7:04 - 7:07
    Mimi ni tasa - Mungu anajua
  • 7:07 - 7:10
    Changamoto yoyote uliyonayo Mungu anaijua
  • 7:10 - 7:12
    Sio lazima kuipa jina
  • 7:12 - 7:17
    Nipo hivi, nahitaji hivi
  • 7:17 - 7:22
    Ziba njia ambayo shetani anatumia kukutesa
  • 7:22 - 7:30
    Ziba njia ambayo shetani anatumia kukuumiza ambayo ni udhaifu
  • 7:30 - 7:32
    Anatumia udhaifu wetu kutudhuru
  • 7:32 - 7:33
    Anatumia madhaifu yetu kutushambulia
  • 7:33 - 7:36
    Anatumia madhaifu yetu kutupiga
  • 7:36 - 7:40
    Huo ni udhaifu, omba dhidi ya udhaifu wako
  • 7:40 - 7:46
    Na pale mlango huu utazimbwa, vitu vingine vitaongezeka kwako
  • 7:46 - 7:49
    Kitu kimoja kuhusu udhaifu
  • 7:49 - 7:52
    Unapofungua mdomo na kusema 'Mungu naongea sana'
  • 7:52 - 7:57
    Tafadhali naomba neema sitaki kuongea sana
  • 7:57 - 8:03
    Baada ya maombi kama mwanadamu utataka kujaribu kile ulichokiombea
  • 8:03 - 8:05
    Unapenda na kutaka kuanza kuongea sana
  • 8:05 - 8:12
    Utakumbuka kwamba uliomba dhidi yake
  • 8:12 - 8:16
    Kama mtu akisema TB Joshua unasemaje kuhusu hili?
  • 8:16 - 8:22
    Usijali - nitakuona baadae
  • 8:22 - 8:25
    Sababu hutaki kuongea sana
  • 8:25 - 8:31
    Sababu ni mjinga tu, ataomba dhidi ya udhaifu wa kuongea sana
  • 8:31 - 8:36
    Na baada ya maombi unaendelea kuongea sana
  • 8:36 - 8:38
    Unaombea Tena, Bwana sitaki kuongea sana
  • 8:38 - 8:42
    Kwa muda unavyo endelea kuombea dhidi yake
  • 8:42 - 8:47
    Unatakiwa kuanza kuishi kile unacho kiombea
  • 8:47 - 8:51
    Mwambie jirani yako, ishi Maisha ya maombi yako
  • 8:51 - 8:56
    Ambayo ni, unayoomba kwenye maombi, Anza kuyaishi
  • 8:56 - 8:58
    'sitaki kuongea sana'
  • 8:58 - 9:03
    Baada ya maombi ' Nita ishi Maisha ya kutoongea sana'
  • 9:03 - 9:12
    Ukitaka kufunga, mfungo inaleta jibu kutoka kwa Mungu
  • 9:12 - 9:19
    Wala hauto hitaji Mungu kukuhuburia uende kugunga
  • 9:19 - 9:23
    Muda wowote unapoamua kufunga dhidi ya udhaifu wako Mungu anajibu
  • 9:23 - 9:26
    Kama naongea N wewe naomba kuona mikono wako
  • 9:26 - 9:32
    Lakini mifungo mwingine, yeyote _ unaenda mlimani kufunga kwasababu wewe ni masikini
  • 9:32 - 9:34
    Na unataka Mungu akubariki na upenyo
  • 9:34 - 9:37
    Ukikaa vichakani na kuanza kuomba kwa siku nne
  • 9:37 - 9:45
    Hata kwa siku 100 utakufa huko
  • 9:45 - 9:54
    Nenda na Funga dhidi ya udhaifu wako na utapata majibu ya moja kwa moja
  • 9:54 - 10:03
    Mungu anajibu hapopapo sababu anataka mtu wa kujenga mahusiano
  • 10:03 - 10:05
    Unapojenga mahusiano yako
  • 10:05 - 10:09
    'naongea sana' sitaki kuongea sana - Mungu Ana furaha siku zote
  • 10:09 - 10:15
    Anachohitaji Mungu ni mahusiano yetu Na Yake, sio Yale tunayofanya
  • 10:15 - 10:19
    Nenda kafunge- vitu vingine vote utajumlishiwa
  • 10:19 - 10:25
    Muda wote utakapopata muda wa kufunga sababu ya madhaifu yako
  • 10:25 - 10:28
    Ni majibu ya moja kwa moja
  • 10:28 - 10:34
    Umekua ukifunga lakini Hakuna matokeo
  • 10:34 - 10:39
    Jaribu hili kuanzia leo
  • 10:39 - 10:46
    Ukaipata siku ukafunga kuanzia asubuhi hadi jioni sababu ya madhaifu yako
  • 10:46 - 10:53
    Utakuja hapa na ushuhuda
  • 10:53 - 11:00
    Ndoto unazoota - kupitia udhaifu shetani Anakuja kukuvamia
  • 11:00 - 11:02
    Ugumu unaopitia
  • 11:02 - 11:07
    Shetani anapitia udhaifu kukupiga na roho ya ugumu
  • 11:07 - 11:09
    Ugonjwa ulio nao sasa
  • 11:09 - 11:15
    Ni kupitia udhaifu wako, shetani anakuvamia na roho ya magonjwa
  • 11:15 - 11:19
    Ugumba_kupitia udhaifu
  • 11:19 - 11:23
    Tafadhali ziba mlango huo - omba dhidi yake
  • 11:23 - 11:25
    Acha haya yawe ni maombi yako
  • 11:25 - 11:35
    Kwa hili Nina furaha kwa ajili ya Maisha yako
  • 11:36 - 11:41
    Kama mtu ni mkristo, tukienda zaidi kuangalia Maisha yake
  • 11:41 - 11:44
    Sehemu yenye udhaifu
  • 11:44 - 11:47
    Kuna mahala utaona tu
  • 11:47 - 11:51
    Sasa tunaangalia katika viwango vyao
  • 11:51 - 11:54
    Kwa muda gani wa naomba?
  • 11:54 - 11:57
    Kwa muda gani wanapata Hasira
  • 11:57 - 11:59
    Je wanayo tamaa au udhaifu wowote
  • 11:59 - 12:05
    Inaweza kua tamaa, hasira, kutokusamehe, chuki au majigambo
  • 12:05 - 12:09
    Inuka
  • 12:09 - 12:14
    Hili sio funzo?
  • 12:14 - 12:18
    Ndio maana ni Kasema simama na simama kwa ajili ya Yesu
  • 12:18 - 12:22
    Tutasimama na kumuacha yeye aongee
  • 12:22 - 12:27
    Ina mafunzo Sana, andika, umesikia hayo?
  • 12:27 - 12:31
    Ameonge kuhusu, matunda ya mwilini
  • 12:31 - 12:35
    Amesema Kuna Sehemu lazima.... Hilo eneo
  • 12:35 - 12:39
    OK, Anza ulipoishia sasa
  • 12:39 - 12:44
    Inaweza kua hasira, majivuno au kujisifu
  • 12:44 - 12:48
    Mfano mzuri, kama mtu Ana majigambo, unatumiaje hayo majivuno
  • 12:48 - 12:51
    Unapenyaje kwenye hayo majigambo
  • 12:51 - 12:54
    Mfano kama tatizo ni majivuno
  • 12:54 - 13:00
    Tunatengeneza Hali itakayo mfanya kijigamba zaidi
  • 13:00 - 13:06
    Kujiongelea, maendeleo Yake na Yale alio vuna
  • 13:06 - 13:12
    Katika eneo Hilo la udhaifu, tuna kuza Hilo eneo
  • 13:12 - 13:18
    Ili ujisahau katika Hilo na sisi tunapata nafasi ya kufanya mambo yetu
  • 13:18 - 13:21
    Pigia Yesu makofi
  • 13:21 - 13:23
    Umesikia hayo
  • 13:23 - 13:27
    Hiyo ni majivuno, tuna tumia majivuno na kuingia
  • 13:27 - 13:33
    Sasa una Anza kua na majivuno na majigambo
  • 13:33 - 13:48
    Hiyo inatosha kikuangusha, kukutega kwenye nyavu
  • 13:48 - 13:50
    Endelea
  • 13:50 - 13:52
    Halafu tutatumia hio
  • 13:52 - 13:57
    Wakati wewe umeshikiliwa katika udhaifu wako
  • 13:57 - 14:00
    Halafu tunaingia na kufanya Yale tunayo yafanya
  • 14:00 - 14:02
    Halafu tunakupata tu mwishoni
  • 14:02 - 14:03
    Unataka kufanya nini?
  • 14:03 - 14:08
    Labda tukitaka kuvunja ndoa
  • 14:08 - 14:13
    Nio, tunataka huyu mwanaume kumuacha mkewe
  • 14:13 - 14:19
    Na kumuoa huyu mwanaume amabye ni mteja wangu
  • 14:19 - 14:22
    Na umefanikiwa kufanya hayo kwa wengi?
  • 14:22 - 14:26
    Tumefanikiwa kufanya hayo mara nyingi
  • 14:26 - 14:28
    Wakristo wengi,kama hivyo
  • 14:28 - 14:31
    Wakristo wengi kama hivyo
  • 14:31 - 14:36
    Umesikiliza kile anachokiongea?
  • 14:36 - 14:42
    Anatumia neno- hakuna alie mkamilifu, hata mmoja
  • 14:42 - 14:44
    Hiyo ni Kona wanayotumia
  • 14:44 - 14:54
    Anglia Paulo alichosema"nijapokua sina nguvu nipo imara"
  • 14:54 - 15:01
    Katika mkutano wetu wa mwisho nilitumia neno- mateso
  • 15:01 - 15:08
    Mateso uetu ni kwaajili ya faida ya kiroho
  • 15:08 - 15:17
    Namaanisha - muda mwingine tujaribiwa
  • 15:17 - 15:23
    I'll tujifunze kuomba zaidi
  • 15:23 - 15:30
    Sasa, anasema kwamba majivuno no udhaifu wako
  • 15:30 - 15:34
    Na mstari wako wa maombi bado upo pale
  • 15:34 - 15:39
    Jinsi unavyo jaribiwa na majivuno, unaomba zaidi
  • 15:39 - 15:45
    Halafu hawawezi tena kutimia Kona hiyo dhidi yako
  • 15:45 - 15:48
    Labda wafunge nguvu ya kuomba
  • 15:48 - 15:54
    Nguvu ya kuomba ikifungwa, majivuno yanazidi
  • 15:54 - 15:58
    Unaangamizwa zaidi
  • 15:58 - 16:02
    Majivuno zaidi, uharibifu zaidi
  • 16:02 - 16:08
    Lakini kama nguvu ya maombi haijafungwa
  • 16:08 - 16:19
    Majivuno yanapokuja, unazidi kuomba
  • 16:19 - 16:27
    Nia Yao, kutimia na kusudi la udhaifu ni kukutupa kama mkristo
  • 16:27 - 16:34
    Lakini badala ya kukutupa, linazidi kukupa nguvu
  • 16:34 - 16:42
    Wamepotea
  • 16:42 - 16:44
    Upo pamoja nami?
  • 16:44 - 16:51
    Sasa, nataka kubeba hii, kusukuma hii
  • 16:51 - 17:00
    Upaojaribu kinizuia nisisukume, ndivyo ninapo zidi kusukuma
  • 17:00 - 17:05
    Unaweza kuona kusudi la kunisukuma, limeshindwa
  • 17:05 - 17:07
    Hivyo hamna haja ya kunisukuma
  • 17:07 - 17:14
    Sababu ya shetani kutumia udhaifu
  • 17:14 - 17:18
    Kwa kawaida anatumia udhaifu kama chambo
  • 17:18 - 17:27
    Sasa kama majaribu yanapozidi kuja, ndivyo unazidi
  • 17:27 - 17:36
    Ndo maama ya majaribu yanakuja kwa faida za kiroho
  • 17:36 - 17:41
    Mateso yanaweza kua majaribu, umasikini,uvamizi nk
  • 17:41 - 17:46
    Lakini yanapokuja ni kwaajili ya faida za kiroho
  • 17:46 - 17:56
    Unaomba zaidi, unafunga zaidi, na kutafuta uso wa Mungu zaidi.
  • 17:56 - 18:00
    Sasa anasema kua wanaangalia udhaifu
  • 18:00 - 18:07
    Kama udhaifu wako ni huo na nguvu zako za maombi zipo
  • 18:07 - 18:12
    Uvamizi unapokuja Una omba zaidi
  • 18:12 - 18:23
    Hawana haki juu yako
  • 18:23 - 18:25
    Lakini kama nguvu ya maombi imefungwa
  • 18:25 - 18:32
    Wakichukua nguvu zako za maombi wamechukua maisha yako
  • 18:32 - 18:39
    Ndo maana biblia inasema "hakuna kinachonitenga"
  • 18:39 - 18:40
    Inamanisha
  • 18:40 - 18:44
    Udhaifu? Hapana, kama nguvu zako za maombi zipo
  • 18:44 - 18:50
    Lakini kama nguvu zako za maombi imefungwa, udhaifu unakutenganisha na Mungu
  • 18:50 - 18:55
    Kama naongea na wewe, inua mkono
  • 18:55 - 19:01
    Kama nguvu zako za maombi imefungwa udhaifu unakutenganisha na Mungu
  • 19:01 - 19:04
    Lakini kama nguvu zako za maombi zipo hakuna kinachokutenga na Mungu
  • 19:04 - 19:06
    Hivyo ndivyo Paulo alivyo maanisha
  • 19:06 - 19:09
    Alisema" nini kitanitenganisha? Je ni mwimba? Hapana
  • 19:09 - 19:14
    Je udhaifu? Je ni chuki
  • 19:14 - 19:21
    Alisema hakuna cha kunitenganisha nae, sababu nguvu zako za maombi zilikuepo
  • 19:21 - 19:31
    Lakini wanapofunga nguvu yako ya maombi, huwezi kuomba tena, umekwisha
  • 19:31 - 19:39
    Tutaongelea hayo, mnaweza kukaa
  • 19:39 - 19:42
    Angalia kesi ya Paulo
  • 19:42 - 19:45
    Alimlilia Mungu mara Tatu, sio moja
  • 19:45 - 19:49
    Mara Tatu maana yake mara Mia tatu
  • 19:49 - 19:52
    Kila muda inamaana mara Mia moja
  • 19:52 - 19:55
    Mara nyingi alimkimbilia Mungu
  • 19:55 - 20:01
    Yesu niokoe, niponye, nibariki, niokoe
  • 20:01 - 20:10
    Mara ngapi umemlilia Mungu kwa Jambo lako na kukata tamaa
  • 20:10 - 20:19
    Bila kusikia kutoka kwa Mungu, lakini unakata tamaa
  • 20:19 - 20:24
    Kumbuka Paulo alisikia kutoka kwa Mungu "neema yangu yakitosha"
  • 20:24 - 20:29
    Bado anaendelea
  • 20:29 - 20:34
    Vipi kuhusu wewe ambae hujasikia kutoka kwa Mungu na unakata tamaa
  • 20:34 - 20:38
    Kulinganisha na mtu aliesikia kutoka kwa Mungu
  • 20:38 - 20:44
    Neema yangu yakutosha usijali
  • 20:44 - 20:48
    Lakini hujasikia na unakata tamaa
  • 20:48 - 20:55
    Na hakukasirika kwa kua Mungu hakuondoa mwiba
  • 20:55 - 21:01
    Kwa Neno-" neema yangu yakutosha ilikua inatosha kwake
  • 21:01 - 21:04
    Sababu alijua kama ameponywa au bado
  • 21:04 - 21:07
    Haibadilishi nafasi ya Mungu
  • 21:07 - 21:10
    Kama umeingia kweye ufalme wa Mungu au lah
  • 21:10 - 21:14
    Hio haitabadilisha ufalme wa Mungu
  • 21:14 - 21:20
    Mungu atabaki kua mponyaji na mkombozi, awe amekuponya au bado
  • 21:20 - 21:27
    Alijua hatakama hajaponywa, yesu ni mponyaji
  • 21:27 - 21:33
    Sasa kwanini unajisumbua
  • 21:33 - 21:40
    Tuongelee kuhusu udhaifu ambao, dada anaongelea hapa
  • 21:40 - 21:41
    Biblia inasema hakuna mkamilifu
  • 21:41 - 21:51
    Haijalishi udhaifu wako, kama nguvu yako ya maombi ipo wazi
  • 21:51 - 22:04
    Huo udhaifu ni Milango WA kukusogeza kwa Mungu
  • 22:04 - 22:11
    Kumkimbilia Mungu zaidi,kuamini zaidi, na kua na Imani ya kutosha
  • 22:11 - 22:14
    Sababu unavyo Imani lakini haitoshi
  • 22:14 - 22:17
    Lakini udhaifu utakufanya uwe na Imani ya kutosha
  • 22:19 - 22:20
    Asante Yesu kristo
  • 22:20 - 22:22
    Napenda huo ujumbe
  • 22:22 - 22:26
    Napenda zaidi sehemu ya Kwanza,pale nabii Joshua aliposema
  • 22:26 - 22:30
    Mungu anachotaka ni mjenga mahusiano
  • 22:30 - 22:33
    Sababu hiyo ndio sababu watu wa Mungu
  • 22:33 - 22:39
    Ni kuhusu kujenga mahusiano uetu na Mungu
  • 22:39 - 22:41
    Ndio, tunayo madhaifu
  • 22:41 - 22:45
    Ndio, katika safari ya maisha, tunafanya makosa
  • 22:45 - 22:52
    Tunakitana na majaribu,matatizo na majaribu ya Imani
  • 22:52 - 23:03
    Lakini tusiruhusu yaharibu mahusiano yetu na Mungu
  • 23:03 - 23:11
    Shetani anaweza kuingila kwenye fedha,biashara, KAZI au afya
  • 23:11 - 23:14
    Sio kwamba hatuwezi kufikiwa
  • 23:14 - 23:20
    Lakini usiache akaharibu maisha yako ya kiroho
  • 23:20 - 23:27
    Usiache akaharibu maombi yako kwa Mungu
  • 23:27 - 23:29
    Nini kauli mbiu kama waumini?
  • 23:29 - 23:35
    Hakuna- hakuna cha kunitenganisha na Mungu
  • 23:35 - 23:42
    Kwa Upendo wa Mungu katika kristo Yesu
  • 23:42 - 23:49
    Nimependa mfano nabii Joshua aliposema kuhusu mtume paulo
  • 23:49 - 23:52
    2 koritho 12:7-10
  • 23:52 - 23:57
    Sababu katika levo yake kwa mambo ya Mungu
  • 23:57 - 24:00
    Katika mambo ya rohoni
  • 24:00 - 24:06
    Biblia inasema alikua na mwiba kwenye mwili wake
  • 24:06 - 24:13
    Lakini haikua kikwazo katika maisha yake ya rohoni
  • 24:13 - 24:19
    Bali ikawa nafasi Zaid ya yeye kusogea karibu na Mungu
  • 24:19 - 24:23
    Kuomba zaidi, kuamini zaidi,na kumpenda Mungu zaidi.
  • 24:23 - 24:30
    Hakuna kilicho muharibia maombi yake
  • 24:30 - 24:32
    Ni neno- la kututia Moyo leo
  • 24:32 - 24:37
    Hata Hali yako iweje watu wa Mungu
  • 24:37 - 24:42
    Kama Hali hiyo inakukimbisha kuhusu Mungu
  • 24:42 - 24:49
    Hiyo Hali inakufanya umkumbuke Mungu
  • 24:49 - 24:55
    Inaongeza kumtegemea kwako Mungu
  • 24:55 - 25:00
    Just Kua kuinuliwa kunakuja
  • 25:00 - 25:06
    Hivyo uhalisia wa maisha yetu
  • 25:06 - 25:12
    Acha kuombea mabaya adui zako
  • 25:12 - 25:16
    Anza kuomba dhidi ya udhaifu wako
  • 25:16 - 25:22
    Funga mlango wa shetani katika maisha yako
  • 25:22 - 25:26
    Maombi yako kwa Mungu yawe wazi
  • 25:26 - 25:30
    Na usiache chochote katika dunia hii
  • 25:30 - 25:36
    Iwe kikwazo katika maisha yako ya kiroho
  • 25:36 - 25:40
    Na muda wa Mungu ukifika
  • 25:40 - 25:44
    Kila kitu ni kizuri
  • 25:44 - 25:45
    Asante Yesu
  • 25:45 - 25:50
    Asante kwa kujiunga na ujumbe huu mzuri leo
  • 25:50 - 25:52
    Ningependa kusikia ulichojifinza
  • 25:52 - 25:56
    Ujumbe huu mzuri kutoka kwa nabii TB Joshua
  • 25:56 - 26:01
    Mamneo haha yameongelewa chini ya usimamizi wa Roho Mtakatifu
  • 26:01 - 26:04
    Hayana kizuizi cha muda
  • 26:04 - 26:08
    Tuambie umekifunza nini kwenye komenti
  • 26:08 - 26:12
    Na kumbuka siku zote
  • 26:12 - 26:19
    Tafuta Moyo WA Mungu kuona maisha vizuri zaidi, katika jina la Yesu.
Title:
Maombi Mungu anajibu siku zote / Nabii TB Joshua
Description:

Aina gani ya maombi na mfungo utakao mgusa Mungu kutuelekea? Tambua hili ili ubadilishe Maisha yako kwa kanuni za kiroho kutoka kwa Nabii TB Joshua na ufunge mlango kwa shetani kwenye Maisha yako!

'Urithi unaendelea kuishi' ni kipindi katika God's heart TV, pamoja na ndugu Chris, Katika kukusudia kushea maneno ya maarifa na mafundisho ya Maisha kutoka kwa Mtumishi wa Mungu, Nabii TB Joshua.

more » « less
Video Language:
English
Team:
God's Heart TV
Duration:
26:33

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions