< Return to Video

Basic subtraction | Addition and subtraction | Arithmetic | Khan Academy

  • 0:00 - 0:01
  • 0:01 - 0:06
    Karibu kwenye hesabu za kutoa.
  • 0:06 - 0:10
    tuangalie hesabu za kujumlisha kwanza.
  • 0:10 - 0:16
    kama nikisema 4 jumlishab 3, inamaana gani?
  • 0:16 - 0:19
  • 0:19 - 0:21
    ni sawa na ngapi?
  • 0:21 - 0:23
    Kuna njia mbali mbalia za kuifanya hii.
  • 0:23 - 0:25
    Tungesema nina vitu 4.
  • 0:25 - 0:28
    tuseme maduara 4, au
  • 0:28 - 0:30
    malimao 4.
  • 0:30 - 0:36
    Malimao 1, 2, 3, 4. wakati wa chai.
  • 0:36 - 0:41
    na malimao mengine 3 wakaati wa chakula cha mchana.
  • 0:41 - 0:46
    1, 2, 3 na ungeona 4 jumlisha 3 ni jumla ya
  • 0:46 - 0:48
    malimao mangapi niliyokuwa nayo?
  • 0:48 - 0:50
    nitajumlisha 3 na 4.
  • 0:50 - 0:51
    Je nilikuwa na mangapi?
  • 0:51 - 0:55
    Ni 1, 2, 3, 4, 5, 6, 7.
  • 0:55 - 0:59
    Nilikuwa na jumla ya malimao 7.
  • 0:59 - 1:01
    Njia nyingine ni hii
  • 1:01 - 1:04
    Choora mstari wa namba
  • 1:04 - 1:07
    na uchore kwa rangi ya njano
  • 1:07 - 1:10
    sio mpana sana.
  • 1:10 - 1:14
    Nitachora kwa rangi ya njano maana tunazungumnzia malimao.
  • 1:14 - 1:15
    Huu ndio mstari wetu wa namba.
  • 1:15 - 1:18
  • 1:18 - 1:21
    Nitachora namba zote.
  • 1:21 - 1:32
    0, 1, 2, 3, 4, 5, 6, 7.
  • 1:32 - 1:34
    ni sawa na kusema
  • 1:34 - 1:35
    tuko kwenye msrtari wa namba.
  • 1:35 - 1:38
    Tunaanzia kwenye namba 4.
  • 1:38 - 1:39
    Hii ni namba 4.
  • 1:39 - 1:41
    tunjumlisha 3.
  • 1:41 - 1:44
    Tutaongeza mstari wa namba kwa 3.
  • 1:44 - 1:49
    Tutaenda 1, 2, 3 na kuishia 7.
  • 1:49 - 1:52
    Hivyo ukiwa na 4 ukaongeza 3 unapata 7.
  • 1:52 - 1:57
    au nikiongeza 4 kwenye 3 napata 7.
  • 1:57 - 1:59
    Je kutoa ni nini sasa?
  • 1:59 - 2:00
    kwasababu hii video itahusika na kutoa.
  • 2:00 - 2:03
    Tusipoteze muda kuongelea kujumlisha
  • 2:03 - 2:06
    tuchukue mfano wa 4 toa 3.
  • 2:06 - 2:08
    ni sawa na ?
  • 2:08 - 2:12
    Nitabadilisha rangi kuleta mvuto.
  • 2:12 - 2:19
    4 toa 3 ni sawa na ?
  • 2:19 - 2:23
    Kutoa ni kinyume cha kujumlisha.
  • 2:23 - 2:27
    Kwenye kujumlisha unaongeza.
  • 2:27 - 2:30
    Sitaki ktumia neno kuongeza kuelezea kujumlisha , ila
  • 2:30 - 2:31
    hiki ndicho kinachofanyika.
  • 2:31 - 2:34
    Nilikuwa na malimao 4 nikaongeza 3 zaidi.
  • 2:34 - 2:36
    kwenye kutoa unaondoa.
  • 2:36 - 2:43
    Mfano huu, nilianza na malimao 4,
  • 2:43 - 2:45
    nilikuwa na malimao 4 kwenye sahani.
  • 2:45 - 2:50
    nitaondoa 3, ninasema kutoa 3, badala ya
  • 2:50 - 2:54
    kuongeza 3 na kupata 7, nitaondoa 3.
  • 2:54 - 2:56
    labda nitayala au kumpa mtu
  • 2:56 - 3:00
    kama zawadi kwa kuangalia video hii.
  • 3:00 - 3:04
    Toa 3 kutoka kwenye 4, tuseme hili moja linatoka,
  • 3:04 - 3:07
    hili litatoka na hili linatoka.
  • 3:07 - 3:10
    Je unabakiwa na malimao mangapi?
  • 3:10 - 3:12
    Hili moja ndio sijalikata.
  • 3:12 - 3:14
    HIvyo tumebakiwa na moja.
  • 3:14 - 3:17
  • 3:17 - 3:18
    Hili ndio limao lililobakia.
  • 3:18 - 3:19
    Isingekuwa moja , kama ningekata
  • 3:19 - 3:21
    hayo matatu.
  • 3:21 - 3:25
    Njia nyingine hebu tuchore mstari
  • 3:25 - 3:28
    wa rangi hiyo hiyo ya limao.
  • 3:28 - 3:31
    Tuseme huu ni mstari wa namba hapa.
  • 3:31 - 3:34
  • 3:34 - 3:36
    nitazichora namba
  • 3:36 - 3:47
    0, 1, 2, 3, 4, 5, 6, 7.
  • 3:47 - 3:50
    na mstari wa namba unaendelea.
  • 3:50 - 3:51
    Hakuna namba kubwa.
  • 3:51 - 3:55
    Na unaweza kufikiria namba yoyote unayoweza, naweza
  • 3:55 - 3:57
    kufikiria namba kubwa zaidi ya hiyo.
  • 3:57 - 3:58
    Hivyo hakuna namba kubwa.
  • 3:58 - 3:59
    Ndio maana tunachora mshale.
  • 3:59 - 4:01
    maana siwezi kuchora mstari wa namba zote.
  • 4:01 - 4:03
    Turudi kwenye kutoa.
  • 4:03 - 4:07
    Tulianza na malimao 4 sindio?
  • 4:07 - 4:12
    Tulipoongeza 3--jumlisha 3--tulielekea kulia hatua 4
  • 4:12 - 4:13
    kwenye mstari wa namba.
  • 4:13 - 4:15
    Na kwasababu unaongezeka thamani.
  • 4:15 - 4:16
    Hivyo tulikwenda kutoka 4 mpaka 5.
  • 4:16 - 4:17
    Hii ilikuwa moja zaidi.
  • 4:17 - 4:21
    5 mpaka 6 ilikuwa mbili zaidi, na 7 ni tatu zaidi.
  • 4:21 - 4:24
    Sasa tunatoa kutoka kwenye 4.
  • 4:24 - 4:25
    Tunafanyaje?
  • 4:25 - 4:27
    Unafikiri tungefanyaje?
  • 4:27 - 4:30
    Kwasababu tunatoa tutapunguza
  • 4:30 - 4:32
    jumla ya idadi ya malimao tuliyonayo
  • 4:32 - 4:34
    Tunatoa moja, tunapata 3.
  • 4:34 - 4:36
    Tnatoa mbili tunapata 2.
  • 4:36 - 4:39
    Tunatoa 3,
  • 4:39 - 4:42
    Hivyo tutarudi nyuma hatua 1, 2, 3 kwenye mstari wa namba.
  • 4:42 - 4:44
    na tuatishia kwenye 1.
  • 4:44 - 4:47
    Na hii ni moja hapa.
  • 4:47 - 4:52
    Ili kuhakiki, jumlisha unafanya zaidi.
  • 4:52 - 4:55
    Kutoa unaondoa.
  • 4:55 - 4:58
    Ukiiangalia kwenye mstari wa namba , kujumlisha ni
  • 4:58 - 5:01
    kuongeza kiwango kwenye mstari wa namba.
  • 5:01 - 5:04
    Hivyo kwa hapa tunaongeza kwenye mstari wa namba kwa 3.
  • 5:04 - 5:06
    Hivyo tuliongeza kutoka 4 mpaka 7.
  • 5:06 - 5:10
    Kwenye kutoa tunapunguza kurudi nyuma
  • 5:10 - 5:11
    kwenye mstari wa namba.
  • 5:11 - 5:14
    Tunapunguza kiasi ambacho unakiondoa.
  • 5:14 - 5:17
    Hivyo hapa tumepunguza 3.
  • 5:17 - 5:21
    Tulirudi nyuma 1, 2, 3 na tukapata 1.
  • 5:21 - 5:23
    Njia nyingine, kama nina vitu 4.
  • 5:23 - 5:27
    Nikigawa 3 au nikila 3
  • 5:27 - 5:28
    nilichofanya kwenye hivi 3.
  • 5:28 - 5:31
    Nimepoteza 3 hivyo nitabakiwa na 1.
  • 5:31 - 5:33
    Ngoja nikuoneshe kitu hapa
  • 5:33 - 5:35
    kuhusu kutoa.
  • 5:35 - 5:39
    Tunajua 4 toa 3 ni sawa na 1.
  • 5:39 - 5:41
    Wacha nikuoneshe kitu kingine hapa.
  • 5:41 - 5:46
    4 toa 1 ni ngapi?
  • 5:46 - 5:50
    Tunaweza tumia mfano wowote.
  • 5:50 - 5:51
    Tutumie wa malimao.
  • 5:51 - 5:54
    Tutumie wa matufaha, nimeyachoka malimao.
  • 5:54 - 6:01
    Tuseme 1, 2, 3, 4.
  • 6:01 - 6:04
    Kuna wakati siwezi kuchora vizuri.
  • 6:04 - 6:05
    tuseme nina matufaha 4.
  • 6:05 - 6:07
    Tutatumia mfano huu.
  • 6:07 - 6:09
    Na tunakula moja.
  • 6:09 - 6:11
    Hivyo moja litaondoka.
  • 6:11 - 6:13
    Nitabakiwa na matufaha mangapi?
  • 6:13 - 6:16
    3--1, 2, 3.
  • 6:16 - 6:19
    4 toa 1 ni 3.
  • 6:19 - 6:22
    Tukiweka kwenye mstari wa namba, tutaanzia kwenye 4 na
  • 6:22 - 6:24
    tukatoa 1--tumeondoa 1.
  • 6:24 - 6:26
  • 6:26 - 6:28
    Tunarudi hatua 1, tunapata 3.
  • 6:28 - 6:30
    Njia yoyote inafaa.
  • 6:30 - 6:31
    Je haifurahishai?
  • 6:31 - 6:38
    4 toa 3 ni sawa na 1 na 4 toa 1 ni sawa na 3.
  • 6:38 - 6:41
    Unaweza kusema , nimeokota namba na
  • 6:41 - 6:43
    mara nyingi huwa inarudi kuwa kweli
  • 6:43 - 6:45
  • 6:45 - 6:47
    Sitaki kuwa mtaalumu sana , ila tumesha
  • 6:47 - 6:51
    gusa kitu utakachojifunza baadae
  • 6:51 - 6:52
    kweye hesabu za mlinganyo.
  • 6:52 - 6:55
    Ila kwa sasa sitaki kufika huko.
  • 6:55 - 6:56
    Je hii imetoka wapi?
  • 6:56 - 7:02
    Hii imetoka kwenye 3 jumlisha 1--
  • 7:02 - 7:04
    sikutaka nikuchanganye
  • 7:04 - 7:06
    samahani
  • 7:06 - 7:07
    nitakuonesha kitu kingine kizuri hapa.
  • 7:07 - 7:11
    3 jumlisha 1 ni ?
  • 7:11 - 7:13
    3 jumlisha 1 ni sawa na ?
  • 7:13 - 7:13
    Hii ni rahisi.
  • 7:13 - 7:15
    Unaijua kutoka kule kwenye kujumlisha.
  • 7:15 - 7:21
    Unaweza kuanzia 3 kwenye mstari wa namba na kuongeza1.
  • 7:21 - 7:22
    Utaishia wapi?
  • 7:22 - 7:23
    Utaishia kwenye 4.
  • 7:23 - 7:25
    3 jumlisha 1 ni sawa na 4.
  • 7:25 - 7:29
    Au ungeanza kwenye 1 kwenye mstari wa namba na kuongeza 3.
  • 7:29 - 7:33
    1, 2, 3 na pia ungeshia kwenye 4.
  • 7:33 - 7:37
    Na pia tunajua ungeweza kuifanya vyovyote vile.
  • 7:37 - 7:39
    Zote jibu ni 4.
  • 7:39 - 7:40
    Unaona nini hapa?
  • 7:40 - 7:43
    kuna fungu la vitu hapa nimeandika
  • 7:43 - 7:44
    kama vinafanana.
  • 7:44 - 7:46
    1 jumlisha 3 ni 4.
  • 7:46 - 7:48
    3 jumlisha 1 ni 4.
  • 7:48 - 7:50
    4 toa moja ni 3.
  • 7:50 - 7:54
    4 toa 1 na kupata 3 ni sawa na
  • 7:54 - 7:59
    3 jumlisha moja ni sawa na 4.
  • 7:59 - 8:03
    Hii inasema kama nikijumlisha 1 kwenye 3 nitapata 4.
  • 8:03 - 8:08
    Hii inamaana nikitoa 1 kwenye 4 nnitabakiwa na 3.
  • 8:08 - 8:11
    Kama nikianzia 4, nikarudi nyuma 1 nikapata 3.
  • 8:11 - 8:15
    Hii ni kusema nimeanzia kwenye 3, nikaenda mbele 1, nikapata 4.
  • 8:15 - 8:18
    Naamini umepata mwanga kidogo.
  • 8:18 - 8:20
    kuhusu kutoa ni nini.
  • 8:20 - 8:25
    Kwenye video zijazo nitafanya mazoezi zaidi ya kutoa.
  • 8:25 - 8:28
    Hesabu ninayoweza ifanya kwa dakika 10.
  • 8:28 - 8:30
    Na utakuwa tayari kufanya mazoezi.
  • 8:30 - 8:32
    Tutaonana tena.
Title:
Basic subtraction | Addition and subtraction | Arithmetic | Khan Academy
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
Khan Academy
Duration:
08:32

Swahili subtitles

Revisions