< Return to Video

Jinsi ya KUYATUMIA MAKOSA IPASAVYO!

  • 0:00 - 0:16
    Kila mtu hufanya makosa. Lakini je, unafaidika zaidi na kosa lako?
  • 0:16 - 0:24
    Tukifanya makosa, kama sisi sote tufanyavyo, tusiyatumie vibaya; tuyatumie vyema.
  • 0:24 - 0:29
    Jinsi gani? Kwa kujifunza kutoka kwayo.
  • 0:29 - 0:33
    Je, unafaidika vipi na kosa lako?
  • 0:33 - 0:39
    Hautakiwi kuyapuuzia. Hautakiwi kuyahalalishi.
  • 0:39 - 0:43
    Hautakiwi kujizamisha ndani yake na kujihukumu.
  • 0:43 - 0:47
    Hapana, tubu na ujifunze kutoka kwayo. Tubu na ukue kupitia hayo.
  • 0:47 - 0:56
    Tubu na uinuke na usonge mbele kwa sababu zamani zako zimekwisha.
Title:
Jinsi ya KUYATUMIA MAKOSA IPASAVYO!
Description:

"Kila mtu hufanya makosa. Lakini je, unalitumia vyema kosa lako? Ikiwa tunafanya makosa, kama sisi sote tufanyavyo, usiyatumie vibaya; yatumie vyema. Kwa namna gani? Kwa kujifunza kutoka kwayo. Je, unallitumiaje vyema kosa lako? Hulipuuzii. Hulihalalishi. Hautakiwi kujizamisha ndani yake na kujihukumu. Hapana, tubu na urudi nyuma na jifunze kutokana nalo. yaliyopita yamekwisha.”

Unaweza kutazama mahubiri kamili kutoka kwa Ndugu Chris katika kipindi cha ‘Let Hearts Rise’ hapa - https://www.youtube.com/watch?v=wM-dvPVFv9w

more » « less
Video Language:
English
Team:
God's Heart TV
Duration:
0:57

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions