-
je umeelewa chochote?
-
(kicheko)
-
hao ni takriban watu milioni 63 wasioweza kusikia hapa india
-
wanao pitia haya kila mwaka siku baada ya nyingine
-
kujaribu kuleta ufahamu kwa ulimwengu wasiousikia
-
bila ufahamu na unyanyapaa kaitka jamii
-
kwa kujaliwa na mtoto asiye na maumbile sawa
-
wazazi hukimbia hapa na pale
-
kujaribu kuelewa jinsi ya kumulea mtoto wao
-
kisha wanapoelezwa hata kama mtoto wako han uwezo wa kusikia
-
haina tatizo na sauti yake na koromeo
-
hana shida na ala za kuwezesha sauti
-
na anaweza fundishwa jinsi ya kuzungumza
-
kisha unakua mwanzo wa safari ndefu ya miaka kujaribu kumfundisha
-
huyu mtoto mdogo jinsi ya kuyatamka maneno ambayo hayasikii
-
hata katika famila anakotoka huyu mtoto
-
anapowasiliana na wazazi wake
-
anapotamani kuhusika katika mazungumzo kaitka familia yake
-
lakini hawezi. na haelewi ni kwa nini kila mmoja hamsikilizi
-
hivo basi anaonekana kutengwa na kukosa
-
maswala muhimu yanayo mwezesha kukua vyema
-
anaenda shuleni akiwa na fikra,"labda mambo yatajakuwa tofauti."
-
kisha ankutana na waalimu wakifungua vinywa na kufunga
-
nakuandika maajabu ubaoni
-
bila kuelewa kwa kuwa hana uwezo wa kusikia,
-
anayaandika yote chini kisha kuyaweka kwa mtihanai yalivyo,
-
na kwa hali hii na alama za neema anakamilisha masomo ,hadi kidato.
-
Je, ananafasi ipi katika ajira?
-
Hapa huyu mtoto ambaye hana masomo halisi.
-
maneno ya kujionea,misamiati thelathini hadi arobaini.
-
Hajihisi salama tena kihisia,na sasa anakerwa na dunia nzima,
-
amabayo kwa sasa ,anadhani imesababisha kulemazwa kwake.
-
Afanye ajira ipi? Kazi mza kijungu jiko,kazi zisizo za taaluma,
-
kila wakati akiwa katika hali inayomkejeli.
-
Na hapo ndipo safari yangu "ilipozaliwa" mwaka 2004.Sina kama alivyo nena Kelly,
-
sina yeyote katika familia aliye na ulemavu wa kusikia.
-
ila kwa hali geni tu na wala sio fikira bayana.
-
niliingia katika dunia hii na kujifunza lugha ishara
-
kwa wakati huo,ilikua ni changa moto,hakuna aliyetaka....hakuna aliyefahamu..
-
"Ni nini hicho wataka kusoma,Ruma? je hiyo ni lugha?
-
Haya,kusomea lugha ishara ilifungua maisha mapya katika jamii hii
-
ambayo ni kimya lakini inangaa
-
na matamnio na ari ya wanfunzi wa kuona
-
Na kisha nikasikia hadithi zao kile walichotaka kufanya
-
Na kisha mwaka uliofuata,wa 2005, na kiasi ya akiba $5,000
-
ya bima, nilianzisha kituo hiki
-
kwa vyumba viwili na wanafunzi sita
-
nami nikawa nawafundisha lugha ya kimombo kwa lugha ishara
-
changamoto,na kwa wakati huo hitaji likawa
-
naweza vipi kukutana na hawa watoto waliakamilisha shule ya upili
-
kwa ajira halisi kwa makampuni?
-
kazi za heshma.ajira zinazow eza kudhibitisha kua bubu si ujinga.
-
Naikawa chamgamoto kuu.Na hawa bubu waliishia kuishi hivi miaka mingi.
-
na miaka ya giza.
-
Walihitaji wajiamini wenyewe.Wazazi walihitajika kushawishika.
-
kuwa mtoto huyu si bubu na mjinga
-
Na anuwezo wa kusimama kivyake kwa miguu yake miwili
-
Basi cha muhimu zaidi
-
itawezekana muajiri kuajiri mtu asiyeweza kuzungumza.
-
kusikia,na hata kusona na kuandika pia
-
Niliketi pamoja na marafiki kaitka nyanja hii,
-
na nikawapa hadithi yangu ilivyokua maisha ya kutoweza kusikia.
-
Na nilifahamu kuna sehemu wazi katika kampuni
-
ambapo watu walio na ulemavu wakusikia wanaweza kufanya kazi,watu wasio na uwezo wa kisikia kuzidisha thamani.
-
na kwa raslimali finye tulianzisha ya kwazna ya aina yake
-
Mwito wa mtaala wa mafundisho ya watu wasio na uwezo wa kusikia nchini.
-
Kupata waalimu ilikua vigumu.Basi niliwafundisha mwenyewe .
-
niliwafudisha wanafunzi wangu kuwa waalimu wa watu wasio na uwezo wa kusikia.
-
Na ni kazi walioichukulia kwa makini na wajibu wa hali ya juu.
-
Lakini bado mwajiri alikua na wasiwasi.Masomo,na hatima ya kidato cah nne tu.
-
"La, la, la, Ruma hatuwezi kummpa ajira."
-
Hiyo ilikua shida kubwa
-
" Na hata kama tunaweza kumpa ajira
-
tutawasiliana naye vipi? Hawezi kuandika wala kusoma.
-
hawezi sikia na kusema"
-
Nami nikawasihi," tafdhali tuchukue haya hatua kwa wakati?
-
Tunaweza kuzingatia yale anayoweza kutenda mwnazo?
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Not Synced