Ukristo Sio MAPENDELEO; Ni MTINDO WA MAISHA!
-
0:00 - 0:09Mimi siko hapa kujaribu kutafuta maana ya maneno yaliyoko kwenye bibilia kulingana na maoni yangu binafsi ama kulingana na yale nimeyapitia,
-
0:09 - 0:15ila mimi natumia bibilia kuelewa kwa nini nilipitia yale niliyoyapitia.
-
0:17 - 0:25Ningetaka kwanza kawapa hadithi kidogo tu kunihusu
-
0:25 - 0:36hadithi ya miaka hamsini iliyopita. Hadithi ya Mwaka wa 1973
-
0:36 - 0:471973 ndio mwaka ambao mimi na Fiona tulipata kumjua Yesu.
-
0:47 - 0:51tulikuwa tukiishi jimbo tofauti
-
0:51 - 0:55na tulifaa tuje kupatana tena baada ya muda wa miaka tano.
-
1:02 - 1:09Mnamo Mwezi Mei, Mwaka wa 1973,
-
1:09 - 1:15tuliweza kupatana na Yesu Christo
-
1:15 - 1:25na ninakosa jina kamili la kuelezea vile kupatana na yesu ilibadlisha maisha yangu!
-
1:25 - 1:30Kwangu mimi, sikujua lolote kuhusu ukristo-
-
1:30 - 1:40Sikuwahi kwenda kanisani maishani yangu, na nikiwa miaka 15
-
1:40 - 1:45nilidhani mimi ni mkanamungu.
-
1:45 - 1:52Hakika, nilikuwa tu kijana mdogo
-
1:52 - 1:55mwenye alikuwa amechanganyikiwa sana, mwenyealihitaji mungu.
-
2:01 - 2:16Nilijipata nikienda mafundisho ya Bibilia kila wiki shuleni.
-
2:16 - 2:27Sasa, wakati ule nilikuwa mtoto mwasi.
-
2:27 - 2:32Na kama vijana wengi wa nyakati zile, nilikuwa na najaribu kuona
-
2:32 - 2:37kama naweza asi ama naweza kukataana na kila jambo mbele
-
2:37 - 2:39ya wazazi wangu, kila jambo-
-
2:39 - 2:44ama kama naweza kuendana na mambo yaliyokuwa ya kawaida.
-
2:55 - 3:00lakini, kulikuwa na jambo lisilo la kawaida kwa Wachristo!
-
3:00 - 3:07kwa sababu, nikiwatazama walikuwa wanakaa watu 'wazuri' sana
-
3:07 - 3:12hawakuwa waasi
-
3:18 - 3:22lakini walikuw na tofauti|
-
3:22 - 3:27na nikagundua kwamba kuwa watu wae waliendana na na umati
-
3:27 - 3:31walikuwa watu wale waasi!
-
3:37 - 3:46tofauti ya wale waasi na waKristo ni kwamba wakristo walikuwa na furaha, walikuwa watu wenye furaha!
-
3:46 - 3:54kwa hivyo,nikaanza safari ya kuuliza maswali mengi mno.
-
3:54 - 3:58walinipatia Bibilia ya Agano Mpya- sikuijua,
-
3:58 - 4:02wala sikuwahi iona; nikaanza kuisoma.
-
4:05 - 4:14hawangeweza kujibu maswali mengi yale niliwauliza.
-
4:14 - 4:19lakini usiku moja-naikumbuka hadi waleo-
-
4:19 - 4:26zaidi ya miaka 50 iliyopita, rafiki yangummoja akaniambia
-
4:26 - 4:34'unafaa uambie Yesu, akuonyeshe kwamba yeye ni wa kweli'.
-
4:42 - 4:49na kwa hivyo usiku huo, nikiwa kwenye basi nikielekea nyumbani,
-
4:49 - 4:55nikaamua nitaomba
-
4:55 - 5:00kwa mara ya kwanza kabisa maishani mwangu!
-
5:00 - 5:10nikasema, 'yesu, kama wewe ni wa ukweli, jionyeshane kwangu
-
5:10 - 5:17na nitakupatia maisha yangu!'
-
5:17 - 5:21Sasa, Kuna jambo lilifanyika!
-
5:21 - 5:30siwezi kueleza
-
5:30 - 5:34lakini akati niliomba ile maombi,
-
5:34 - 5:45mwanga wa kiroho ulinikujia
-
5:45 - 5:49na Mungu akabadilisha roho yangu!
-
5:49 - 5:54na kile nilishuhudia- na nakumbuka bado nilikuwa kwenye lile basi
-
5:54 - 5:56kabla ya kufika nyumbani-
-
6:01 - 6:09niliamua kwamba sasa ninaamini Bibilia.
-
6:09 - 6:16kwa hivo, sikuwa najaribu kuona kama bibilia ni ya kweli au la.
-
6:16 - 6:21nikaamua na nikaamini kwamba ni ya kweli, ikawa jambo la imani
-
6:21 - 6:23kwa sababu niliamini kuwa Yesu ameshanio-
-
6:23 - 6:29nyesha kuwa ni wa kweli na nikaamini.
-
6:37 - 6:48sasa, wakati huo, sikujua mengi kuhusu
-
6:48 - 6:56Ukristo, maisha yangu ilikuwa imejaa mambo
-
6:56 - 7:05mabaya, lakini nikiangalia nyuma sasa
-
7:05 - 7:14hilo ndilo jambo la muhimu sana nilifanya
-
7:14 - 7:22kwa maisha yangu. Naamini nilitenda mabaya na bado natenda mambo mabaya
-
7:22 - 7:33but kuna jambo tu unapoamua.
-
7:33 - 7:36kuna kitu mahala ambapo kuna ukweli
-
7:36 - 7:37tunaongelea Ukweli
-
7:43 - 7:47na hilo ni jambo la nafsi.
-
7:47 - 8:01na hili ni jambo fiche, lakini unapoamua, Mungu anaingilia kati.
-
8:01 - 8:05wazazi wangu hawakujua kilichetendeka
-
8:05 - 8:10walidhani ni jambo la mchezo tu
-
8:17 - 8:22kwa sababu nilikuwa na mambo mengi ya kunifurahsha kulinga na umri wangu
-
8:22 - 8:28kama kupanga picha, ama kutazama kadada
-
8:28 - 8:29ama hudhuria muziki wa Rock-
-
8:29 - 8:32nilikuwa na mambo mengi ya kunifurahisha
-
8:32 - 8:36na wazazi walidhani kusoma bibilia ni mchezo
-
8:50 - 8:55kichwa cha mahubiri ya siku ya leo ni
-
8:55 - 9:03'UKRISTO SIO JAMBO LA UTAMANIO'
-
9:03 - 9:20ambia jirani yako Ukristo sio jambo la utamanio
-
9:20 - 9:26jambo la utamanio ni kwamba
-
9:26 - 9:32unaweza kuwa na shauku kuhusu matamanio
-
9:32 - 9:55lakini ukupanga mambo kulingana na umuhimu, utamanio
sio jambo la muhimu sana -
9:55 - 10:00kwa hivyo ukibadilisha maoneleo ama mapendeleo yako
-
10:00 - 10:02unaweza badilisha matamanio yako.
-
10:09 - 10:15Ukristo sio ya kiwango hiki
-
10:15 - 10:22ni ya kiwango hiki
-
10:22 - 10:30iko juu ya maoneleo namapendeleo yangu.
-
10:30 - 10:43unaweza kusoma bibilia, ukitafuta jambo la
kuhalalisha maoneleo yako. -
10:43 - 10:51lakini unafaa usome bibilia, uruhusu
Mungu aongee na wewe. -
10:51 - 10:54Prophet T.B Joshua alisema jambo moja
ninalopenda sana, akasema -
10:54 - 11:01"Bibilia inafaa kuwa hifadhidata ya maone-
leo yetu binafsi" -
11:12 - 11:22kwa hivyo, sitajaribu kupatia bibilia maana,
kulingana na maoneleo yangu. -
11:22 - 11:29nitaangalia maisha yangu, na nitafute maana ya maisha yangu kupitia bibilia.
-
11:40 - 11:51neno la mungu ni mwelekezo wa maisha, sio ushauri tu.
-
11:51 - 11:57kwa hivyo, tuwe na unyenyekevu
-
11:57 - 12:08unyenyekevu wa kweli ni tkutumainia Mungu
kwa kila jambo. -
12:08 - 12:15Jambo lingine la utamanio ni
-
12:15 - 12:24utamanio unaweza kaishi kwa pamoja na
vipaombele vinginezo. -
12:24 - 12:33utamanio unaweza kuwa mojawapo ya
vitu ya maslahi -
12:33 - 12:39Ukristo sio jambo la Maslahi
-
12:39 - 12:45Ukristo ni Jambo nzima
-
12:45 - 12:48je, inamaanisha sina maslahi?
-
12:48 - 12:51kwamba niongee tu lugha ya dini? la!
-
12:59 - 13:04lakini naelewa kila jambo-
uhusiano wangu, kazi yangu, -
13:04 - 13:07hisia zangu binafsi,
hisia zangu kwa watu wengine, -
13:07 - 13:08kutakavyokuwa nikifa-
-
13:08 - 13:16kila jambo linalonihusu, naelewa
kupitia kwa Mungu Muumba wangu. -
13:16 - 13:30somo la kwanza, nitasoma Mathayo 6:24
-
13:30 - 13:37"Hakuna mtu awazaye kutumikia mabwana wawili.
-
13:37 - 13:44ama atachukia mmoja, apende mwingine,
-
13:44 - 13:51ama atatumikia mmoja, amdharau mwingine.
-
13:51 - 13:59huwezi tumikia Mungu na binadamu."
-
13:59 - 14:08sio pesa tu, nafikiri inawakilisha kila ki
tu ambacho kinanunuliwa na pesa- -
14:08 - 14:19katika hii dunia tulioko
-
14:19 - 14:33miungu za dunia hii na Mungu Munba wetu-
huwezi tumikia wote wawili -
14:33 - 14:43mwelekeo wa maisha yako unaamulia na vitu
za kiungu na neno la Mungu, -
14:43 - 14:48ama unaamuliwa na mambo ya kimwili?
-
14:57 - 15:01na kama wewe ni mtumishi wa Mungu, wewe si
mtumishi wa vitu/mambo ya dunia -
15:01 - 15:04na kama wewe nimtumishi wa mambo ya dunia
wewe si mtumishi wa mungu. -
15:13 - 15:15ukifanya kama mimi
-
15:15 - 15:20uamue kutumikia Yesu,
-
15:20 - 15:22utamfuata!
-
15:27 - 15:35lakini kuna maamuzi ya kila siku, kama
utatumikia Mungu ama binadamu -
15:35 - 15:44wasio mwamini mungu watadhani wewe ni wazimu
-
15:44 - 15:55sababu yake ni ati msingi ya maamuzi yako
ni msingi isiyoonekana kwa macho. -
15:55 - 16:03hapo chini Yesu anasema-
nitasoma kifungu cha 33 -
16:03 - 16:09"Tafuteni kwanza ufalme wa mungu na haki
yake, -
16:09 - 16:15na hayo mengine yote mtaongezewa"
-
16:15 - 16:20ni kwa sababu Mungu ni wa Ukweli.
-
16:20 - 16:25Mungu haonekan, lakini tukimwamini
-
16:25 - 16:29tutaendana pamoja na muumbaji wa ulimwengu huu.
-
16:34 - 16:43hana shida ya kukupa unachohitaji
-
16:43 - 16:54ukipeana maisha yako kwa kutafuta mahitaji,
hautapata. -
16:54 - 17:04unawezapata unachohitaji, lakini
hautapata amani. -
17:04 - 17:13kwa sababu amani inaletwa na uhusiano
na yule aliye tuumba. -
17:13 - 17:23
-
17:23 - 17:29
-
17:29 - 17:43
-
17:43 - 17:57
-
17:57 - 18:02
-
18:02 - 18:08
-
18:08 - 18:14
-
18:22 - 18:25
-
18:25 - 18:33
-
18:33 - 18:38
-
18:38 - 18:47
-
18:47 - 18:49
-
18:49 - 18:56
-
18:56 - 19:07
-
19:07 - 19:19
-
19:19 - 19:24
-
19:24 - 19:32
-
19:32 - 19:37
-
19:37 - 19:50
-
19:50 - 19:54
-
19:54 - 19:56
-
20:03 - 20:18
-
20:18 - 20:20
-
20:20 - 20:24
-
20:33 - 20:46
-
20:46 - 20:54
-
20:54 - 20:57
-
21:02 - 21:04
-
21:04 - 21:08
-
21:12 - 21:16
-
21:16 - 21:20
-
21:20 - 21:22
-
21:28 - 21:32
-
21:32 - 21:45
-
21:45 - 21:48
-
21:48 - 21:51
-
21:59 - 22:02
-
22:02 - 22:09
-
22:16 - 22:29
-
22:29 - 22:45
-
22:45 - 22:55
-
22:55 - 23:12
-
23:12 - 23:24
-
23:24 - 23:40
-
23:40 - 23:49
-
23:49 - 23:56
-
23:56 - 24:03
-
24:03 - 24:09
-
24:09 - 24:13
-
24:24 - 24:28
-
24:28 - 24:32
-
24:32 - 24:39
-
24:39 - 24:43
-
24:56 - 24:58
-
24:58 - 25:05
-
25:17 - 25:24
-
25:24 - 25:32
-
25:32 - 25:38
-
25:38 - 25:55
-
25:55 - 26:08
-
26:08 - 26:20
-
26:20 - 26:28
-
26:28 - 26:35
-
26:35 - 26:41
-
26:41 - 26:47
-
27:01 - 27:11
-
27:11 - 27:15
-
27:15 - 27:27
-
27:27 - 27:34
-
27:34 - 27:40
-
27:40 - 27:48
-
27:48 - 27:59
-
27:59 - 28:05
-
28:05 - 28:20
-
28:20 - 28:28
-
28:28 - 28:42
-
28:42 - 28:45
-
28:45 - 28:56
-
28:56 - 29:01
-
29:01 - 29:03
-
29:11 - 29:18
-
29:18 - 29:22
-
29:22 - 29:35
-
29:35 - 29:42
-
29:42 - 29:55
-
29:55 - 30:05
-
30:05 - 30:14
-
30:14 - 30:20
-
30:20 - 30:34
-
30:34 - 30:43
-
30:43 - 30:53
-
30:53 - 31:00
-
31:00 - 31:07
-
31:07 - 31:10
-
31:10 - 31:16
-
31:27 - 31:33
-
31:33 - 31:43
-
31:44 - 31:51
-
31:51 - 31:58
-
32:09 - 32:15
-
32:15 - 32:19
-
32:19 - 32:23
-
32:23 - 32:28
-
32:28 - 32:39
-
32:39 - 32:49
-
32:49 - 33:01
-
33:01 - 33:07
-
33:07 - 33:16
-
33:16 - 33:24
-
33:24 - 33:34
-
33:34 - 33:39
-
33:39 - 33:45
-
33:45 - 33:52
-
33:52 - 33:58
-
33:58 - 34:04
-
34:04 - 34:18
-
34:18 - 34:31
-
34:31 - 34:42
-
34:42 - 34:52
- Title:
- Ukristo Sio MAPENDELEO; Ni MTINDO WA MAISHA!
- Description:
-
more » « less
Gundua siri ya UKRISTO WENYE MATENDO katika mahubiri haya, yanayotokana na maisha binafsi ya Bwana Gary - safari yake ya imani, kama ilivyoelezewa katika Kongamano la Vijana lililafanyika huko Cuba Mwezi wa Julai Mwaka wa 2023.
" Mimi siko hapa kujaribu kutafuta maana ya maneno yaliyoko kwenye bibilia kulingana na maoni yangu binafsi ama kulingana na yale nimeyapitia, ila mimi natumia bibilia kuelewa kwa nini nilipitia yale niliyoyapitia!"- Gary
- Video Language:
- English
- Team:
God's Heart TV
- Duration:
- 35:30
| georgejbudeba edited Swahili subtitles for Christianity Is Not A HOBBY; It's A LIFESTYLE! | ||
| georgejbudeba edited Swahili subtitles for Christianity Is Not A HOBBY; It's A LIFESTYLE! | ||
| georgejbudeba edited Swahili subtitles for Christianity Is Not A HOBBY; It's A LIFESTYLE! | ||
| georgejbudeba edited Swahili subtitles for Christianity Is Not A HOBBY; It's A LIFESTYLE! | ||
| georgejbudeba edited Swahili subtitles for Christianity Is Not A HOBBY; It's A LIFESTYLE! | ||
| georgejbudeba edited Swahili subtitles for Christianity Is Not A HOBBY; It's A LIFESTYLE! | ||
| georgejbudeba edited Swahili subtitles for Christianity Is Not A HOBBY; It's A LIFESTYLE! | ||
| georgejbudeba edited Swahili subtitles for Christianity Is Not A HOBBY; It's A LIFESTYLE! |