Return to Video

Ubabe wa ustahi

  • 0:01 - 0:04
    Kuna swali tunafaa
    kujiuliza:
  • 0:04 - 0:05
    Kipi hakikwenda sawa?
  • 0:05 - 0:07
    Si tu kuhusiana na janga
  • 0:07 - 0:09
    lakini na uraia wetu.
  • 0:10 - 0:14
    Nini kilichotuletea huu mgawano
    na chuki kisiasa ?
  • 0:15 - 0:17
    Kwa miongo ya karibu,
  • 0:17 - 0:21
    utengano baina ya washindi na
    walioshindwa umezidi,
  • 0:21 - 0:23
    na kutia sumu siasa yetu,
  • 0:23 - 0:25
    kututenganisha.
  • 0:25 - 0:29
    Mgawanyiko huu unahusu udhalimu kwa kiasi fulani.
  • 0:30 - 0:34
    Lakini pia mtazamo
    kuhusu kushinda na kushindwa
  • 0:34 - 0:36
    ambayo huja nayo.
  • 0:36 - 0:38
    Walio kileleni
  • 0:38 - 0:42
    wanaamini ufanisi wao
    ni juhudi yao,
  • 0:42 - 0:44
    kipimo cha ustahili wao,
  • 0:45 - 0:49
    na walioanguka
    hawana wa kulaumu bali nafsi zao.
  • 0:50 - 0:53
    Mtazamo huu wa mafanikio
  • 0:53 - 0:56
    unatokana na
    kanuni inayovutia,
  • 0:57 - 0:59
    kwamba kila mtu ana nafasi sawa,
  • 0:59 - 1:02
    na washindi wanstahili ushindi wao.
  • 1:03 - 1:07
    Huu ndio kiini cha
    wazo la ustahi.
  • 1:08 - 1:11
    Kwa vitendo,bila shaka, tuna upungufu.
  • 1:13 - 1:16
    Si kila mtu ana nafasi sawa kuinuka.
  • 1:17 - 1:22
    Watoto wazaliwao kwa jamii maskini
    hukua kwa umaskini,
  • 1:23 - 1:28
    Wazazi tajiri wana uwezo
    kupitisha manufaa kwa wototo wao.
  • 1:28 - 1:32
    Kwa mfano, katika vyuo bora zaidi,
  • 1:32 - 1:35
    idadi wengi wametoka
    familia tajiri sana
  • 1:35 - 1:40
    kushinda nusu ya chini ya nchi
    ukijumuishwa.
  • 1:42 - 1:46
    Shida sio tu
    kushindwa kufikia
  • 1:46 - 1:49
    mawazo ya ustahi
    tunavyopiga mbiu.
  • 1:50 - 1:52
    Wazo lenyewe lina kasoro.
  • 1:53 - 1:54
    Ina dosari.
  • 1:55 - 1:59
    Ustahi una madhara
    kwa manufaa kwa watu wote.
  • 2:00 - 2:02
    unaleta kiburi kwa washindi
  • 2:04 - 2:07
    na kufedhehesha waliopeteza.
  • 2:08 - 2:14
    huchochea washindi
    kujiona bora zaidi
  • 2:14 - 2:19
    na kusahau nasibu na uenyemali
    iliyowasaidia kupata mafanikio.
  • 2:19 - 2:23
    Na kupelekea kuonea
    wasiobahatika,
  • 2:23 - 2:26
    na wasio na wasifi kama wao.
  • 2:27 - 2:30
    Huu hujalisha kisiasa.
  • 2:30 - 2:35
    Mojawapo ya chanzo kuu
    cha upinzani maarufu
  • 2:35 - 2:41
    miongoni mwa wafanyikazi
    ni dhana ya wasomi kuwadharau.
  • 2:42 - 2:44
    Ni lawama halali.
  • 2:45 - 2:50
    Ingawaje utandawazi
    umezidi kukosesha usawa
  • 2:50 - 2:51
    na mshahara usioongezeka,
  • 2:53 - 2:57
    watetezi wake walishauri
    wafanyikazi.
  • 2:58 - 3:02
    "Kama unataka kushindana na kushinada
    karika uchumi wa kimataifa,
  • 3:02 - 3:03
    enda chuo"
  • 3:04 - 3:07
    "Mapato yako yanalingana na masomo yako"
  • 3:07 - 3:09
    "Utafaulu ukijaribu"
  • 3:10 - 3:16
    Hawa wasomi hawazingatii tusi
    fiche kwenye huu ushauri.
  • 3:17 - 3:19
    Usipoenda chuo,
  • 3:19 - 3:23
    usiponawiri kwenye huu uchumi mpya,
  • 3:23 - 3:25
    basi shida ni lako.
  • 3:26 - 3:27
    Huo ndio sababu.
  • 3:28 - 3:34
    Si ajabu wafanyikzi wengi
    waligeukia ustahi wa wasomi.
  • 3:35 - 3:36
    Tunafaa tufanye nini ?
  • 3:37 - 3:41
    Tunafaa kuwazia kipengee tatu
    cha uraia wetu.
  • 3:41 - 3:43
    Nafasi ya chuo,
  • 3:43 - 3:44
    usharifu wa kazi
  • 3:44 - 3:46
    na maana ya ufanisi.
  • 3:47 - 3:51
    Tunafaa kuwazia tena
    nafasi ya vyuo
  • 3:51 - 3:54
    kama suluhishi la fursa.
  • 3:56 - 4:00
    Kwa watu kama sisi
    tunaotangamana na wasomi,
  • 4:00 - 4:04
    ni rahisi kusahau hakika sahili:
  • 4:05 - 4:09
    Watu wengi hawana sahada
    la miaka minee chuoni.
  • 4:09 - 4:13
    Kwa hakika, thuluthi mbili
    Wamerikani hawana.
  • 4:14 - 4:18
    Kwa hivyo ni upumbavu kujenga uchumi
  • 4:18 - 4:23
    inayoshurutisha shahada ya chuo
  • 4:23 - 4:27
    ili kuwepo na maisha sharifu.
  • 4:27 - 4:31
    Kuhimiza watu kwenda chuo
    ni wazo mzuri.
  • 4:31 - 4:34
    Upanuzi wa ufikavu
    kwa wasiojiweza
  • 4:34 - 4:35
    ni bora zaidi
  • 4:36 - 4:38
    Lakini huu si suluhu la kutokuwa na usawe.
  • 4:39 - 4:44
    Haina faida kuandaa watu
    kupambania ustahi
  • 4:44 - 4:48
    ni kuboresha maisha
    tunafaa kuzingatia
  • 4:48 - 4:51
    kwa watu hawana diploma
  • 4:51 - 4:55
    lakini wenye mchango muhimu
    katika jamii.
  • 4:56 - 4:58
    Tunafaa kufufua usharifu wa kazi.
  • 4:58 - 5:01
    na kuiweka kati kwenye siasa zetu
  • 5:01 - 5:06
    Tunafaa kukumbuaka kazi
    sio tu kupata riziki,
  • 5:06 - 5:10
    ila pia ni kuchangia
    uzuri wa pamoja
  • 5:10 - 5:13
    na kushindania utambuzi wakati huo
  • 5:13 - 5:17
    Robert F. Kennedy alisema vyema
    nusu karne iliyopita
  • 5:17 - 5:21
    Ushirika,jumuiya, uzalendo shirika
  • 5:21 - 5:25
    Malengo haya hayaji
  • 5:25 - 5:28
    kwa ununuzi na ulaji
    wa bidhaa pamoja.
  • 5:29 - 5:31
    Zinatokana na ajira adhama,
  • 5:31 - 5:33
    kwa mshahara lifaalo.
  • 5:33 - 5:37
    Ni aina ya ajira
    inatuwezesha kusema,
  • 5:37 - 5:39
    "Nilichangia ujuenzi wa huu nchi.
  • 5:40 - 5:44
    Mimi ni mshiriki
    wa ubia umma zake kubwa"
  • 5:45 - 5:48
    Huu hisia wa uraia
  • 5:48 - 5:52
    Haipo pakubwa
    katika maisha ya umma siku hizi
  • 5:53 - 5:57
    Mara mingi tunadhania kipato cha watu
  • 5:57 - 6:00
    ni kipimo cha mchango wao
    kwa mazuri kwa wote
  • 6:01 - 6:03
    Huu ni kosa.
  • 6:03 - 6:06
    Martin Luther King Jr alielezea mbona.
  • 6:07 - 6:11
    Kwa kutafakari mgomo
    wa wasafishaji mazingira
  • 6:11 - 6:13
    uko Memphis, Tennessee,
  • 6:13 - 6:15
    muda mfupi kabla hajawawa,
  • 6:16 - 6:18
    King alisema,
  • 6:18 - 6:23
    "Mtu anyezoa takataka,
    kwa uchambuzi wa kina,
  • 6:23 - 6:25
    ana umuhimu sawa na daktari,
  • 6:27 - 6:29
    asipofanya kazi yake,
  • 6:29 - 6:31
    magonjwa yanakithiri.
  • 6:32 - 6:35
    Kazi zote zina usharifu"
  • 6:36 - 6:38
    Janga tunao leo unadhihirisha huu.
  • 6:39 - 6:42
    Unaonyesha tunavyotegemea sana
  • 6:42 - 6:45
    wafanykazi kunapuuza wakati mwingi.
  • 6:46 - 6:47
    Wafanyikazi wa upelekaji,
  • 6:47 - 6:49
    wafanyikazi wa matengenezo,
  • 6:49 - 6:51
    karani wa duka,
  • 6:51 - 6:53
    wafanyikazi wa bohari,
  • 6:53 - 6:54
    madereva wa lori,
  • 6:54 - 6:56
    wauguzi wasaidizi,
  • 6:56 - 6:57
    watunza watoto,
  • 6:57 - 6:59
    wahuduma wa afya nyumbani.
  • 7:00 - 7:04
    Wafanyikazi hawa kipato
    ni duni na wanapuuziliwa.
  • 7:05 - 7:09
    Lakini sasa, tunawaona muhimu.
  • 7:10 - 7:14
    Huu ni fursa wa mjadala wa umma
  • 7:14 - 7:18
    kuhusu kuinua mapato yao na
    kuwatambua
  • 7:18 - 7:22
    kulingana na umuhimu wa
    kazi wanayofanya.
  • 7:22 - 7:29
    Ni wakati wa kubadili
    maadili, hata roho,
  • 7:29 - 7:32
    kuulizia kiburi cha ustahi.
  • 7:34 - 7:38
    Kimaadili,nastahiki talanta
    zinazoniwezesha kunawiri ?
  • 7:39 - 7:40
    Ni uwezo wangu
  • 7:40 - 7:44
    kua naishi katika jamii
    inayothamini talanta
  • 7:44 - 7:46
    ninazo ?
  • 7:46 - 7:48
    Ama ni bahati ?
  • 7:49 - 7:53
    Kusisitiza ufanisi ni haki yangu
  • 7:53 - 7:57
    huleta ugumu kujiweka
    kwa niaba ya watu wengine.
  • 7:58 - 8:01
    Kuthamini nafasi ya baraka maishani
  • 8:01 - 8:03
    yanaweza leta unyenyekevu flani.
  • 8:04 - 8:08
    Kama si kwa ajali ya uzazi,
    ama neema ya mungu
  • 8:08 - 8:10
    ama fimbo la hatima,
  • 8:10 - 8:11
    ningekua nani.
  • 8:12 - 8:15
    Huu moyo wa unyenyekevu
  • 8:15 - 8:17
    ndio fadhila ya uraia tunahitaji sasa.
  • 8:18 - 8:21
    Ndio mwanzo wa kurudi
  • 8:21 - 8:25
    toka maadili makali ya ufanisi
    unaotutenganisha.
  • 8:25 - 8:30
    Inatuelekeza kupita ubabe wa ustahi
  • 8:30 - 8:34
    hadi maisha ya ukarimu zaidi ya umma
Title:
Ubabe wa ustahi
Speaker:
Michael Sandel
Description:

Ni nini kisababishacho utengano katika maisha ya umma, na vipi tunaweza anza rekebisha ? Mwanafalsafa wa kisiasa Michael Sandel anajibu la kushangaza: waliofanikiwa wanafaa kujitazama. Anaelezea jinsi "kiburi cha ustahi" hupelekea watu wengi kuamini mafanikio yao ni juhudi yao, na kudharau wasiofanikiwa, na kuleta chuki na kuzidisha mgawanyiko kati ya "waliofanikiwa" na "wasiofanikiwa" katika uchumi mpya. Sikiliza namna ambavyo tunafaa kuzingatia upya maana ya ufanisi na kutambua nafasi ya bahati ili kufikia maisha ya uraia karimu zaidi.

more » « less
Video Language:
English
Team:
closed TED
Project:
TEDTalks
Duration:
08:47
Nelson Simfukwe approved Swahili subtitles for The tyranny of merit
Nelson Simfukwe edited Swahili subtitles for The tyranny of merit
Nelson Simfukwe accepted Swahili subtitles for The tyranny of merit
Nelson Simfukwe edited Swahili subtitles for The tyranny of merit
Nelson Simfukwe edited Swahili subtitles for The tyranny of merit
Hanningtone Omollo edited Swahili subtitles for The tyranny of merit
Hanningtone Omollo edited Swahili subtitles for The tyranny of merit

Swahili subtitles

Revisions