Return to Video

Tips from the Teenagers Tackling Coronavirus Misinformation

  • 0:00 - 0:03
    Maisha katika mida hii ya janga imekuwa ya ajabu sana
  • 0:03 - 0:06
    Niko mwaka wa mwisho shuleni lakini hivi sivyo nilivyotarajia
  • 0:06 - 0:08
    miezi zangu chache za mwisho shuleni kuwa.
  • 0:08 - 0:12
    muda wangu wa umwali kutokana na virusi vya korona imekuwa kucosha na ya vurugu
  • 0:12 - 0:14
    kwa sababu niko na wadogo wangu watatu.
  • 0:14 - 0:17
    Maisha yangu wakati huu wa Korona umekuwa bila raha.
  • 0:17 - 0:18
    Sijakuwa na shughuli nyingi.
  • 0:18 - 0:21
    Nimekuwa nikijaribu kukaa nyumbani na kuzingatia umbali.
  • 0:21 - 0:23
    Nimekuwa nyumbani zaidi ya mwezi sasa,
  • 0:23 - 0:26
    na hakika naweza sema niko tayari kwa vitu kuwa kawaida tena.
  • 0:27 - 0:30
    Kuishi katika nyakati hizi za janga la korona imekuwa ngumu kwa kila mtu,
  • 0:30 - 0:34
    lakini nazingatia umbali, kama wewe ni kijana barubaru,
  • 0:34 - 0:36
    inaweza kuwa ngumu.
  • 0:36 - 0:40
    Umekwama ndani ya nyumba siku kutwa, unahudhuria shule mtandaoni,
  • 0:40 - 0:43
    na matukio mengine kama vile sherehe za kumaliza shule ya upili na kuhitimu
  • 0:43 - 0:46
    nitofauti sana na ulivyodhani,
  • 0:46 - 0:50
    Lakini vijana wengine wamekuwa wakitumia wakati huu wa ziada
  • 0:50 - 0:54
    kusaidia wengine wetu kwa kuhakiki taarifa wanaopatana nazo
  • 0:54 - 0:56
    katika mitandao ya kijamii
  • 0:56 - 1:01
    Mediawise ni kitengo cha mafunzo ya habari iliundwa na taasisi ya Polynter.
  • 1:01 - 1:02
    Lengo lake ni kufunza wanafunzi wa shule ya upili
  • 1:02 - 1:05
    jinsi ya kuhakiki taarifa wanaoona mtandaoni.
  • 1:05 - 1:08
    Kwa taarifa yenu- Mimi ni mmoja wa hao wanahabari
  • 1:08 - 1:10
    wanaohudumu kama mabalozi wa mradi huu.
  • 1:10 - 1:13
    Tuko na wanafunzi ishirini wanahudumu nasi kwa wakati huu,
  • 1:13 - 1:16
    na wametapakaa kote Marekani
  • 1:16 - 1:19
    Wanatusaidia kusahihisha taarifa za uongo zilizoenea
  • 1:19 - 1:23
    wanazoziona mtandaoni kupitia hadithi za mitandao za kijamii.
  • 1:23 - 1:27
    Hawa vijana wanakuonyesha jinsi wanavyoweza kuhakiki madai.
  • 1:27 - 1:30
    Hawakuambii tu kama ni ya kuaminika au la.
  • 1:30 - 1:31
    Wanafunza mikakati
  • 1:31 - 1:34
    ambazo wanahabari na wahakiki waliobobea hutumia
  • 1:34 - 1:37
    na kuiwasilisha kwa njia inayosisimua na kutumbuiza.
  • 1:37 - 1:42
    Tuliongea na Angie Li, mwanafunzi wa mwaka wa pili chuoni Florida, na akatueleza
  • 1:42 - 1:46
    jinsi alivyohakiki kitu alichokipata kwa mtandao wa Tiktok.
  • 1:46 - 1:49
    Sikuwa na habari kuwa kuna taarifa potofu nyini sana.
  • 1:49 - 1:51
    Nimekuwa nikidhani
  • 1:51 - 1:53
    kuwa watu watapeana taarifa za ukweli.
  • 1:53 - 1:55
    Kwa nini kusambaza taarida potofu?
  • 1:55 - 1:59
    Lakini niling'amua kuwa wakati mwingine watu hawajui
  • 1:59 - 2:00
    kuwa wamesambaza taarifa potofu.
  • 2:00 - 2:01
    Kwa hivyo ulifanya nini?
  • 2:01 - 2:03
    Tuelekeze jinsi ulivyo hakikisha haya.
  • 2:03 - 2:08
    Hii ni Tiktok halisi niliyoona iliyokuwa na anwani hapa
  • 2:08 - 2:12
    kuwa kujifukiza inapunguza uwezekano wa kupata virusi vya korona.
  • 2:12 - 2:16
    kitu cha rahisi kufanya ni kufungua tovuti mtandaoni
  • 2:16 - 2:19
    na kufanya utafiti wa haraka wa maneno.
  • 2:19 - 2:21
    Kama maneno yanayopewa kipaumbele.
  • 2:21 - 2:23
    Hapa tuko na kujifukiza inapunguza virusi vya korona.
  • 2:24 - 2:27
    hakika, mara tu unapoitizama skrini hii,
  • 2:27 - 2:29
    anwani hizi zinaonekana kusema
  • 2:29 - 2:31
    kinachokinzana na madai halisi.
  • 2:31 - 2:35
    tovuti ya kwanza inasema kuwa ripoti za dalili za kupumua
  • 2:35 - 2:40
    na watumiaji wa sigara mtandaoni unaasshiria kuzidi au kuchelea kupona
  • 2:40 - 2:41
    kutokana na maradhi ya mapafu.
  • 2:41 - 2:44
    Yamkini, haileti nafuu yoyote
  • 2:44 - 2:47
    kwa sababu kujifukiza ni kama tu kuvuta sigara,
  • 2:47 - 2:50
    na virusi vya korona ni homa ya mapafu.
  • 2:50 - 2:52
    Kwa hivyo niliangalia tovuti ya pili.
  • 2:52 - 2:56
    jarida hili ni kutoka kwa Taasisi ya kitaifa dhidi ya madawa ya kulevya.
  • 2:56 - 3:00
    Lazima tuhakikishe kuwa tunapata taarifa hii kutoka kwa vyanzo aminika.
  • 3:00 - 3:05
    Chanzo hiki kilisema kuwa ushahidi unaochipuka unapendekeza kuwa kutagusana na vumbi
  • 3:05 - 3:08
    za sigara zinaathiri seli za mapafu.
  • 3:08 - 3:10
    na kupunguza uwezo wa kujikinga na maambukizi.
  • 3:11 - 3:14
    Kwa hivyo inaonekana kuwa kujifukiza inaweza
  • 3:14 - 3:15
    kuzidisha hatari ya virusi vya korona.
  • 3:15 - 3:19
    inaonekana hii Tiktok ni potovu.
  • 3:20 - 3:24
    Tiktok hiyo yamkini ilionwa na watu wengi.
  • 3:24 - 3:27
    pengine hata kusadikiwa na wengi.
  • 3:27 - 3:29
    hiyo ni gharama ya taarifa potovu.
  • 3:29 - 3:32
    Mara nyingine watu huanza kuamini vitu vya uongo
  • 3:32 - 3:33
    na wanaweza kuchukua hatua
  • 3:33 - 3:36
    kwa sababu wanaamini kuwa kujifukiza inaweza punguza uwezekano
  • 3:36 - 3:38
    na pengine wanaweza anza kuifanya
  • 3:38 - 3:40
    hakika habari potovu inaweza kuwa na gharama za mauti.
  • 3:40 - 3:43
    Kitu kisipoeleweka vizuri
  • 3:43 - 3:45
    basi pengine ni vizuri kutosambaza.
  • 3:45 - 3:47
    Usisambaze habari potovu.
  • 3:47 - 3:50
    Katika miaka kadhaa iliyopita, mtandao huu wa wahakiki barobaro
  • 3:50 - 3:55
    umedhibitisha zaidi ya vifungu 200 vya taarifa kuwa kweli au potovu.
  • 3:55 - 3:59
    Kama haujui pakuanzia, wapo na wasia mzuri
  • 3:59 - 4:02
    Wasia kwa mtu ambaye hajafanya uhakiki, naweza sema...
  • 4:03 - 4:06
    Kitu cha kwanza huwa naona ni kama chanzo chake ni aminika,
  • 4:06 - 4:11
    na kama mtu anatumia lugha kwa kupita mipaka ili kuchochea jibu fulani.
  • 4:11 - 4:14
    Usiamini tu chanzo moja. Kuamini chanzo moja ni wazo baya.
  • 4:14 - 4:16
    Unafaa kuhakikisha kuwa unaamin vyanzo vingi.
  • 4:16 - 4:19
    Nimeanza kusitasita na kutoamini kila kitu ninachokisoma.
  • 4:19 - 4:23
    Tunachokisoma huchangia mtazamo wetu wa dunia na jinsi tunavyoathiriana.
  • 4:23 - 4:26
    Kuhakikisha taarifa kunayoipokea na kusambaza ni hakika,
  • 4:26 - 4:30
    haitufaidi tu, bali inafaidia ulimwengu wote.
  • 4:30 - 4:34
    Vijana hawa hulengwa kila mara na taarifa potovu
  • 4:34 - 4:37
    na taarifa hizi hujichipusha kiholela, sehemu mbaya ya intaneti,
  • 4:37 - 4:40
    na wengi wao bado huifanya na tabasamu na picha binafsi.
  • 4:40 - 4:42
    Na imekuwa raha sana kutizama.
  • 4:43 - 4:47
    Vijana wanakuwa na teknolojia zaidi na mitandao ya kijamii.
  • 4:47 - 4:50
    Wazee kama mimi wanaweza kuelewa,
  • 4:50 - 4:52
    lakini hii haimaanishi kuwa hawatumii hii
  • 4:52 - 4:55
    kwa ufahamu na akili.
  • 4:55 - 4:57
    Tupo na matamanio,
  • 4:57 - 5:00
    lakini mara nyingi tuna puuzwa na kudharauliwa.
  • 5:00 - 5:02
    Hatupo kwa simu zetu kila mara.
  • 5:02 - 5:04
    Namaanisha kuwa tupo kwa simu zetu lakini inasaidia
  • 5:04 - 5:07
    Kwa sababu tunahakiki na kusaidia watu.
  • 5:07 - 5:10
    Kutumia muda mwingi mtandaoni haimaanishi kuwa inatuangamiza.
  • 5:10 - 5:13
    Natamani watu wangejua jinsi tunajali ulimwengu wetu.
  • 5:13 - 5:16
    Natamani watu wangejua jinsi tunavyojijali
  • 5:16 - 5:18
    Tunaweza kuinyoshe kwa njia tofauti kwa sababu ya teknolojia hii
  • 5:18 - 5:20
    tuliolelewa nayo,
  • 5:20 - 5:24
    lakini hakika tunajali ulimwengu na kuifanya iwe bora kwa sisi sote.
  • 5:24 - 5:29
    Kwa hivyo wacha tujifunze vitu kadhaa kutokana na kizazi hiki kipya.
  • 5:29 - 5:30
    Usisambaze taarifa potovu.
  • 5:30 - 5:31
    dumisha ukweli.
  • 5:31 - 5:32
    hadi wakati mwingine.
  • 5:32 - 5:35
    Mimi ni Hari Sreenivasan na hii ni Take on Fake.
Title:
Tips from the Teenagers Tackling Coronavirus Misinformation
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
Amplifying Voices
Project:
Misinformation and Disinformation
Duration:
05:59

Swahili subtitles

Revisions Compare revisions