Return to Video

Beirut Explosion: How to Spot a Doctored Video

  • 0:01 - 0:05
    Mnamo Agosti 4, kulikuwa na mlipuko mkubwa
    kwenye bandari ya Beirut, Lebanon.
  • 0:05 - 0:08
    (Milipuko)
  • 0:08 - 0:11
    Simu za rununu zilinasa mlipuko huo
    kutoka karibu kila pembe.
  • 0:11 - 0:12
    Video zilisambaa
  • 0:12 - 0:13
    kupitia mitandao ya kijamii
  • 0:13 - 0:15
    na majukwaa ya ujumbe karibu mara moja.
  • 0:16 - 0:17
    Baadhi zilikuwa halisi,
  • 0:17 - 0:19
    baadhi ziliendeshwa.
  • 0:19 - 0:23
    Chache zilionekana kuonyesha kombora
    kugonga kabla ya mlipuko huo.
  • 0:24 - 0:25
    (Milipuko)
  • 0:26 - 0:28
    Video hizi zilibadilishwa
  • 0:28 - 0:30
    Mwanahabari mchunguzi Emmanuelle Saliba
  • 0:30 - 0:32
    alipopokea moja ya video hizo
  • 0:32 - 0:33
    tokea chanzo Beirut,
  • 0:33 - 0:35
    alijua lazima aende kazini.
  • 0:35 - 0:36
    Kama mwanahabari mchunguzaji,
  • 0:36 - 0:38
    jukumu langu ni kujaribu kujua
  • 0:38 - 0:40
    nini kilichosababisha mlipuko kwenye kesi hii.
  • 0:40 - 0:43
    Kwa hivyo niliwasiliana na mtu
  • 0:43 - 0:44
    ambaye anafanya biashara
  • 0:44 - 0:45
    katika bandari la Beirut.
  • 0:45 - 0:47
    Familia yake imekuwa
    ikifanya kazi huko kwa miaka 40.
  • 0:47 - 0:51
    Na katika mabadilishano haya alisema:
    "Wacha nikutumie video."
  • 0:51 - 0:54
    "Nadhani kombora lilisababisha mlipuko huo."
  • 0:54 - 0:55
    Tayari nilikuwa na shauku sana
  • 0:55 - 1:00
    kwa sababu nilikuwa nimeona baadhi kwa urahisi
    video zinazoweza kufichulika huko nje.
  • 1:00 - 1:02
    Kwa hivyo tunachoangalia hapa
  • 1:02 - 1:05
    ni video ya kwanza iliyotoka ambayo ilibadilishwa.
  • 1:06 - 1:08
    Kinachovutia katika kesi hii ni -
  • 1:08 - 1:10
    ni video halisi ya shahidi.
  • 1:10 - 1:12
    kwa hivyo kweli tunaliona tukio hilo,
  • 1:12 - 1:15
    lakini kile mtu huyo alifanya ni
    kuongeza kombora.
  • 1:15 - 1:19
    Na nitawaonyesha video halisi, ambayo ni hii.
  • 1:19 - 1:22
    (Gari yapiga honi)
  • 1:23 - 1:26
    (Milipuko)
  • 1:27 - 1:31
    Kikubwa kizuri sasa kuhusu
  • 1:31 - 1:32
    kinacho endelea mtandaoni
  • 1:32 - 1:35
    ni kuwa punde tu video iliyo badilishwa inapotokea,
  • 1:35 - 1:37
    kuna waandishi wa habari wengi
  • 1:37 - 1:38
    ambao wamefunzwa kufanya hivi,
  • 1:38 - 1:41
    kuwa kwa kasi zinafichuliwa.
  • 1:41 - 1:43
    Kwa hivyo mwenzangu katika BBC
  • 1:43 - 1:46
    ambaye anaangazia
    juu ya habari za uongo,
  • 1:46 - 1:47
    alifichua hili.
  • 1:47 - 1:50
    Na tupo sote, ingawaje tunafanyia kazi kampuni tofauti,
  • 1:50 - 1:53
    sote tunaangalia kazi za wenzetu na kusaidiana.
  • 1:53 - 1:55
    Kwa hiyo nilikuwa na hilo kichwani wakati
  • 1:55 - 1:56
    nilikuwa nazungumza na chanzo changu,
  • 1:56 - 1:59
    na nikafikiri, "Wajua, tumesha ifichua video hii.
  • 1:59 - 2:01
    Nina shaka sana kuhusu hili."
  • 2:01 - 2:02
    "Nitumie."
  • 2:02 - 2:04
    Alinitumia kwa njia ya WhatsApp
  • 2:04 - 2:05
    na yeye alisema aliipata kutoka kwa
  • 2:05 - 2:06
    marafiki na familia, unajua.
  • 2:06 - 2:09
    Fikiria biashara yake imeharibiwa, wanataka majibu.
  • 2:09 - 2:12
    Wanataka kujua ni nini kilisababisha mlipuko huo.
  • 2:12 - 2:15
    Niliangalia video na ni video ya infrared.
  • 2:15 - 2:17
    Nitakuonyesha toleo ambayo iko hapa,
  • 2:17 - 2:18
    ambayo bado inaishi kwenye Twitter.
  • 2:18 - 2:20
    Nitakuchezea ili uone.
  • 2:23 - 2:27
    (Milipuko)
  • 2:31 - 2:33
    Unaweza kuona kuwa hizi ni video mbili
  • 2:33 - 2:35
    ambazo zimehaririwa pamoja
  • 2:35 - 2:36
    kuifanya ionekane kama
  • 2:36 - 2:38
    ni shoti moja mfululizo.
  • 2:38 - 2:39
    Lakini kwa kuiangalia tu,
  • 2:39 - 2:41
    mtu yeyote angeweza kuona kuwa
  • 2:41 - 2:43
    zimechukuliwa kutoka pembe mbili tofauti.
  • 2:43 - 2:45
    Pia kuna safu hii ya picha ya joto
  • 2:45 - 2:47
    ambayo ni ya ajabu kidogo,
  • 2:47 - 2:49
    ukizingatia hiyo video
  • 2:49 - 2:51
    kamera huanguka kwenye sakafu
  • 2:51 - 2:54
    na unaweza kuona ilichukuliwa na mwanadamu.
  • 2:54 - 2:57
    Ni binadamu gani ana kamera ya infrared?
  • 2:57 - 2:59
    Hii gia ni ya kitaalamu.
  • 2:59 - 3:01
    Haki. Video inatetemeka.
  • 3:01 - 3:03
    Hakuna picha za usalama ambazo zingetoka hivyo haraka
  • 3:03 - 3:05
    kutokana na nguvu ya mlipuko huo.
  • 3:05 - 3:06
    Kwa hivyo unaanza tu, kama,
  • 3:06 - 3:08
    kuunganisha mambo haya pamoja.
  • 3:08 - 3:10
    Nilitambua shoti hii ya kwanza
  • 3:10 - 3:13
    na nilijua kuwa ilichukuliwa
  • 3:13 - 3:15
    na mhariri wa mitandao ya kijamii
  • 3:15 - 3:16
    ambaye kwa kweli alikuwa ardhini,
  • 3:16 - 3:17
    ambaye anafanya kazi CNN.
  • 3:17 - 3:19
    Na hii hapa video asili.
  • 3:19 - 3:21
    Unaona, haina kichujio hicho.
  • 3:22 - 3:24
    Na unapoicheza,
  • 3:24 - 3:26
    (Milipuko)
  • 3:27 - 3:30
    unaweza kuona kwamba hakuna kombora
  • 3:30 - 3:31
    ambayo inapita angani na kugonga.
  • 3:31 - 3:33
    Kwa hivyo hiyo iliongezwa.
  • 3:33 - 3:34
    Nilizungumza naye na akasema,
  • 3:34 - 3:36
    "Ndio, video yangu ilichukuliwa, ikabadilishwa.
  • 3:36 - 3:39
    Na niliendelea kupata barua pepe hizi zote
  • 3:39 - 3:42
    kuhusu kombora linalodhaniwa kwenye video yangu"
  • 3:42 - 3:44
    ambayo unaweza kuona haipo.
  • 3:44 - 3:48
    Na haraka baadaye, Twitter kweli iliweka tukio
  • 3:48 - 3:50
    ili kuonyesha kwamba
  • 3:50 - 3:51
    wachunguzi wa ukweli walikuwa wamehitimisha
  • 3:51 - 3:53
    kwamba video ya mlipuko wa Beirut
  • 3:53 - 3:56
    ilibadilishwa na ni pamoja na kombora bandia.
  • 3:56 - 3:59
    Na walionyesha tweet yangu
  • 3:59 - 4:00
    na thread yangu niliyoifanya
  • 4:00 - 4:03
    na pia waliunganisha waandishi wengine wachache
  • 4:03 - 4:08
    ambao pia wamekuwa wakifanya kazi sawa ya ufichuzi.
  • 4:08 - 4:10
    Kwa hivyo ni muhimu kwetu
  • 4:10 - 4:13
    kuwa wepesi kabisa kukataa haya
  • 4:13 - 4:15
    na kuyafichua haraka
  • 4:15 - 4:18
    nakuonyesha watu jinsi tunavyoifanya, sio?
  • 4:18 - 4:20
    Ni rahisi kusema ni halisi.
  • 4:20 - 4:23
    lakini tunahitaji watu kuelewa kwanini na ni vipi sio halisi.
  • 4:23 - 4:26
    Kwa hivyo kweli nilimwandikia
  • 4:26 - 4:27
    nikaziweka hatua zangu, nikasema,
  • 4:27 - 4:29
    "Hivi ndivyo ninavyojua sio halisi."
  • 4:29 - 4:31
    Na yeye akasema,
  • 4:31 - 4:32
    "Sawa, hiyo ni nzuri sana kujua.
  • 4:32 - 4:33
    Nitawaambia marafiki zangu
  • 4:33 - 4:34
    na familia yangu."
  • 4:34 - 4:35
    Na ni jambo linalosaidia sana,
  • 4:35 - 4:37
    nadhani kama wewe ni mtu binafsi,
  • 4:37 - 4:41
    kuunda orodha na waandishi wa habari hawa tofauti,
  • 4:41 - 4:44
    ili uweze kuwafuatilia wakati habari zinapochipuka.
  • 4:44 - 4:47
    Jenga jumuiya yako ndogo ya wataalam unaoamini,
  • 4:47 - 4:48
    ambao wamethibitishwa,
  • 4:48 - 4:50
    na kwa njia hiyo unaweza kuona kwamba
  • 4:50 - 4:51
    kile unachotaka kushiriki
  • 4:51 - 4:53
    kweli kilionekana hapa
  • 4:53 - 4:54
    kama kitu ambacho hupaswi kufanya.
  • 4:54 - 4:54
    Hasa.
  • 4:55 - 4:57
    Mlipuko wa Agosti 4 katika
    Beirut
  • 4:57 - 4:58
    ulikuwa wenye kuangamiza.
  • 4:58 - 5:00
    Maisha yalipotea. Maelfu walijeruhiwa.
  • 5:00 - 5:03
    Mabilioni ya dola ya uharibifu yalifanyika.
  • 5:03 - 5:06
    Sote tulitaka kujua jinsi hii ilifanyika.
  • 5:06 - 5:08
    Tulipata maelezo mara moja.
  • 5:08 - 5:11
    Lakini habari za kuaminika huchukua muda.
  • 5:11 - 5:15
    Kwa hivyo tunafanya nini wakati habari
    husafiri haraka kuliko ukweli?
  • 5:15 - 5:18
    Unda orodha kama Emmanuelle anavyo pendekeza.
  • 5:18 - 5:19
    Tafuta waandishi wa habari
  • 5:19 - 5:21
    unao waamini na kuwafuata.
  • 5:21 - 5:22
    Halafu habari kubwa inapochipuka -
  • 5:22 - 5:24
    na ikiwa 2020 imetufundisha chochote,
  • 5:24 - 5:26
    hakika itachipuka -
  • 5:26 - 5:29
    utajua tayari kwenda kwa nani.
  • 5:29 - 5:31
    Mpaka wakati ujao. Iweke kweli.
  • 5:31 - 5:32
    Usieneze habari za uwongo.
  • 5:32 - 5:33
    Mimi ni Hari Sreenivasan
  • 5:33 - 5:35
    na hii ni Take On Fake.
  • 5:37 - 5:38
    Asante kwa kutazama.
  • 5:38 - 5:40
    kwa uchunguzi wa kina kama huu,
  • 5:40 - 5:42
    fuata mgeni wetu Emmanuelle Saliba kwenye Twitter
  • 5:42 - 5:44
    Unaweza kupata kiungo katika maelezo
  • 5:44 - 5:47
    Tupe maoni yako kwenye maoni
    na usisahau ku subscribe,
  • 5:47 - 5:50
    ili ujue lini kipindi kijacho cha TakeOnFake kitakapoanguka.
Title:
Beirut Explosion: How to Spot a Doctored Video
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
Amplifying Voices
Project:
Misinformation and Disinformation
Duration:
05:50

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions