-
mwanzo tulikuwa tuna tumia chemli taa ya mafuta ya taa na zile zinazo tumia betri
-
nina watoto wa tano na wote ninao kwenye nyumba hii
-
wote wana soma
-
ndio walikuwa wanatumia chemli za mafuta ya taa na tochi
-
sasa hivi wanatumia umeme wa sola nikiangalia naona hivi vizuri zaidi kuliko ilivyo kuwa mwanzo
-
pia huduma hii nimeifurahi kwa sababu ni nzuri pia ina gharama nafuu
-
ni rahisi sana
-
ndio siku mbili
-
mia tano na themanini na tatu
-
hamna naona anawasha kila mtu mihuwa nikija nkitoka kazini nakuta taa ina waka kwahiyo hapo sija jua
-
na usiku tumejiekea sistimu saa tano tuna zima kwahiyo mtu wa mwisho kuingia anazima
-
au kama kabla ya saa tano kama wote msha ingia mnazima
-
kwa sasahivi tuna tumia taa tu
-
kwani huu umeme unaweza kutumia vitu vingine kama tv friza
-
kuna vitu unatakiwa uongeze ununue vitu vingine
-
lakini kama ndio ukinunua vina uwezo huo
-
eeh kuna vitu ukiongezea unaweza hapo sasahivi simu ina chaji
-
chaji ndio elfu kumi?
-
ndio
-
taa ndio hizi mbili tu
-
maombi yangu ndio hivyo kama nilivyo kuliza inawezekana kutumia vitu kama hivyo friza tv
-
na umesha nijibu kama inawezekana lakini mpaka uongeze vitu
-
kwahiyo sina mengine ila tu nashukuru
-
haya akhsante
-
haya tuna shukuru na wewe kwa huduma yako