< Return to Video

Kipi wananchi wa kila siku wanaweza fanya kudai nguvu katika intaneti

  • 0:00 - 0:04
    Bryn Freedman: Kwahiyo umesema
    kua karne ya ishirini,
  • 0:04 - 0:07
    nguvu ya ulimwengu ilikua
    mikononi mwa serikali.
  • 0:07 - 0:09
    Mwanzoni mwa karne hii ya dijitali,
  • 0:09 - 0:11
    ilihamia kweli kwenye mashirika
  • 0:11 - 0:15
    na kua huko mbeleni,
    ingehamia kwa watu binafsi.
  • 0:15 - 0:17
    Na nimeshahoji watu wengi,
  • 0:17 - 0:19
    na wanasema haupo sahihi,
  • 0:19 - 0:21
    na wanaweka dau kwenye makampuni.
  • 0:21 - 0:22
    Hivyo kwanini upo sahihi,
  • 0:22 - 0:25
    na kwanini watu binafsi wataenda kushinda?
  • 0:25 - 0:28
    Fadi Chehade: Kwa sababu makampuni
    yanahudumia watu,
  • 0:28 - 0:30
    na sisi kama raia
  • 0:30 - 0:34
    tunahitaji kuanza kuelewa
    kua tuna jukumu kubwa
  • 0:34 - 0:38
    kwenye kuunda jinsi dunia
    itakavyotawaliwa kusonga mbele.
  • 0:38 - 0:42
    Kweli kabisa, mvutano wa sasa
    ni kati ya serikali,
  • 0:42 - 0:45
    zilizopoteza nguvu zao nyingi kwa
    makampuni
  • 0:45 - 0:49
    kwa sababu intaneti haijajengwa
    karibu na mfumo wa taifa la taifa
  • 0:49 - 0:51
    kote ambayo serikali zina nguvu.
  • 0:51 - 0:53
    Intaneti ni ya mataifa.
  • 0:53 - 0:56
    Sio ya kimataifa,
    na sio ya kitaifa,
  • 0:56 - 0:59
    na kwa sababu hiyo makampuni
    yamekua na nguvu sana.
  • 1:00 - 1:02
    Yana unda uchumi wetu.
  • 1:02 - 1:04
    Yana unda jamii yetu.
  • 1:04 - 1:06
    Serikali hazijui cha kufanya.
  • 1:06 - 1:08
    Sasa hivi, zinaitikia.
  • 1:08 - 1:11
    Na nina hofu kua tukishindwa,
    kama raia --
  • 1:11 - 1:16
    ambao ni, kwa maoni yangu,mguu
    wa muhimu zaidi kwenye kigoda hicho --
  • 1:16 - 1:17
    usichukue jukumu letu
  • 1:17 - 1:18
    halafu ndo utapatia.
  • 1:19 - 1:23
    Wapinzani, au watu wanaokuambia
    kua biashara itafanikiwa, wamepatia.
  • 1:23 - 1:24
    Itatokea.
  • 1:24 - 1:28
    BF: Kwahio unasema kua watu
    watalazimisha biashara
  • 1:28 - 1:31
    au biashara italazimika kua
    na majibu,
  • 1:31 - 1:34
    au kuna uwoga kua hawataweza?
  • 1:34 - 1:36
    FC: Nadhani wataweza.
  • 1:36 - 1:37
    Angalia wiki mbili zilizopita,
  • 1:37 - 1:42
    kampuni ndogo iitwayo Skip
    iliyoshinda Uber na Lyft na kila mtu
  • 1:42 - 1:47
    ili ki halisi kupata leseni
    kwa biashara ya pikipiki San Francisco.
  • 1:47 - 1:50
    Na kama ukisoma kwanini Skip ilishinda,
  • 1:50 - 1:52
    kwa sababu Skip ilisikiliza
    watu wa San Francisco,
  • 1:52 - 1:55
    waliokua wamechoka pikipiki
    kua kila mahali,
  • 1:55 - 1:58
    na kweli kwenda mjini na kusema,
  • 1:58 - 2:00
    "Tutapeleka hio huduma,
  • 2:00 - 2:03
    lakini tutajibu
    mahitaji ya watu
  • 2:03 - 2:06
    kua tutaandaa wenyewe
    kuzungukia aina za kanuni."
  • 2:06 - 2:09
    Wamejitawala tabia zao,
    na wakashinda mkataba
  • 2:09 - 2:12
    dhidi ya makampuni yenye nguvu.
  • 2:12 - 2:15
    BF: Hivyo kuongelea kuhusu miongozo
    na kujitawala,
  • 2:15 - 2:19
    umetumia maisha yako yote
    kutengeneza miongozo na kanuni
  • 2:19 - 2:20
    kwa ajili ya intaneti.
  • 2:20 - 2:23
    Unafikiri hizo siku zimeisha?
  • 2:23 - 2:25
    Nani ataongoza,
    nani atatawala,
  • 2:25 - 2:28
    na nani atatengeneza hizo kanuni?
  • 2:28 - 2:33
    FC: Kanuni zitakazotawala
    vipande vya teknolojia vya intaneti
  • 2:33 - 2:35
    sasa zimewekwa sehemu nzuri,
  • 2:35 - 2:40
    na nilikua nikishughulika miaka kadhaa
    kupanga hizo kanuni
  • 2:40 - 2:43
    kuzunguka sehemu za intaneti
    zinazofanya intaneti kua mtandao mmoja.
  • 2:43 - 2:46
    Mfumo wa jina la kikoa, number za IP,
  • 2:46 - 2:48
    zote hizo ziko katika nafasi.
  • 2:48 - 2:52
    Hata hivyo, tunavyoenda sasa
    kwenye vipande vya juu vya intaneti,
  • 2:52 - 2:55
    mambo yanayotuathiri
    mimi na wewe kila siku --
  • 2:55 - 2:57
    faragha, usalama, nk. --
  • 2:58 - 3:05
    mfumo wa kujenga kanuni kwa hizo
    bahati mbaya haziko kwenye nafasi.
  • 3:05 - 3:07
    Hivyo tunatatizo.
  • 3:07 - 3:10
    Tuna mfumo
    wa ushirikiano na utawala
  • 3:10 - 3:13
    unaohitaji kujengwa kweli sasa hivi
  • 3:13 - 3:18
    ili makampuni, serikali na
    raia wanaweza kukubaliana
  • 3:18 - 3:20
    jinsi hii dunia ya kidijitali
    inavyokua inaendelea.
  • 3:20 - 3:24
    BF: Hivyo nini kinachoipa kampuni
    ya dijitali motisha yoyote?
  • 3:24 - 3:25
    Tuseme -- Facebook inaingia akilini --
  • 3:25 - 3:29
    watasema wanahisia bora
    kwa watumiaji wao kwenye moyo,
  • 3:29 - 3:31
    lakini nafikiri watu wengi
    hawakubaliani na hilo.
  • 3:31 - 3:37
    FC: Ilikua ngumu sana kuangalia
    jinsi kampuni za teknolojia zilivyoitikia
  • 3:37 - 3:40
    kwa majibu ya raia
    kuhusu teknolojia zao.
  • 3:40 - 3:44
    Na wengine wao, miaka miwili au mitatu
    iliopita, kimsingi waliipotezea.
  • 3:44 - 3:50
    Neno nililosikia kwenye vyumba vya bodi vingi
    ni, "Sisi ni jukwaaa la teknolojia tu.
  • 3:50 - 3:53
    Sio suala langu
    kama jukwaa langu la teknolojia
  • 3:53 - 3:56
    linasababisha familia
    kuua mabinti zao Pakistan.
  • 3:56 - 3:58
    Sio suala langu. Ni tatizo lao.
  • 3:58 - 4:00
    Nina jukwaa la teknolojia tu."
  • 4:00 - 4:03
    Sasa, nafikiri tunaanza kuingia hatua
  • 4:03 - 4:08
    ambapo makampuni yameanza kutambua
    hii sio tena endelevu,
  • 4:08 - 4:11
    na yameanza kuona pingamizi
  • 4:11 - 4:14
    hio inatoka kwa
    watu, watumiaji, wananchi,
  • 4:14 - 4:16
    lakini pia serikali
    zinazoanza kusema,
  • 4:16 - 4:18
    "Hii haiwezekani."
  • 4:18 - 4:24
    Hivyo nafikiri kuna ukomavu
    unaoanza kukaa,
  • 4:24 - 4:26
    hasa kwenye hilo eneo la Silicon Valley,
  • 4:26 - 4:30
    ambapo watu wameanza kusema,
    "Tunajukumu."
  • 4:30 - 4:33
    Hivyo ninapoongea na hawa viongozi, nasema,
  • 4:33 - 4:37
    "Ona, unaweza kua mkurugenzi mtendaji,
    mwenye mafanikio sana kwenye kampuni,
  • 4:37 - 4:40
    lakini unaweza pia kua karani."
  • 4:40 - 4:41
    Na hilo ni neno la msingi.
  • 4:41 - 4:44
    "Unaweza kua karani
    wa mamlaka uliyonayo
  • 4:44 - 4:49
    kuunda maisha na uchumi
    wa mabilioni ya watu.
  • 4:49 - 4:51
    Ni ipi unataka kua?"
  • 4:51 - 4:55
    Na jibu ni,
    sio moja wala lingine.
  • 4:55 - 4:57
    Hiki ndicho tunachokosa sasa hivi.
  • 4:57 - 5:01
    Hivyo pale mtu mzima kama Brad Smith,
    raisi wa Microsoft,
  • 5:01 - 5:03
    alivyosema miezi iliopita,
  • 5:03 - 5:05
    "Tunahitaji seti mpya za Mapatano ya Geneva
  • 5:05 - 5:08
    kusimamia ulinzi
    wa eneo la dijitali,"
  • 5:08 - 5:12
    viongozi wengi wakubwa
    wa Silicon Valley
  • 5:12 - 5:15
    kweli waliongea kupinga maneno yake.
  • 5:15 - 5:17
    "Unamaanisha nini, Mapatano ya Geneva?
  • 5:17 - 5:20
    Hatuhitaji mapatano yoyote ya Geneva.
    Tunajipatanisha wenyewe."
  • 5:20 - 5:22
    Lakini hisia inabadilika,
  • 5:22 - 5:25
    na nimeanza kuona viongozi wengi wakisema,
  • 5:25 - 5:27
    "Tusaidie."
  • 5:27 - 5:29
    Lakini hapa kumekua na fumbo.
  • 5:30 - 5:33
    Nani ataenda kuwasaidia hao viongozi
    kufanya jambo sahihi?
  • 5:33 - 5:36
    BF: Hivyo nani ataenda kuwasaidia?
  • 5:36 - 5:40
    Kwa sababu ningependa
    kukuhoji kwa lisaa,
  • 5:40 - 5:45
    lakini niambie hofu yako kubwa
    na tumaini lako kubwa
  • 5:45 - 5:47
    kwa jinsi hii itakavyoenda kufanikiwa.
  • 5:49 - 5:55
    FC: Tumaini langu kubwa
    ni kua tutakua wote makarani
  • 5:55 - 5:58
    wa hii dunia mpya ya dijitali
  • 5:58 - 5:59
    Hilo ndo tumaini langu kubwa,
  • 5:59 - 6:04
    kwa sababu nafikiri, mara nyingi,
    tunataka kulaumu wengine.
  • 6:04 - 6:06
    "Oh, ni hawa wakurugenzi.
    Wanatabia hizi."
  • 6:06 - 6:08
    "Hizi serikali hazifanyi ya kutosha."
  • 6:08 - 6:10
    Lakni vipi kuhusu sisi?
  • 6:10 - 6:15
    Namna gani kila mmoja wetu kiukweli
    kuchukua wajibu wa kua karani
  • 6:15 - 6:17
    wa eneo la dijitali tunaloishi?
  • 6:17 - 6:21
    Na moja ya vitu nilivyokua nikisukuma
    kwa maraisi wa chuo
  • 6:21 - 6:25
    ni tunahitaji kila mwanafunzi wa uhandisi
    na sayansi na sayansi ya kompyuta
  • 6:25 - 6:27
    anaekaribia kuandika
    mstari unaofata wa kanuni
  • 6:27 - 6:30
    au kubuni kifaa kijacho cha IoT
  • 6:30 - 6:35
    ili kweli kuwe ndani yao na
    hali ya uwajibikaji na ukarani
  • 6:35 - 6:36
    kuelekea hicho wanachojenga.
  • 6:36 - 6:39
    Hivyo nikadokeza tujenge kiapo kipya,
  • 6:39 - 6:41
    kama kiapo cha Hippocrates,
  • 6:41 - 6:43
    ili kila mwanafunzi
    anaeingia programu ya uhandisi
  • 6:43 - 6:47
    anachukua kiapo cha teknokratiki au
    kiapo cha hekima
  • 6:47 - 6:50
    au kiapo cha ahadi
    kwa sisi wengine.
  • 6:50 - 6:53
    Hilo ndilo tumaini langu kubwa, kua
    tutainuka.
  • 6:53 - 6:57
    Kwa sababu serikali na mabiashara yatapigania
    nguvu juu ya huu mchezo wa madaraka,
  • 6:57 - 6:59
    lakini tuko wapi?
  • 6:59 - 7:03
    Na mpaka tucheze kwenye hio meza ya madaraka,
  • 7:03 - 7:06
    ninafikiri tutaishia kwenye sehemu mbaya.
  • 7:06 - 7:08
    Hofu yangu kubwa?
  • 7:09 - 7:12
    Hofu yangu kubwa,
    kuwa mbunifu sana leo,
  • 7:12 - 7:15
    nini kinachoniweka macho usiku
  • 7:15 - 7:20
    ni vita inayoendelea kati ya
    Magharibi, dunia huria,
  • 7:21 - 7:22
    na China,
  • 7:23 - 7:25
    kwenye eneo la ufahamu bandia.
  • 7:25 - 7:27
    Kuna vita vya ukweli vinaendelea,
  • 7:27 - 7:32
    na kwa wale wenzangu walioishi
    kupita kipindi cha kutokuenea kwa nyuklia
  • 7:32 - 7:35
    na kuona jinsi watu walivyokubaliana
  • 7:35 - 7:38
    kuchukua vitu vya hatari sana
    visiweze kujadiliwa,
  • 7:39 - 7:42
    basi, Taasisi ya Carnegie
    imemaliza tu tafiti.
  • 7:42 - 7:45
    Wameongea na kila nchi
    iliyotengeneza silaha za nyuklia
  • 7:46 - 7:47
    na wakawauliza,
  • 7:47 - 7:52
    "Ni 'silaha' gani ya kidijitali
    ungeweza kutoa kwenye mjadala
  • 7:52 - 7:56
    dhidi ya shule na hospitali
    za mtu mwingine?"
  • 7:56 - 7:57
    Na jibu --
  • 7:57 - 8:01
    kutoka kwenye kila nguvu ya nyuklia --
    mpaka kwenye hili swali ilikua,
  • 8:02 - 8:03
    hakuna kitu.
  • 8:03 - 8:05
    Hicho ndicho nina wasiwasi nacho ...
  • 8:06 - 8:09
    Ule usilaha wa nafasi ya dijitali,
  • 8:09 - 8:11
    na mbio ya kufika huko.
  • 8:11 - 8:13
    BF: Basi, inaonekana una
    kazi nyingi ya kufanya,
  • 8:13 - 8:15
    na hata sisi wengine.
  • 8:15 - 8:18
    Faidi, asante sana.
    nimethamini kweli.
  • 8:18 - 8:19
    FC: Asante.
  • 8:19 - 8:20
    (Makofi)
Title:
Kipi wananchi wa kila siku wanaweza fanya kudai nguvu katika intaneti
Speaker:
Fadi Chehade na Bryn Freedman
Description:

Mbunifu wa teknolojia Fadi Chehade alitusaidia kuweka miundombinu inayotengeneza kazi ya intaneti -- vitu muhimu kama mfumo wa jina la kikoa na viwango vya anuani za IP. Leo amelenga kutafuta njia za jamii kufaidi kutoka kwenye teknolojia. Kwenye mazungumzo ya kuchechemua na Bryn Freedman, msimamizi wa taasisi ya TED, Chehade alijadili vita vinavyoendelea kati ya Magharibi na China juu ya ufahamu bandia, jinsi makampuni ya teknolojia yanaweza kuwa makarani wa nguvu walizonazo kuunda maisha na uchumi na nini wananchi wa kila siku wanaweza kufanya kudai nguvu juu ya intaneti.

more » « less
Video Language:
English
Team:
closed TED
Project:
TEDTalks
Duration:
08:34

Swahili subtitles

Revisions