Return to Video

How to find equivalent expressions by combining like terms and using the distributive property

  • 0:00 - 0:03
    Ni milinganyo gani ni
  • 0:03 - 0:07
    sawa na x jumlisha mbili y jumlisha x jumlisha mbili?
  • 0:07 - 0:10
    Chagua mlinganyo sahihi.
  • 0:10 - 0:13
    Hebu tuone kama ninaweza kuufanya huu mlinganyo
  • 0:13 - 0:17
    Ngoja niuandike, kwa hiyo nina x jumlisha...
  • 0:17 - 0:22
    x jumlisha mbili y jumlisha x jumlisha mbili.
  • 0:22 - 0:23
    Kwa hiyo, kitu cha kwanza kinachokuja akilini mwangu,
  • 0:23 - 0:25
    kabla hata sijaangalia hii milinganyo,
  • 0:25 - 0:27
    Nina x hapa, nina x pale.
  • 0:27 - 0:29
    Kama ni x moja, kisha nikajumlisha na x nyingine
  • 0:29 - 0:33
    zitakuwa x mbili hivyo nitaandika tena kama hivi...
  • 0:33 - 0:34
    ngoja nitumie rangi nyingine.
  • 0:34 - 0:37
    Ninaweza kuiandika hii x na hii x,
  • 0:37 - 0:40
    kama nikizijumlisha zitakuwa x mbili
  • 0:40 - 0:43
    Kwa hiyo hii ni...sitaki kuruka hatua yoyote
  • 0:43 - 0:47
    hivyo, x jumlisha x jumlisha mbili y...
  • 0:47 - 0:49
    sasa ngoja nibadilishe mpangilio.
  • 0:49 - 0:52
    Na kisha hizi x mbili hapa,
  • 0:52 - 0:54
    ninaweza kuziandika ka mbili x.
  • 0:54 - 0:58
    Kwa hiyo, nina mbili x jumlisha mbili y...
  • 0:58 - 1:01
    jumlisha mbili y jumlisha mbili.
  • 1:01 - 1:03
    Sasa hebu tuone, katika hizi chaguzi zangu...
  • 1:03 - 1:06
    huu hapa,
  • 1:06 - 1:10
    huu mbili x jumlisha nne y jumlisha nne.
  • 1:10 - 1:14
    Huu siyo sahihi, nina mbili x jumlisha mbili y jumlisha 2,
  • 1:14 - 1:15
    kwa hiyo naweza kuichukua hii
  • 1:15 - 1:17
    Sasa, huu hapa unachekesha, unaonekana kama
  • 1:17 - 1:18
    wameizidisha mbili.
  • 1:18 - 1:21
    Hebu tuone kama tukizidisha mbili hapa nini kitatokea?
  • 1:21 - 1:23
    Kwa hiyo mbili ni kigawo cha hii namba
  • 1:23 - 1:26
    ni kigawo cha hii namba, ni kigawo cha hii namba
  • 1:26 - 1:29
    Hebu tuone kama tunaweza kugawanya.
  • 1:29 - 1:33
    Kwa hiyo, itakuwa mbili mara x,
  • 1:33 - 1:37
    kwa hiyo nitaiandika x kwa rangi hii hii, mbili mara x jumlisha,
  • 1:37 - 1:41
    y imebaki tulipoitoa mbili
  • 1:41 - 1:42
    Na kama ukiitoa mbili nje ya mabano hapa,
  • 1:42 - 1:44
    utabakiwa na moja.
  • 1:44 - 1:47
    Kwa hiyo, mbili mara x jumlisha y jumlisha moja.
  • 1:47 - 1:50
    Ambacho ni sawa na tulichopata hapa.
  • 1:50 - 1:52
    Kwa kuwa niliweza kuchagua jibu,
  • 1:52 - 1:56
    Sitachagua 'hakuna jibu sahihi'
Title:
How to find equivalent expressions by combining like terms and using the distributive property
Description:

more » « less
Video Language:
English
Team:
Khan Academy
Duration:
01:58

Swahili subtitles

Revisions