< Return to Video

Ukristo Sio MAPENDELEO; Ni MTINDO WA MAISHA!

  • 0:00 - 0:09
    Mimi siko hapa kujaribu kutafuta maana ya maneno yaliyoko kwenye bibilia kulingana na maoni yangu binafsi ama kulingana na yale nimeyapitia,
  • 0:09 - 0:15
    ila mimi natumia bibilia kuelewa kwa nini nilipitia yale niliyoyapitia.
  • 0:17 - 0:25
    Ningetaka kwanza kwa kuwapa hadithi kidogo tu kunihusu
  • 0:25 - 0:36
    hadithi ya miaka hamsini iliyopita. Hadithi ya Mwaka wa 1973
  • 0:36 - 0:47
    1973 ndio mwaka ambao mimi na Fiona tulipata kumjua Yesu.
  • 0:47 - 0:51
    tulikuwa tukiishi jimbo tofauti
  • 0:51 - 0:55
    na tulifaa tuje kupatana tena baada ya muda wa miaka tano.
  • 1:02 - 1:09
    Mnamo Mwezi Mei, Mwaka wa 1973,
  • 1:09 - 1:15
    tuliweza kupatana na Yesu Christo
  • 1:15 - 1:25
    na ninakosa jina kamili la kuelezea vile kupatana na yesu ilibadlisha maisha yangu!
  • 1:25 - 1:30
    Kwangu mimi, sikujua lolote kuhusu ukristo-
  • 1:30 - 1:40
    Sikuwahi kwenda kanisani maishani yangu, na nikiwa miaka 15
  • 1:40 - 1:45
    nilidhani mimi ni mkanamungu.
  • 1:45 - 1:52
    Hakika, nilikuwa tu kijana mdogo
  • 1:52 - 1:55
    mwenye alikuwa amechanganyikiwa sana, mwenyealihitaji mungu.
  • 2:01 - 2:16
    Nilijipata nikienda mafundisho ya Bibilia kila wiki shuleni.
  • 2:16 - 2:27
    Sasa, wakati ule nilikuwa mtoto mwasi.
  • 2:27 - 2:32
    Na kama vijana wengi wa nyakati zile, nilikuwa na najaribu kuona
  • 2:32 - 2:37
    kama naweza asi ama naweza kukataana na kila jambo mbele
  • 2:37 - 2:39
    ya wazazi wangu, kila jambo-
  • 2:39 - 2:44
    ama kama naweza kuendana na mambo yaliyokuwa ya kawaida.
  • 2:55 - 3:00
    lakini, kulikuwa na jambo lisilo la kawaida kwa Wachristo!
  • 3:00 - 3:07
    kwa sababu, nikiwatazama walikuwa wanakaa watu 'wazuri' sana
  • 3:07 - 3:12
    hawakuwa waasi
  • 3:18 - 3:22
    lakini walikuw na tofauti|
  • 3:22 - 3:27
    na nikagundua kwamba kuwa watu wae waliendana na na umati
  • 3:27 - 3:31
    walikuwa watu wale waasi!
  • 3:37 - 3:46
    tofauti ya wale waasi na waKristo ni kwamba wakristo walikuwa na furaha, walikuwa watu wenye furaha!
  • 3:46 - 3:54
    kwa hivyo,nikaanza safari ya kuuliza maswali mengi mno.
  • 3:54 - 3:58
    walinipatia Bibilia ya Agano Mpya- sikuijua,
  • 3:58 - 4:02
    wala sikuwahi iona; nikaanza kuisoma.
  • 4:05 - 4:14
    hawangeweza kujibu maswali mengi yale niliwauliza.
  • 4:14 - 4:19
    lakini usiku moja-naikumbuka hadi waleo-
  • 4:19 - 4:26
    zaidi ya miaka 50 iliyopita, rafiki yangummoja akaniambia
  • 4:26 - 4:34
    'unafaa uambie Yesu, akuonyeshe kwamba yeye ni wa kweli'.
  • 4:42 - 4:49
    na kwa hivyo usiku huo, nikiwa kwenye basi nikielekea nyumbani,
  • 4:49 - 4:55
    nikaamua nitaomba
  • 4:55 - 5:00
    kwa mara ya kwanza kabisa maishani mwangu!
  • 5:00 - 5:10
    nikasema, 'yesu, kama wewe ni wa ukweli, jionyeshane kwangu
  • 5:10 - 5:17
    na nitakupatia maisha yangu!'
  • 5:17 - 5:21
    Sasa, Kuna jambo lilifanyika!
  • 5:21 - 5:30
    siwezi kueleza
  • 5:30 - 5:34
    lakini akati niliomba ile maombi,
  • 5:34 - 5:45
    mwanga wa kiroho ulinikujia
  • 5:45 - 5:49
    na Mungu akabadilisha roho yangu!
  • 5:49 - 5:54
    na kile nilishuhudia- na nakumbuka bado nilikuwa kwenye lile basi
  • 5:54 - 5:56
    kabla ya kufika nyumbani-
  • 6:01 - 6:09
    niliamua kwamba sasa ninaamini Bibilia.
  • 6:09 - 6:16
    kwa hivo, sikuwa najaribu kuona kama bibilia ni ya kweli au la.
  • 6:16 - 6:21
    nikaamua na nikaamini kwamba ni ya kweli, ikawa jambo la imani
  • 6:21 - 6:23
    kwa sababu niliamini kuwa Yesu ameshanio-
  • 6:23 - 6:29
    nyesha kuwa ni wa kweli na nikaamini.
  • 6:37 - 6:48
    sasa, wakati huo, sikujua mengi kuhusu
  • 6:48 - 6:56
    Ukristo, maisha yangu ilikuwa imejaa mambo
  • 6:56 - 7:05
    mabaya, lakini nikiangalia nyuma sasa
  • 7:05 - 7:14
    hilo ndilo jambo la muhimu sana nilifanya
  • 7:14 - 7:22
    kwa maisha yangu. Naamini nilitenda mabaya na bado natenda mambo mabaya
  • 7:22 - 7:33
    but kuna jambo tu unapoamua.
  • 7:33 - 7:36
    kuna kitu mahala ambapo kuna ukweli
  • 7:36 - 7:37
    tunaongelea Ukweli
  • 7:43 - 7:47
    na hilo ni jambo la nafsi.
  • 7:47 - 8:01
    na hili ni jambo fiche, lakini unapoamua, Mungu anaingilia kati.
  • 8:01 - 8:05
    wazazi wangu hawakujua kilichetendeka
  • 8:05 - 8:10
    walidhani ni jambo la mchezo tu
  • 8:17 - 8:22
    kwa sababu nilikuwa na mambo mengi ya kunifurahsha kulinga na umri wangu
  • 8:22 - 8:28
    kama kupanga picha, ama kutazama kadada
  • 8:28 - 8:29
    ama hudhuria muziki wa Rock-
  • 8:29 - 8:32
    nilikuwa na mambo mengi ya kunifurahisha
  • 8:32 - 8:36
    na wazazi walidhani kusoma bibilia ni mchezo
  • 8:50 - 8:55
    kichwa cha mahubiri ya siku ya leo ni
  • 8:55 - 9:03
    'UKRISTO SIO JAMBO LA UTAMANIO'
  • 9:03 - 9:20
    ambia jirani yako Ukristo sio jambo la utamanio
  • 9:20 - 9:26
    jambo la utamanio ni kwamba
  • 9:26 - 9:32
    unaweza kuwa na shauku kuhusu matamanio
  • 9:32 - 9:55
    lakini ukupanga mambo kulingana na umuhimu, utamanio
    sio jambo la muhimu sana
  • 9:55 - 10:00
    kwa hivyo ukibadilisha maoneleo ama mapendeleo yako
  • 10:00 - 10:02
    unaweza badilisha matamanio yako.
  • 10:09 - 10:15
    Ukristo sio ya kiwango hiki
  • 10:15 - 10:22
    ni ya kiwango hiki
  • 10:22 - 10:30
    iko juu ya maoneleo namapendeleo yangu.
  • 10:30 - 10:43
    unaweza kusoma bibilia, ukitafuta jambo la
    kuhalalisha maoneleo yako.
  • 10:43 - 10:51
    lakini unafaa usome bibilia, uruhusu
    Mungu aongee na wewe.
  • 10:51 - 10:54
    Prophet T.B Joshua alisema jambo moja
    ninalopenda sana, akasema
  • 10:54 - 11:01
    "Bibilia inafaa kuwa hifadhidata ya maone-
    leo yetu binafsi"
  • 11:12 - 11:22
    kwa hivyo, sitajaribu kupatia bibilia maana,
    kulingana na maoneleo yangu.
  • 11:22 - 11:29
    nitaangalia maisha yangu, na nitafute maana ya maisha yangu kupitia bibilia.
  • 11:40 - 11:51
    neno la mungu ni mwelekezo wa maisha, sio ushauri tu.
  • 11:51 - 11:57
    kwa hivyo, tuwe na unyenyekevu
  • 11:57 - 12:08
    unyenyekevu wa kweli ni tkutumainia Mungu
    kwa kila jambo.
  • 12:08 - 12:15
    Jambo lingine la utamanio ni
  • 12:15 - 12:24
    utamanio unaweza kaishi kwa pamoja na
    vipaombele vinginezo.
  • 12:24 - 12:33
    utamanio unaweza kuwa mojawapo ya
    vitu ya maslahi
  • 12:33 - 12:39
    Ukristo sio jambo la Maslahi
  • 12:39 - 12:45
    Ukristo ni Jambo nzima
  • 12:45 - 12:48
    je, inamaanisha sina maslahi?
  • 12:48 - 12:51
    kwamba niongee tu lugha ya dini? la!
  • 12:59 - 13:04
    lakini naelewa kila jambo-
    uhusiano wangu, kazi yangu,
  • 13:04 - 13:07
    hisia zangu binafsi,
    hisia zangu kwa watu wengine,
  • 13:07 - 13:08
    kutakavyokuwa nikifa-
  • 13:08 - 13:16
    kila jambo linalonihusu, naelewa
    kupitia kwa Mungu Muumba wangu.
  • 13:16 - 13:30
    somo la kwanza, nitasoma Mathayo 6:24
  • 13:30 - 13:37
    "Hakuna mtu awazaye kutumikia mabwana wawili.
  • 13:37 - 13:44
    ama atachukia mmoja, apende mwingine,
  • 13:44 - 13:51
    ama atatumikia mmoja, amdharau mwingine.
  • 13:51 - 13:59
    huwezi tumikia Mungu na binadamu."
  • 13:59 - 14:08
    sio pesa tu, nafikiri inawakilisha kila ki
    tu ambacho kinanunuliwa na pesa-
  • 14:08 - 14:19
    katika hii dunia tulioko
  • 14:19 - 14:33
    miungu za dunia hii na Mungu Munba wetu-
    huwezi tumikia wote wawili
  • 14:33 - 14:43
    mwelekeo wa maisha yako unaamulia na vitu
    za kiungu na neno la Mungu,
  • 14:43 - 14:48
    ama unaamuliwa na mambo ya kimwili?
  • 14:57 - 15:01
    na kama wewe ni mtumishi wa Mungu, wewe si
    mtumishi wa vitu/mambo ya dunia
  • 15:01 - 15:04
    na kama wewe nimtumishi wa mambo ya dunia
    wewe si mtumishi wa mungu.
  • 15:13 - 15:15
    ukifanya kama mimi
  • 15:15 - 15:20
    uamue kutumikia Yesu,
  • 15:20 - 15:22
    utamfuata!
  • 15:27 - 15:35
    lakini kuna maamuzi ya kila siku, kama
    utatumikia Mungu ama binadamu
  • 15:35 - 15:44
    wasio mwamini mungu watadhani wewe ni wazimu
  • 15:44 - 15:55
    sababu yake ni ati msingi ya maamuzi yako
    ni msingi isiyoonekana kwa macho.
  • 15:55 - 16:03
    hapo chini Yesu anasema-
    nitasoma kifungu cha 33
  • 16:03 - 16:09
    "Tafuteni kwanza ufalme wa mungu na haki
    yake,
  • 16:09 - 16:15
    na hayo mengine yote mtaongezewa"
  • 16:15 - 16:20
    ni kwa sababu Mungu ni wa Ukweli.
  • 16:20 - 16:25
    Mungu haonekan, lakini tukimwamini
  • 16:25 - 16:29
    tutaendana pamoja na muumbaji wa ulimwengu huu.
  • 16:34 - 16:43
    hana shida ya kukupa unachohitaji
  • 16:43 - 16:54
    ukipeana maisha yako kwa kutafuta mahitaji,
    hautapata.
  • 16:54 - 17:04
    unawezapata unachohitaji, lakini
    hautapata amani.
  • 17:04 - 17:13
    kwa sababu amani inaletwa na uhusiano
    na yule aliye tuumba.
  • 17:13 - 17:23
    Ningetaka tusome kitabu ya Joshua katika
    Agano la Kale
  • 17:23 - 17:29
    huu ni mfano moja kati ya mingi
    katika Agano ya Kale
  • 17:29 - 17:43
    nyakati hizo watu walidhani watatumikia miungu
    zao na pia watumikie Mungu wa kweli
  • 17:43 - 17:57
    walijua kuna faida kutumikia Mungu
    lakini pia walitumikia miungu zao
  • 17:57 - 18:02
    hii ni majaribu kwa kila mtu
  • 18:02 - 18:08
    wakati mwingine, badala ya shetani kujarubi
    kutufanya tukane mungu
  • 18:08 - 18:14
    hujaribu kufanya tuangalie kwengine
  • 18:22 - 18:25
    kama kuna kitu moja nimetazama
  • 18:25 - 18:33
    ninapotangamana na watu wengi
    kwenye miaka 50 yangu kama mtu anayeamini
  • 18:33 - 18:38
    nikwamba unapoongezea mambo mengine
    juu ya Ukristiano wako
  • 18:38 - 18:47
    ni rahisi utaanza kutumikia "hilo jambo lingine"
    na nayo mambo ya Mungu utayaweka nyuma
  • 18:47 - 18:49
    nakukanya, hili hutendeka!
  • 18:49 - 18:56
    anaanza na 100% kwa Mungu
  • 18:56 - 19:07
    kisha unaenda 90% na 10%
    unajiwekea iwe ya starehe zako
  • 19:07 - 19:19
    baada ya miaka michache
    itakuwa 90% ni ya starehe, na 10% ya Mungu
  • 19:19 - 19:24
    ni kwa sababu hakuna mtu anaweza tumikia
    mabwana wawili
  • 19:24 - 19:32
    baada ya kusema hivyo, wacha tusome
    Joshua 24
  • 19:32 - 19:37
    nitasoma kuanzia kifungu cha 14
  • 19:37 - 19:50
    "Basi sasa, mcheni Bwana na mkimhudumu kwa moyo wote na uaminifu."
  • 19:50 - 19:54
    "Ondoeni miungu ambayo wazazi wenu walikuwa wakifuata nchi ya mbali ya mto na Misri"
  • 19:54 - 19:56
    tumikieni mungu
  • 20:03 - 20:18
    lakini mkiona hakuna faida kutimikia Mungu
    chagueni leo
  • 20:18 - 20:20
    kama mtatumikia Miungu za baba zenu huko
    mbali na mito ya Misri
  • 20:20 - 20:24
    ama mtatumikia miungu za Waamori
    huku mnakoishi
  • 20:33 - 20:46
    Lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia
    Mungu
  • 20:46 - 20:54
    Joshua aliwapa changamoto kama ile Yesu aliwapa
    Wanafunzi wake na Mafarisayo
  • 20:54 - 20:57
    waliokuwa wanamsikiliza, tunaposoma
    kitabu cha Mathayo
  • 21:02 - 21:04
    aliwaambia 'amueni'
  • 21:04 - 21:08
    lazima muamue mtakayemtumikia-
    hamuwezi tumikia mabwana wawili
  • 21:12 - 21:16
    kifungu cha 16, nao wakamjibu wakasema
  • 21:16 - 21:20
    "Hata kidogo tusije tuyaacha Mungu na
    twende kumtumikia miungu mingine.
  • 21:20 - 21:22
    Tutamtumikia Mungu." wakasema
  • 21:28 - 21:32
    Joshua akaambia watu
    Huwezi kumtumikia Bwana, maana Yeye ni
  • 21:32 - 21:39
    Mungu Mtakatifu; Yeye ni Mungu
  • 21:39 - 21:45
    mwenye wivu.
  • 21:45 - 21:46
    Joshua angefurahu na kusema
  • 21:46 - 21:48
    'tuko na uamsho!
    watu wanataka kutumikia Mungu
  • 21:48 - 21:51
    tuko na uamsho!
    watu wanataka kutumikia Mungulakini alijua kile kilikuwa mioyoni mwao
  • 21:59 - 22:02
    kwamba kujitolea kwao kwa Mungu hakukuwa
    kukamilifu
  • 22:02 - 22:09
    kwa hivyo ilikuwa ukweli aliposema 'katika
  • 22:16 - 22:29
    hali hii ya moyo,hamwezi kutumikia Mungu'
  • 22:29 - 22:45
    kwa hivyo,unaweza kuwa umeshawishika kwamba
    Yesu ni Bwana
  • 22:45 - 22:55
    unaweza kuwa umeshawishika kwamba
    Yesu ni Bwana lakini uwe hujabalilika
  • 22:55 - 23:12
    Yesu ni Bwana lakini uwe hujabalilika
    neno la Mungu litadumu ndani yako
  • 23:12 - 23:24
    na lianze kubadilisha mienendo yako, matendo yako na mtazamo wako
  • 23:24 - 23:40
    ningetaka tusome pia kitabu cha Isaya 58;2
    katika Agano la Kale
  • 23:40 - 23:49
    wananitafuta kila siku, na wanafurahi
    kujua njia zanguni kama watu wanaofanya mambo ya kweli
  • 23:49 - 23:56
    kama watu wenye haki
  • 23:56 - 24:03
    ni kama watu wenye haki,kama watu hawakuasi Mungu
  • 24:03 - 24:09
    fungu la 3 linasema
  • 24:09 - 24:13
    hao wanafunga kula lakini bado wanafanya kile nachotaka
  • 24:24 - 24:28
    kuna jambo la mvuto hapa, ukitazama
  • 24:28 - 24:32
    walikaa kama watu wanaomtafuta Mungu
    ama vitu zinazoitanishwa na Mungu
  • 24:32 - 24:39
    walikuwa wakitafuta Mungu
  • 24:39 - 24:43
    lakini Nabii Isayaanawaambia kuwa wao si
    halisi
  • 24:56 - 24:58
    Jambo lingine la utamanio ni kwamba
    unaweza kuwa na shauku, lakini uwe hauna
    uhalisi . wewe ni bandia
  • 24:58 - 25:05
    unaweza kuwa bandia wa imani
  • 25:17 - 25:24
    unaweza jidai kwamba wewe ni mzuri
  • 25:24 - 25:32
    unaweza jifundisha lugha ya 'uzuri'
  • 25:32 - 25:38
    unaweza kujifundisha namna ya
    kuabudu
  • 25:38 - 25:55
    lakini imani inatoka kwa roho kulingana
    na neno la Mungu ilioko kwa roho yako
  • 25:55 - 26:08
    sasa, Mungu hufanya tujitazame tuone
    kama tuko na imani au la
  • 26:08 - 26:20
    kwa sababu na kuhakikishia ya kwamba
    imani lazima ijaribiwe
  • 26:20 - 26:28
    imani sio imani kama haijajaribiwa
  • 26:28 - 26:31
    vile Mungu anaweka majaribio ya imani sio
    kawaida, ati tutajua siku na wakati
  • 26:31 - 26:35
    ndio tujitayarishe, kisha tupite huo mtihani
    vile Mungu anaweka majaribio ya imani sio
    kawaida,
  • 26:35 - 26:41
    ati tutajua siku na wakati ni wakati unafanya
    jambo tofauti,
  • 26:41 - 26:47
    na bila kujua, mtihani unaletwa
  • 27:01 - 27:11
    lakini mtihani ukiletwa, ndipo tutajua
    tuko na upungufu
  • 27:11 - 27:15
    Nabii Prophet T.B Joshua alitupatia changa
    moto hii "Unawezajua kama uko na imani kupitia
    maisha yako ya kila siku"
  • 27:15 - 27:27
    "Unawezajua kama uko na imani kupitia
    maisha yako ya kila siku"
  • 27:27 - 27:34
    lakini hilo si jambo mbaya, ni jambo nzuri !
  • 27:34 - 27:40
    inamaanisha tuko na nafasi ya kujirekebisha
  • 27:40 - 27:48
    sitaki kufika mwisho waa maisha yangu
    nigundue kwamba imani yangu ilikuwa bandia
  • 27:48 - 27:59
    nashukuru mungu kwa mitihani ya wakati huu
    ndio nielewa kwa wakati huu
  • 27:59 - 28:05
    na ninaweza kuja kwake, anirekebishe.
  • 28:05 - 28:20
    kwa sabbau Mungu analeta mambo kwa maisha
    ndio tujipime nguvu za kiroho
  • 28:20 - 28:28
    kwa njia ingine, huwezi jikomboa!
  • 28:28 - 28:42
    anakubali tupate tamaa zinazozidi uwezo wetu
  • 28:42 - 28:45
    je, tutashinda?
  • 28:45 - 28:56
    ndio, kupitia kwa Mungu aliye hai.
  • 28:56 - 29:01
    kwa hivyo, ukiwa na changamoto-
    usiwe bandia
  • 29:01 - 29:03
    usijifanye kila kitu iko sawa
  • 29:11 - 29:18
    wacha nisome Luka 9:23
  • 29:18 - 29:22
    Yesu akawaambia
  • 29:22 - 29:28
    Mtu yeyote akataka kunifuata,
  • 29:28 - 29:35
    awe lazima
    atengewe nafasi, na abebe msalaba wake kila siku, na anifuate".
  • 29:35 - 29:42
    Kwa yeyote anayetaka
    kuipenyeza nafsi yake, ataiharibu.
  • 29:42 - 29:55
    "Lakini yeyote yule ambaye atapoteza maisha
    yake kwa ajili Yangu, atayachukua".
  • 29:55 - 30:05
    ni jambo la kufa kupona- na ndio sababu
    Ukristo sio jambo la utamanio.
  • 30:05 - 30:14
    kwa ajiri hii tunapeana maisha yetu
  • 30:14 - 30:20
    wajua inawezekana-tukijipeana sehemu tu,
    tutakuwa wakristo wenye huzuni,
  • 30:20 - 30:34
    hatutapata
    furaha.tutajawa na huzuni kila wakati
  • 30:34 - 30:43
    hauwezi tenganisha maisha ya milele na
    Ukristo.
  • 30:43 - 30:53
    Mungu aliyetuumba, na ambaye atatuhukumu
  • 30:53 - 31:00
    ametengeneza njia ya upatanisho
  • 31:00 - 31:07
    tupate maisha yanayoridhidha na huru.
  • 31:07 - 31:10
    hakusema itakuwa rahisi, lakini itakuwa ya
    kuridhisha na huru.Na kwenye maisha ya milele,
  • 31:10 - 31:16
    atatwambia
    "Ume fanya vizuri sana, mtumwa mwema na mwaminifu."
  • 31:27 - 31:33
    Nitasoma somo lingine moja
  • 31:33 - 31:43
    katika kitabu cha Historia 16:9
  • 31:44 - 31:51
    "Macho ya bwana yanaenda huko na huko juu
    ya dunia yote
  • 31:51 - 31:58
    ndio azipe nguvu
    nyoyo wale wanajitolea kwake
  • 32:09 - 32:15
    hii inaongea juu ya Mungu-
    Mungu aliye hai.
  • 32:15 - 32:19
    ako hapa!
  • 32:19 - 32:23
    anaangalia nyoyo zetu!
  • 32:23 - 32:28
    anataka kutuonyesha nguvu zake!
  • 32:28 - 32:39
    lakini atafanya hivyo kwa wale watu wanaji
    tolea kwake.
  • 32:39 - 32:49
    kwa hivyo, wacha tusimame na tuombe pamoja.
  • 32:49 - 33:01
    Bwana Yesu, nijipeana kwenye mapenzi yako.
  • 33:01 - 33:07
    Bwana Yesu, niko tayari!niko tayari
  • 33:07 - 33:16
    ukinituma nitaenda
  • 33:16 - 33:24
    tayari kusema lile unataka niseme
  • 33:24 - 33:34
    niko tayari kuwa vile unataka niwe
  • 33:34 - 33:39
    muda ni mfupi
  • 33:39 - 33:45
    yesu anarudi hivi karibuni
  • 33:45 - 33:52
    sitaki kupoteza muda wangu
  • 33:52 - 33:58
    niambie na nitakalofanya
  • 33:58 - 34:04
    nipe amri
  • 34:04 - 34:18
    kuahidi nitajiwasilisha kwenye mapenzi
    yako kwangu
  • 34:18 - 34:31
    na nitakubali lile utakubalisha
  • 34:31 - 34:42
    nataka nijue mapenzi yako
  • 34:42 - 34:52
    katika jina la yesu, Amina!
Title:
Ukristo Sio MAPENDELEO; Ni MTINDO WA MAISHA!
Description:

Gundua siri ya UKRISTO WENYE MATENDO katika mahubiri haya, yanayotokana na maisha binafsi ya Bwana Gary - safari yake ya imani, kama ilivyoelezewa katika Kongamano la Vijana lililafanyika huko Cuba Mwezi wa Julai Mwaka wa 2023.

" Mimi siko hapa kujaribu kutafuta maana ya maneno yaliyoko kwenye bibilia kulingana na maoni yangu binafsi ama kulingana na yale nimeyapitia, ila mimi natumia bibilia kuelewa kwa nini nilipitia yale niliyoyapitia!"- Gary

more » « less
Video Language:
English
Team:
God's Heart TV
Duration:
35:30

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions