Umekua ukifunga lakini Hakuna matokeo?
Jaribu haya kuanzia leo
Wow! Mungu wangu utakua hapa na ushuhuda
NEEMA na Amani kwenu katika Jina la Yesu
Karibu katika kipindi kingine cha 'Urithi unaoishi'
Leo tunawaletea maonesho mwili kutoka kwa Nabii TB Joshua
Akiongelea Mada muhimu Sana na yenye maelekezo
Ambayo itakusaidia Maisha yako ya ukristo
Onyesho la Kwanza limechukuliwa katikati ya ibada
Na ya pili imeoneshwa katikati ya ushuhuda
Kutoka kwa binti wa Afrika ya kusini, aliepokea uponyaji
Kutoka kwenye nguvu za giza zilizo mpeleka kwenye uchawi
Na wakati Nabii TB Joshua anasikiliza ushuhuda wake
Alitumia uzoefu wa Maisha Yake kama fursa
Kufundisha watu kanuni hii muhimu
Sasa barikiwa wakati una jifunza Aina hii ya maombi
Aina ya mfungo unaovuta uelekeo wa Mungu
Hebu tuangalie
Kama hutaki shetani akutumikishe, Tafadhali fanyia kazi tabia yako
Hii ina maana kuanzia Leo, usianze kumuambia Mungu 'niponye'
Kemea udhaifu wako
Kuanzia Leo acha kusema 'Mungu nibariki'
Kemea udhaifu wako
Kuanzia Leo acha kusema 'Mungu nilinde'
Watu wananifatilia, Wanataka kuniua
Unapoteza muda wako
Nenda moja kwa moja - Kemea udhaifu wako
Hiyo ni njia anayo tumia shetani, kuingia
Kukutesa na umasikini
Kukutesa na kutojiamini
Kukutesa na magonjwa
Kukutesa na chochote unachokiongelea
Anatumia udhaifu wetu kutuingia
Ukifunga huo mlango, shetani hayupo tena
Kaka njoo, niyakusumbua Leo, sababu Hua unanisumbua
Simama hapa kaka, Tafadhali simama
Simama hapa
Huyu mtu atapita hapa Kuja kwanhi
Lakini sisi wawili tukiwa karibu Sana, Hakuna njia ya yeye kupita
Ina maana unaishi kwa ukamilfu-wingi wa maisha