Siri yangu ya Uraibu! | USHUHUDA WA UKOMBOZI
-
0:00 - 0:05Ningependa kumhimiza kila mtu ambaye anapitia aina yoyote ya uraibu
-
0:05 - 0:12kushikilia tumaini na kutomkatia tamaa Mungu.
-
0:18 - 0:25Sema, 'Wewe ibilisi, ninakuamuru kwa mamlaka katika jina la Yesu Kristo
-
0:25 - 0:27kuondoka sasa hivi!
-
0:27 - 0:31Ondoka na utumwa wako!
Ondoka na mzigo wako! -
0:31 - 0:35Ondoka na ndoto zako mbaya!
Ondoka na ugonjwa wako! -
0:35 - 0:37Ondoka sasa hivi!'
-
0:39 - 0:43Jina langu ni Bokamoso.
Ninaishi Botswana. -
0:43 - 0:48Yote yalianza mnamo 2002.
-
0:48 - 0:55Nilikuwa nikiishi na familia yangu kubwa - nyanya yangu, shangazi yangu na watoto wake wawili.
-
0:55 - 0:57Tulikuwa tunaishi kijijini.
-
0:57 - 1:05Kwa hivyo wakati huo, shangazi yangu
ndiye alikuwa anakula udongo huu wa kichuguu -
1:05 - 1:10kwa sababu kulikuwa na kichuguu karibu na
tulipokuwa tukikaa kijijini. -
1:10 - 1:12Hapo ndipo udongo wa kichuguu ulipokuwa.
-
1:12 - 1:17Ilianza nilipokuwa
nikienda na shangazi yangu. -
1:17 - 1:21Alikuwa akienda kukusanya udongo huu wa kichuguu.
-
1:21 - 1:26Nilikuwa nikienda naye wakati
anaenda kuuchukua. -
1:26 - 1:32Tungeenda na mfuko wa plastiki ambapo
angeuweka - mara zote. -
1:32 - 1:36Ilitokea siku moja nilienda peke yangu, bila yeye kujua.
-
1:36 - 1:41Na hapo ndipo nilianza
kuuonja. -
1:41 - 1:47Kadiri muda ulivyosonga, nilianza kuwa na
hamu ya kula udongo wa kichuguu. -
1:47 - 1:51Hakujua kuwa nilikuwa nikifanya hivi.
Nilikuwa nikifanya kwa siri. -
1:51 - 1:58Hakuna mtu aliyejua kuwa nilikuwa nikifanya hivi kwa sababu alikuwa mkali dhidi ya sisi kuula udogo huo,
-
1:58 - 2:00lakini nilikuwa nikifanya kwa siri.
-
2:00 - 2:03Miaka mitano baadaye, nilihamia
kwa wazazi wangu. -
2:03 - 2:08Nilihama kijijini kwenda
kukaa na wazazi wangu. -
2:08 - 2:13Na hapo ndipo hamu
ilipoanza kuongezeka. -
2:13 - 2:17Hamu ilianza kukua
kadri muda ulivyozidi kwenda. -
2:17 - 2:23Nilikuwa na umri wa miaka 14 wakati huo, nikiishi na wazazi wangu.
-
2:23 - 2:29Tuliishi shambani na
kulikuwa na vichaka karibu nasi. -
2:29 - 2:33Hapo ndipo tulipoishi na ambapo
ningeweza kupata udongo wa kichuguu. -
2:33 - 2:40Kwa hivyo nilikuwa nikitoroka ili
niende kula au kuukusanya. -
2:40 - 2:46Kama nilivyosema, hakuna mtu aliyejua kuwa
nilikuwa nikifanya hivi. Ilikuwa siri yangu. -
2:46 - 2:51Hii iliendelea kwa muda mrefu sana.
-
2:51 - 2:55Ilinisababishia mashambulizi mengi sana ya kiroho.
-
2:55 - 3:00Kwa sababu hata shuleni,
sikuweza kuzingatia. -
3:00 - 3:03Na nilikabiliwa na kukataliwa sana.
-
3:03 - 3:05Darasani, sikuweza kuzingatia vizuri.
-
3:05 - 3:10Hata nikiwaambia walimu kuwa sikuelewa darasani, hakuna aliyenisikiliza.
-
3:10 - 3:16Hata nilipowaambia hali yangu,
hakuna aliyenisikiliza. -
3:16 - 3:21Sikuweza kuzingatia vizuri shuleni kwa sababu nilijikita katika kula udongo wa kichuguu.
-
3:21 - 3:26Sikuweza kula vizuri kwa sababu nilihakikisha kwamba nakula kwanza kabla ya kula.
-
3:26 - 3:28Hata wakati mwingine, sikuweza kula kabisa.
-
3:28 - 3:34Ningeenda kwa siku mbili au tatu
bila kula chakula. -
3:34 - 3:39Nilijaribu sana kuacha
uraibu huu kwa muda mrefu sana. -
3:39 - 3:43Nilitembelea hata makanisa; Nilitembelea moja ya makanisa makubwa hapa Botswana.
-
3:43 - 3:47Mchungaji aliniambia kuna nyoka
alinitembelea usiku. -
3:47 - 3:52Niliamini kwa sababu nilikuwa
naota juu ya nyoka. -
3:52 - 3:56Nilijaribu kuacha hiki kitu kwa
muda mrefu lakini sikuweza. -
3:56 - 4:00Labda ningeenda wiki bila kula
-
4:00 - 4:05lakini hapo ndipo ningeanza kuwa na mashambulizi ya kiroho - kula ndotoni.
-
4:05 - 4:11Ningekuwa na ndoto nikila na hamu ingeongezeka zaidi.
-
4:11 - 4:14Ilikuwa ngumu kusamehe watu.
-
4:14 - 4:18Sikuwa na amani moyoni mwangu.
-
4:18 - 4:20Nilikuwa na hasira kali.
-
4:20 - 4:26Hata watu walipokuwa wakijaribu kunishauri, niliichukulia kwa njia hasi.
-
4:26 - 4:32Nilikuwa na migogoro nyumbani.
Sikumsikiliza mtu yeyote. -
4:32 - 4:36Nilikuwa na migogoro na ndugu zangu.
Sikuweza kumsikiliza mtu yeyote. -
4:36 - 4:40Nilikuwa na kuvimbiwa kwa sababu
nilikuwa nakula sana. -
4:40 - 4:47Kwa hiyo ningetumia labda wiki tatu au mwezi bila kwenda chooni.
-
4:47 - 4:52Hilo liliniathiri kwa njia nyingi sana.
Sikuwa na imani. -
4:52 - 4:58Nilijiunga na
Maombi ya Pamoja mnamo Agosti 2023. -
4:58 - 5:08Nilihakikisha nimejiunga na kila Maombi ya Pamoja na nilianza kuona mabadiliko mengi sana.
-
5:08 - 5:11Kwa kila Sala ya Pamoja
niliyokuwa najiunga nayo kila mwezi, -
5:11 - 5:15Niligundua sasa nina amani moyoni mwangu.
-
5:15 - 5:19Nilianza kuona mambo kwa njia tofauti.
-
5:19 - 5:25Nilianza kuwa na upeendo. Nilianza
kuwa na roho hiyo ya utii. -
5:25 - 5:33Nilianza pia kusikiliza kila ushauri kutoka kwa watu ambao walikuwa wanajaribu kunishauri.
-
5:33 - 5:38Mwanzoni, sikuwa na matazamo wowote chanya.
Kama nilivyosema, nilikuwa na hasira kali. -
5:38 - 5:41Lakini tangu wakati huo na kuendelea,
nilianza kuwa na utulivu huo. -
5:41 - 5:46Nilikuwa na kiburi sana lakini sasa
naweza kuwashauri watu -
5:46 - 5:50kwa njia bora, kwa njia nzuri,
kwa namna nzuri. -
5:50 - 5:54Sasa nina ujasiri wa kusimama
mbele ya watu na kuzungumza nao. -
5:54 - 5:59Mwanzoni, nilikuwa na kujistahi. Kama nilivyosema , nilikabili kukataliwa sana.
-
5:59 - 6:03Lakini sasa, watu wameanza
kunikaribia. -
6:03 - 6:10Watu sasa wananitambua,
na ninamshukuru Mungu wangu kwa hilo. -
6:10 - 6:19Sasa tuambie mabadiliko uliyoyaona
katika hamu ya kula udongo wa kichuguu na -
6:19 - 6:22juu ya mtazamo wa roho ya kutosamehe,
-
6:22 - 6:26ni mabadiliko gani uliyopata
katika maeneo hayo? -
6:26 - 6:34Ilikoma kabisa. Sina tena hamu hiyo. Sipendi tena kula.
-
6:34 - 6:39Sina tena
mashambulizi ya kiroho ya kula. -
6:39 - 6:41Kila nilipojaribu kuacha hapo awali,
-
6:41 - 6:45Ningekuwa na mashambulizi ya kiroho
ambapo ningekula katika ndoto. -
6:45 - 6:48Kwa hivyo sina hiyo tena.
-
6:48 - 6:52Nimepona kabisa kwa neema ya Mungu.
-
6:52 - 6:56Ninaweza kwenda chooni kila siku.
-
6:56 - 6:59Sina tena maumivu hayo kwenye tumbo langu.
-
6:59 - 7:04Nilivyokuwa nikisema nilikuwa naumwa tumboni kwa sababu sikuenda chooni.
-
7:04 - 7:08Hapo awali, nilikuwa mkorofi; ilikuwa ngumu
kwangu kusamehe watu. -
7:08 - 7:15Baada ya maombi, nilianza kuwa na msamaha huo na utulivu ndani yangu.
-
7:15 - 7:19Ningependa kumhimiza kila mtu ambaye anapitia aina yoyote ya uraibu
-
7:19 - 7:25kushikilia tumaini na
kutomkatia tamaa Mungu. -
7:25 - 7:28Wanapaswa kumwamini na kumtumainia Mungu.
-
7:28 - 7:30Neno la Mungu linasema kuwa
wakati wa Mungu ni bora zaidi. -
7:30 - 7:35Kwa hivyo usikate tamaa kwa Mungu,
haijalishi hali ikoje. -
7:35 - 7:39Endelea kushikilia na kumwamini Mungu.
-
7:39 - 7:43Chochote unachopitia,
kitaisha, ni suala la muda tu.
- Title:
- Siri yangu ya Uraibu! | USHUHUDA WA UKOMBOZI
- Description:
-
more » « less
Bokamoso kutoka Botswana alipambana na uraibu wa ajabu tangu utotoni ambao aliuficha. Baada ya kupokea maombi katika jina la Yesu Kristo wakati wa Huduma ya Maombi ya Pamoja, sio tu kwamba aliwekwa huru kutokana na uraibu huo bali pia mashambulizi ya kiroho yanayohusiana nayo. Utukufu ni kwa Mungu!
Ili kupokea maombi bila malipo kutoka kwa Ndugu Chris kupitia Zoom, wasilisha ombi lako la maombi hapa - https://www.godsheart.tv/zoom
➡️ Pata Kutiwa Moyo Kila Siku kwenye WhatsApp - https://godsheart.tv/whatsapp/
➡️ Kuwa Mshirika wa TV wa Moyo wa Mungu - https://godsheart.tv/partnership
➡️ Habari kuhusu Maombi ya Mwingiliano - https://godsheart.tv/interactive-prayer/
➡️ Jitolee kama Mtafsiri wa TV ya Moyo wa Mungu - https://godsheart.tv/translate/
➡️ Shirikisha ushuhuda wako - https://godsheart.tv/testimony
➡️ Jiunge na Ibada yetu ya Maombi ya Moja kwa Moja Jumamosi ya kwanza ya kila mwezi - https://www.youtube.com/godshearttv/live - Video Language:
- English
- Team:
God's Heart TV
- Duration:
- 08:13
| georgejbudeba edited Swahili subtitles for My Secret Addiction! | DELIVERANCE TESTIMONY | ||
| georgejbudeba edited Swahili subtitles for My Secret Addiction! | DELIVERANCE TESTIMONY |