Kipi wananchi wa kila siku wanaweza fanya kudai nguvu katika intaneti
-
0:00 - 0:04Bryn Freedman: Kwahiyo umesema
kua karne ya ishirini, -
0:04 - 0:07nguvu ya ulimwengu ilikua
mikononi mwa serikali. -
0:07 - 0:09Mwanzoni mwa karne hii ya dijitali,
-
0:09 - 0:11ilihamia kweli kwenye mashirika
-
0:11 - 0:15na kua huko mbeleni,
ingehamia kwa watu binafsi. -
0:15 - 0:17Na nimeshahoji watu wengi,
-
0:17 - 0:19na wanasema haupo sahihi,
-
0:19 - 0:21na wanaweka dau kwenye makampuni.
-
0:21 - 0:22Hivyo kwanini upo sahihi,
-
0:22 - 0:25na kwanini watu binafsi wataenda kushinda?
-
0:25 - 0:28Fadi Chehade: Kwa sababu makampuni
yanahudumia watu, -
0:28 - 0:30na sisi kama raia
-
0:30 - 0:34tunahitaji kuanza kuelewa
kua tuna jukumu kubwa -
0:34 - 0:38kwenye kuunda jinsi dunia
itakavyotawaliwa kusonga mbele. -
0:38 - 0:42Kweli kabisa, mvutano wa sasa
ni kati ya serikali, -
0:42 - 0:45zilizopoteza nguvu zao nyingi kwa
makampuni -
0:45 - 0:49kwa sababu intaneti haijajengwa
karibu na mfumo wa taifa la taifa -
0:49 - 0:51kote ambayo serikali zina nguvu.
-
0:51 - 0:53Intaneti ni ya mataifa.
-
0:53 - 0:56Sio ya kimataifa,
na sio ya kitaifa, -
0:56 - 0:59na kwa sababu hiyo makampuni
yamekua na nguvu sana. -
1:00 - 1:02Yana unda uchumi wetu.
-
1:02 - 1:04Yana unda jamii yetu.
-
1:04 - 1:06Serikali hazijui cha kufanya.
-
1:06 - 1:08Sasa hivi, zinaitikia.
-
1:08 - 1:11Na nina hofu kua tukishindwa,
kama raia -- -
1:11 - 1:16ambao ni, kwa maoni yangu,mguu
wa muhimu zaidi kwenye kigoda hicho -- -
1:16 - 1:17usichukue jukumu letu
-
1:17 - 1:18halafu ndo utapatia.
-
1:19 - 1:23Wapinzani, au watu wanaokuambia
kua biashara itafanikiwa, wamepatia. -
1:23 - 1:24Itatokea.
-
1:24 - 1:28BF: Kwahio unasema kua watu
watalazimisha biashara -
1:28 - 1:31au biashara italazimika kua
na majibu, -
1:31 - 1:34au kuna uwoga kua hawataweza?
-
1:34 - 1:36FC: Nadhani wataweza.
-
1:36 - 1:37Angalia wiki mbili zilizopita,
-
1:37 - 1:42kampuni ndogo iitwayo Skip
iliyoshinda Uber na Lyft na kila mtu -
1:42 - 1:47ili ki halisi kupata leseni
kwa biashara ya pikipiki San Francisco. -
1:47 - 1:50Na kama ukisoma kwanini Skip ilishinda,
-
1:50 - 1:52kwa sababu Skip ilisikiliza
watu wa San Francisco, -
1:52 - 1:55waliokua wamechoka pikipiki
kua kila mahali, -
1:55 - 1:58na kweli kwenda mjini na kusema,
-
1:58 - 2:00"Tutapeleka hio huduma,
-
2:00 - 2:03lakini tutajibu
mahitaji ya watu -
2:03 - 2:06kua tutaandaa wenyewe
kuzungukia aina za kanuni." -
2:06 - 2:09Wamejitawala tabia zao,
na wakashinda mkataba -
2:09 - 2:12dhidi ya makampuni yenye nguvu.
-
2:12 - 2:15BF: Hivyo kuongelea kuhusu miongozo
na kujitawala, -
2:15 - 2:19umetumia maisha yako yote
kutengeneza miongozo na kanuni -
2:19 - 2:20kwa ajili ya intaneti.
-
2:20 - 2:23Unafikiri hizo siku zimeisha?
-
2:23 - 2:25Nani ataongoza,
nani atatawala, -
2:25 - 2:28na nani atatengeneza hizo kanuni?
-
2:28 - 2:33FC: Kanuni zitakazotawala
vipande vya teknolojia vya intaneti -
2:33 - 2:35sasa zimewekwa sehemu nzuri,
-
2:35 - 2:40na nilikua nikishughulika miaka kadhaa
kupanga hizo kanuni -
2:40 - 2:43kuzunguka sehemu za intaneti
zinazofanya intaneti kua mtandao mmoja. -
2:43 - 2:46Mfumo wa jina la kikoa, number za IP,
-
2:46 - 2:48zote hizo ziko katika nafasi.
-
2:48 - 2:52Hata hivyo, tunavyoenda sasa
kwenye vipande vya juu vya intaneti, -
2:52 - 2:55mambo yanayotuathiri
mimi na wewe kila siku -- -
2:55 - 2:57faragha, usalama, nk. --
-
2:58 - 3:05mfumo wa kujenga kanuni kwa hizo
bahati mbaya haziko kwenye nafasi. -
3:05 - 3:07Hivyo tunatatizo.
-
3:07 - 3:10Tuna mfumo
wa ushirikiano na utawala -
3:10 - 3:13unaohitaji kujengwa kweli sasa hivi
-
3:13 - 3:18ili makampuni, serikali na
raia wanaweza kukubaliana -
3:18 - 3:20jinsi hii dunia ya kidijitali
inavyokua inaendelea. -
3:20 - 3:24BF: Hivyo nini kinachoipa kampuni
ya dijitali motisha yoyote? -
3:24 - 3:25Tuseme -- Facebook inaingia akilini --
-
3:25 - 3:29watasema wanahisia bora
kwa watumiaji wao kwenye moyo, -
3:29 - 3:31lakini nafikiri watu wengi
hawakubaliani na hilo. -
3:31 - 3:37FC: Ilikua ngumu sana kuangalia
jinsi kampuni za teknolojia zilivyoitikia -
3:37 - 3:40kwa majibu ya raia
kuhusu teknolojia zao. -
3:40 - 3:44Na wengine wao, miaka miwili au mitatu
iliopita, kimsingi waliipotezea. -
3:44 - 3:50Neno nililosikia kwenye vyumba vya bodi vingi
ni, "Sisi ni jukwaaa la teknolojia tu. -
3:50 - 3:53Sio suala langu
kama jukwaa langu la teknolojia -
3:53 - 3:56linasababisha familia
kuua mabinti zao Pakistan. -
3:56 - 3:58Sio suala langu. Ni tatizo lao.
-
3:58 - 4:00Nina jukwaa la teknolojia tu."
-
4:00 - 4:03Sasa, nafikiri tunaanza kuingia hatua
-
4:03 - 4:08ambapo makampuni yameanza kutambua
hii sio tena endelevu, -
4:08 - 4:11na yameanza kuona pingamizi
-
4:11 - 4:14hio inatoka kwa
watu, watumiaji, wananchi, -
4:14 - 4:16lakini pia serikali
zinazoanza kusema, -
4:16 - 4:18"Hii haiwezekani."
-
4:18 - 4:24Hivyo nafikiri kuna ukomavu
unaoanza kukaa, -
4:24 - 4:26hasa kwenye hilo eneo la Silicon Valley,
-
4:26 - 4:30ambapo watu wameanza kusema,
"Tunajukumu." -
4:30 - 4:33Hivyo ninapoongea na hawa viongozi, nasema,
-
4:33 - 4:37"Ona, unaweza kua mkurugenzi mtendaji,
mwenye mafanikio sana kwenye kampuni, -
4:37 - 4:40lakini unaweza pia kua karani."
-
4:40 - 4:41Na hilo ni neno la msingi.
-
4:41 - 4:44"Unaweza kua karani
wa mamlaka uliyonayo -
4:44 - 4:49kuunda maisha na uchumi
wa mabilioni ya watu. -
4:49 - 4:51Ni ipi unataka kua?"
-
4:51 - 4:55Na jibu ni,
sio moja wala lingine. -
4:55 - 4:57Hiki ndicho tunachokosa sasa hivi.
-
4:57 - 5:01Hivyo pale mtu mzima kama Brad Smith,
raisi wa Microsoft, -
5:01 - 5:03alivyosema miezi iliopita,
-
5:03 - 5:05"Tunahitaji seti mpya za Mapatano ya Geneva
-
5:05 - 5:08kusimamia ulinzi
wa eneo la dijitali," -
5:08 - 5:12viongozi wengi wakubwa
wa Silicon Valley -
5:12 - 5:15kweli waliongea kupinga maneno yake.
-
5:15 - 5:17"Unamaanisha nini, Mapatano ya Geneva?
-
5:17 - 5:20Hatuhitaji mapatano yoyote ya Geneva.
Tunajipatanisha wenyewe." -
5:20 - 5:22Lakini hisia inabadilika,
-
5:22 - 5:25na nimeanza kuona viongozi wengi wakisema,
-
5:25 - 5:27"Tusaidie."
-
5:27 - 5:29Lakini hapa kumekua na fumbo.
-
5:30 - 5:33Nani ataenda kuwasaidia hao viongozi
kufanya jambo sahihi? -
5:33 - 5:36BF: Hivyo nani ataenda kuwasaidia?
-
5:36 - 5:40Kwa sababu ningependa
kukuhoji kwa lisaa, -
5:40 - 5:45lakini niambie hofu yako kubwa
na tumaini lako kubwa -
5:45 - 5:47kwa jinsi hii itakavyoenda kufanikiwa.
-
5:49 - 5:55FC: Tumaini langu kubwa
ni kua tutakua wote makarani -
5:55 - 5:58wa hii dunia mpya ya dijitali
-
5:58 - 5:59Hilo ndo tumaini langu kubwa,
-
5:59 - 6:04kwa sababu nafikiri, mara nyingi,
tunataka kulaumu wengine. -
6:04 - 6:06"Oh, ni hawa wakurugenzi.
Wanatabia hizi." -
6:06 - 6:08"Hizi serikali hazifanyi ya kutosha."
-
6:08 - 6:10Lakni vipi kuhusu sisi?
-
6:10 - 6:15Namna gani kila mmoja wetu kiukweli
kuchukua wajibu wa kua karani -
6:15 - 6:17wa eneo la dijitali tunaloishi?
-
6:17 - 6:21Na moja ya vitu nilivyokua nikisukuma
kwa maraisi wa chuo -
6:21 - 6:25ni tunahitaji kila mwanafunzi wa uhandisi
na sayansi na sayansi ya kompyuta -
6:25 - 6:27anaekaribia kuandika
mstari unaofata wa kanuni -
6:27 - 6:30au kubuni kifaa kijacho cha IoT
-
6:30 - 6:35ili kweli kuwe ndani yao na
hali ya uwajibikaji na ukarani -
6:35 - 6:36kuelekea hicho wanachojenga.
-
6:36 - 6:39Hivyo nikadokeza tujenge kiapo kipya,
-
6:39 - 6:41kama kiapo cha Hippocrates,
-
6:41 - 6:43ili kila mwanafunzi
anaeingia programu ya uhandisi -
6:43 - 6:47anachukua kiapo cha teknokratiki au
kiapo cha hekima -
6:47 - 6:50au kiapo cha ahadi
kwa sisi wengine. -
6:50 - 6:53Hilo ndilo tumaini langu kubwa, kua
tutainuka. -
6:53 - 6:57Kwa sababu serikali na mabiashara yatapigania
nguvu juu ya huu mchezo wa madaraka, -
6:57 - 6:59lakini tuko wapi?
-
6:59 - 7:03Na mpaka tucheze kwenye hio meza ya madaraka,
-
7:03 - 7:06ninafikiri tutaishia kwenye sehemu mbaya.
-
7:06 - 7:08Hofu yangu kubwa?
-
7:09 - 7:12Hofu yangu kubwa,
kuwa mbunifu sana leo, -
7:12 - 7:15nini kinachoniweka macho usiku
-
7:15 - 7:20ni vita inayoendelea kati ya
Magharibi, dunia huria, -
7:21 - 7:22na China,
-
7:23 - 7:25kwenye eneo la ufahamu bandia.
-
7:25 - 7:27Kuna vita vya ukweli vinaendelea,
-
7:27 - 7:32na kwa wale wenzangu walioishi
kupita kipindi cha kutokuenea kwa nyuklia -
7:32 - 7:35na kuona jinsi watu walivyokubaliana
-
7:35 - 7:38kuchukua vitu vya hatari sana
visiweze kujadiliwa, -
7:39 - 7:42basi, Taasisi ya Carnegie
imemaliza tu tafiti. -
7:42 - 7:45Wameongea na kila nchi
iliyotengeneza silaha za nyuklia -
7:46 - 7:47na wakawauliza,
-
7:47 - 7:52"Ni 'silaha' gani ya kidijitali
ungeweza kutoa kwenye mjadala -
7:52 - 7:56dhidi ya shule na hospitali
za mtu mwingine?" -
7:56 - 7:57Na jibu --
-
7:57 - 8:01kutoka kwenye kila nguvu ya nyuklia --
mpaka kwenye hili swali ilikua, -
8:02 - 8:03hakuna kitu.
-
8:03 - 8:05Hicho ndicho nina wasiwasi nacho ...
-
8:06 - 8:09Ule usilaha wa nafasi ya dijitali,
-
8:09 - 8:11na mbio ya kufika huko.
-
8:11 - 8:13BF: Basi, inaonekana una
kazi nyingi ya kufanya, -
8:13 - 8:15na hata sisi wengine.
-
8:15 - 8:18Faidi, asante sana.
nimethamini kweli. -
8:18 - 8:19FC: Asante.
-
8:19 - 8:20(Makofi)
- Title:
- Kipi wananchi wa kila siku wanaweza fanya kudai nguvu katika intaneti
- Speaker:
- Fadi Chehade na Bryn Freedman
- Description:
-
Mbunifu wa teknolojia Fadi Chehade alitusaidia kuweka miundombinu inayotengeneza kazi ya intaneti -- vitu muhimu kama mfumo wa jina la kikoa na viwango vya anuani za IP. Leo amelenga kutafuta njia za jamii kufaidi kutoka kwenye teknolojia. Kwenye mazungumzo ya kuchechemua na Bryn Freedman, msimamizi wa taasisi ya TED, Chehade alijadili vita vinavyoendelea kati ya Magharibi na China juu ya ufahamu bandia, jinsi makampuni ya teknolojia yanaweza kuwa makarani wa nguvu walizonazo kuunda maisha na uchumi na nini wananchi wa kila siku wanaweza kufanya kudai nguvu juu ya intaneti.
- Video Language:
- English
- Team:
closed TED
- Project:
- TEDTalks
- Duration:
- 08:34
![]() |
Nelson Simfukwe approved Swahili subtitles for What everyday citizens can do to claim power on the internet | |
![]() |
Nelson Simfukwe edited Swahili subtitles for What everyday citizens can do to claim power on the internet | |
![]() |
Nelson Simfukwe accepted Swahili subtitles for What everyday citizens can do to claim power on the internet | |
![]() |
Nelson Simfukwe edited Swahili subtitles for What everyday citizens can do to claim power on the internet | |
![]() |
Doris Mangalu edited Swahili subtitles for What everyday citizens can do to claim power on the internet | |
![]() |
Doris Mangalu edited Swahili subtitles for What everyday citizens can do to claim power on the internet | |
![]() |
Doris Mangalu edited Swahili subtitles for What everyday citizens can do to claim power on the internet | |
![]() |
Doris Mangalu edited Swahili subtitles for What everyday citizens can do to claim power on the internet |