Return to Video

Types of food

  • 0:02 - 0:07
    Habari za asubuhi, watoto. Leo tutajifunza
    kuhusu afya na chakula cha binadamu
  • 0:07 - 0:11
    Sisi sote hula chakula kila siku, sivyo?
  • 0:11 - 0:15
    Lakini umewahi kuwazia, ni kwa nini
    chakula kinahitajika na mwili wetu?
  • 0:15 - 0:19
    Chakua kinahitajika, kwa sababu kinatupa
    thamani bora zifuatazo.
  • 0:20 - 0:26
    Kinatupa nguvu ya kufanya kazi na kucheza. Kinatupa
    mifupa na meno iliyo na nguvu,
  • 0:26 - 0:32
    na, misuli yenye nguvu, kuona vyema,
    hutulinda dhidi ya magonjwa.
  • 0:32 - 0:36
    Ndivyo hivyo, kinatusaidia kuwa na
    afya na nguvu.
  • 0:37 - 0:41
    Safi! Chakula hutupa manufaa mengi zaidi.
  • 0:41 - 0:45
    Basi ni kwa nini ninamsumbua
    mama yangu kuhusu chakula?
  • 0:46 - 0:51
    Sawa, tupange aina tofauti za chakula,
    kulingana na chanzo chake.
  • 0:52 - 0:58
    Mboga, matunda, jamii ya kunde,
    nafaka na kadhalika hutoka kwa mimea.
  • 0:58 - 1:04
    Na mayai, nyama, samaki, maziwa
    na kadhalika hutoka kwa wanyama.
Title:
Types of food
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
Captions Requested
Duration:
01:05
eddiesim edited Swahili subtitles for Types of food

Swahili subtitles

Revisions