< Return to Video

UONGO wenye ufanisi zaidi huwa na kipengele cha UKWELI!

  • 0:00 - 0:09
    Ni kawaida sana siku hizi watu kulaumu udhaifu juu ya makosa.
  • 0:09 - 0:14
    Unasikia watu wanasema mambo kama, 'Ninapambana na udhaifu wangu.
  • 0:14 - 0:19
    Hili ni eneo langu dhaifu. Ninajaribu kubadilika lakini siwezi.
  • 0:19 - 0:23
    Udhaifu wangu ni mwingi tu. Siwezi kujizuia.'
  • 0:23 - 0:27
    Loo, ni inauma, watu wa Mungu!
  • 0:27 - 0:33
    Inakera na inatia uchungu kusikia lugha kama hiyo kwa sababu
  • 0:33 - 0:39
    huu ni moja ya uongo mkubwa unaoratibiwa na shetani
  • 0:39 - 0:45
    hutuingiza katika hisia ya kinga batili
  • 0:45 - 0:52
    juu ya uwajibikaji na athari za makosa.
  • 0:52 - 0:58
    Sisemi kwamba udhaifu sio sababu ya makosa.
  • 0:58 - 0:59
    Hapana, ni sababu.
  • 0:59 - 1:02
    Lakini lazima tutambue shetani ni mdanganyifu.
  • 1:02 - 1:02
    Lakini lazima tutambue shetani ni mdanganyifu.
  • 1:02 - 1:06
    Anafurahia kupotosha ukweli
  • 1:06 - 1:13
    na uwongo wenye ufanisi zaidi huwa na kipengele cha ukweli.
  • 1:13 - 1:15
    Ibilisi ni mwongo.
  • 1:15 - 1:27
    Ingawa udhaifu ni sababu ya makosa, haipaswi kamwe kutumika kama kisingizio cha makosa,
  • 1:27 - 1:35
    kwa sababu Mungu daima hutoa njia ya kutokea kwa watoto wake.
Title:
UONGO wenye ufanisi zaidi huwa na kipengele cha UKWELI!
Description:

"Ni jambo la kawaida sana siku hizi watu kulaumu udhaifu juu ya makosa. Unasikia watu wakisema maneno kama, "Ninapambana na udhaifu wangu. Hili ni eneo langu dhaifu. Ninajaribu kubadilika lakini siwezi. Udhaifu wangu ni mkubwa sana. Siwezi kujizuia." Inaumiza, watu wa Mungu! Inakera na inatia uchungu kusikia lugha kama hii kwa sababu huu ni uwongo mmoja mkubwa unaoratibiwa na shetani ili kutuingiza katika hisia potofu ya kutojali majukumu na athari za makosa. Sisemi kwamba udhaifu sio sababu ya makosa. Hapana, ni sababu. Lakini lazima tutambue shetani ni mdanganyifu. Yeye hufurahia kupotosha ukweli na uwongo wenye ufanisi zaidi huwa na kipengele cha ukweli. Ibilisi ni mwongo. Ingawa udhaifu ni sababu ya makosa, haupaswi kamwe kutumiwa kama kisingizio cha makosa, kwa sababu Mungu huwapa watoto wake njia ya kutokea sikuzote.”

Unaweza kutazama mahubiri kamili kutoka kwa Ndugu Chris hapa - https://www.youtube.com/watch?v=RMMASDuT9rM&list=PLw3Eu4dLEbFubKIePR7pD_nzDGASbHmky&index=3

more » « less
Video Language:
English
Team:
God's Heart TV
Duration:
01:35

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions