-
- Kama bado unasumbukana na ridhaa,
-
fikiria tu badala ya kuanzisha ngono,
-
unawatengezea kikombe cha chai.
-
Unasema: "Hey, ungependa kikombe cha chai?"
-
Na wataenda: "Oh Mungu Wangu, ndio!
-
"Ningependa sana kikombe cha chai! Ahsante!"
-
Kisha unajua wanataka kikombe cha chai.
-
Ukisema, "Ungependa kikombe cha chai?"
-
Na wako kama:"Sina uhakika kikamilifu."
-
Basi unaeza watengezea kikombe cha chai,
-
ama la, lakini uwe mwangalifu;
-
wanaeza kosa kuikunywa.
-
Na wasipoinywa, basi -
-
- na hapa ndipo pahali muhimu -
-
- usiwalazimishe kunywa.
-
Kwa sababu wewe ndio uliyeitengeneza haimaanishi
-
uko na haki ya kuwaona wakiinywa.
-
Na wakisema, "Hapana, ahsante."
-
basi usiwatengezee chai, kabsaa.
-
Usiwategenzee chai.
-
Usiwafanye wakunywe chai,
-
usiwakasirikie
-
kwa kukataa kutaka chai
-
hawataki chai tu, sawa?
-
Wanaeza sema: "Ndio, tafadhali,
-
"Hio ni ukarimu wako"
-
Na alafu chai itakapo wasili,
-
hawataki chai kabsaa.
-
Kwa ukweli iyo inaudhi kwa sababu umejitolea
-
nguvu ya kutengeneza chai,
-
lakini hawako katika wajibu ya kukunywa chai.
-
Walitaka chai, sahii hawataki.
-
Watu wengine hubadilisha mawazo katika ile wakita
-
inachukua birika, kuandaa chai
-
na kuongeza maziwa.
-
na ni sawa kwa watu kubadilisha mawazo.
-
Na bado huna haki ya kuwaona
-
wakiinywa.
-
And kama hawana fahamu, usiwatengezee kahawa.
-
Watu hawana fahamu hawataki chai, na
-
hawawezi jibu hilo swali, "Unataka chai?"
-
kwa sababu hawana famahu.
-
Sawa, labda walikuwa na fahamu wakati uliwauliza
-
kama wanataka chai, na
-
wakasema ndio, lakini katika wakati uliokuchukua
-
kuchemsha birika, kuandaa hio chai na
-
uongeza maziwa , hawana fahamu sahi.
-
Unafaa kueka chai chini,
-
hakikisha huyu
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-